Baba Rayhaan
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 634
- 436
Huko kuna vumbi sawa ila hapo alipotaja mtoa mada ni funika, udongo mwekundu balaaKwa morombo, Moshono, Lengijave, Kisongo, Ngaramtoni na Chekereni. Hizo sehemu sio poa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huko kuna vumbi sawa ila hapo alipotaja mtoa mada ni funika, udongo mwekundu balaaKwa morombo, Moshono, Lengijave, Kisongo, Ngaramtoni na Chekereni. Hizo sehemu sio poa
😁😁🤣🤣😂😁Kibondo na Kasulu, ukitembea sana unaanza kucheua vumbi.....
Dodoma umeionea. Sio kivile.Hii ni miji kumi inayoongoza kwa vumbi nyakati za kiangazi nchini Tanzania. Ukienda huko achana na habari ya nguo nyeupe. Pendelea rangi nyeusi, brown au kijivu.
1. KARATU
2. KASULU
3. KIBONDO
4. BOMANG'OMBE, Hai
5. SONGEA
6. TUNDUMA
7. ORKESMET, Simanjiro.
8. DODOMA
9. MERERANI
10. MTO WA MBU
Songwe mbeya na viunga vyake ziko wapi...? Hii list fakeHii ni miji kumi inayoongoza kwa vumbi nyakati za kiangazi nchini Tanzania. Ukienda huko achana na habari ya nguo nyeupe. Pendelea rangi nyeusi, brown au kijivu.
1. KARATU
2. KASULU
3. KIBONDO
4. BOMANG'OMBE, Hai
5. SONGEA
6. TUNDUMA
7. ORKESMET, Simanjiro.
8. DODOMA
9. MERERANI
10. MTO WA MBU
Na wasiwasi na mwandishi kuwa anatokewa kigoma,Hii ni miji kumi inayoongoza kwa vumbi nyakati za kiangazi nchini Tanzania. Ukienda huko achana na habari ya nguo nyeupe. Pendelea rangi nyeusi, brown au kijivu.
1. KARATU
2. KASULU
3. KIBONDO
4. BOMANG'OMBE, Hai
5. SONGEA
6. TUNDUMA
7. ORKESMET, Simanjiro.
8. DODOMA
9. MERERANI
10. MTO WA MBU
UnIlaumu Serakali ya Miaka 3 na hizo zolopita walikuwa Wanahudumia wanyonge😂😂😂
Inatia aibu sana serikali yetu inayodai kazi iendelee haifanyi lolote kuondoa haya...
Watakusikia wenzako, urudi ndani ya Mwezi Moja utuambie vumbi sio tatizo tena hayo maeneo umetaja na mengineyo
Watu mnachanganya sana Kigoma mjini na Kigoma mkoa. Pale Kigoma mjini hakuna vumbi tena ardhi yake ina mchanga wa kutosha kwa sababu ni pembeni ya ziwa. Ukitoka mjini na kuanza kuingia wilayani ndo unakutanza na mabalaa. Huko Buhigwe kuna vumbi fulani hivi jepesi kama poda. Ila Buhigwe sijaiweka kwenye list kwasababu vumbi lake sio jekundu na kuna miti ya kutosha tofauti na Kasulu.Na wasiwasi na mwandishi kuwa anatokewa kigoma,
haiwezekani kabisaa asiiweke wakati inaweza kushika namba moja au mbili kutokana na vumbii lakee,😂😂😂
Nadhani mwandishi anachanganya vumbi au udongo mwekundu.uekundu wa udongo hauna uhusiano na serikali.anataka kutuambia serikali itoe udongo mwekundu au?au mimi sijawelewa?😂😂😂
Inatia aibu sana serikali yetu inayodai kazi iendelee haifanyi lolote kuondoa haya...
Watakusikia wenzako, urudi ndani ya Mwezi Moja utuambie vumbi sio tatizo tena hayo maeneo umetaja na mengineyo
Hiyo zamani sanaBiharamulo mji wenye utajiri wa vumbi,,,,,maelezo hayo niliyaona mtandaoni.x
Umesahau mji mwingine unaitwa BUKUNDI uliopo Wilaya ya Meatu mkoa SimiyuHii ni miji kumi inayoongoza kwa vumbi nyakati za kiangazi nchini Tanzania. Ukienda huko achana na habari ya nguo nyeupe. Pendelea rangi nyeusi, brown au kijivu.
1. KARATU
2. KASULU
3. KIBONDO
4. BOMANG'OMBE, Hai
5. SONGEA
6. TUNDUMA
7. ORKESMET, Simanjiro.
8. DODOMA
9. MERERANI
10. MTO WA MBU
Itabidi nifike .. kuna wanaodai ukiona hilo vumbi chini kuna madiniNimetembea karibu nchi zote za SADC na EAC bado mpinzani wa Karatu hajapatikana.
Morogoro, udongo mwekundu na upepo huanza mchana.Hii ni miji kumi inayoongoza kwa vumbi nyakati za kiangazi nchini Tanzania. Ukienda huko achana na habari ya nguo nyeupe. Pendelea rangi nyeusi, brown au kijivu.
1. KARATU
2. KASULU
3. KIBONDO
4. BOMANG'OMBE, Hai
5. SONGEA
6. TUNDUMA
7. ORKESMET, Simanjiro.
8. DODOMA
9. MERERANI
10. MTO WA MBU