Itzmusacmb
JF-Expert Member
- Jun 22, 2016
- 1,531
- 1,134
Unaisifu Nairobi kwa ujinga? Shame on u [emoji45] [emoji45] [emoji45]Usijaribu ku change the topic....... Hio ni dangourous Cities, of which 4 south african cities are there.....If you look at most of the cities in that list, they lead in africa interms of bieng financial centers of bussiness.....Anywyay hapa tunaingelea dirty cities
Sasa umegeuza tena imekua inaongoza kwa ujinga? Amua banaUnaisifu Nairobi kwa ujinga? Shame on u [emoji45] [emoji45] [emoji45]
~Cmb
Uliamua kutuonyesha kwamba kiingereza ni janga huku Uswahilini??? Crime Index kwako inamaanisha "Chafu" hahaha wabongo mna taabu kweli! Mtasaidiwa aje?Nilikuwa natafuta Majiji Machafu Africa ila NIKAKARIBISHWA na Hili
~Cmb
Waambie wawe wanasafisha pale Jevanjee opposite na pack side ni pachafu sana mpk panqnuka mikojoKila baaada ya siku mbili tatu, utaona wafagiaji wa Nairobi City Council wakifagia barabara na kuokota takataka zilizo rushwa na watu,
View attachment 438849 View attachment 438850 View attachment 438851 View attachment 438852 View attachment 438853 View attachment 438854 View attachment 438855 View attachment 438856 View attachment 438857 View attachment 438858 View attachment 438859 View attachment 438860 View attachment 438861 View attachment 438862 View attachment 438863 View attachment 438864 View attachment 438865
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Uliamua kutuonyesha kwamba kiingereza ni janga huku Uswahilini??? Crime Index kwako inamaanisha "Chafu" hahaha wabongo mna taabu kweli! Mtasaidiwa aje?
I am not naive or blind, tukisema Nairobi streets ni kusafi haimanishi kila mahali.. Offcourse kuna kwengine hua kuna maovu flani, upande wa riverroad karibu na barababra ya kuenda upande wa ngara hua kuna round about flani pale hua kuna takataka zimerushwa hapo, Pia upande wa Ronald Ngala streets pale hua kuna gari za kuenda Githurai, Juzi nilipita na usiku nikaona mtu flani na wheelbarrow anatoa takataka ndani ya kachochoro flani akizimwaga kando ya barabara, Hio iliniudhi sana, Lakini sana sana haya maovu hufanyika upande wa mitaa ya chini kule hua kuna matatu nyingi...Hio ya jivanjee naiskia leo....Waambie wawe wanasafisha pale Jevanjee opposite na pack side ni pachafu sana mpk panqnuka mikojo
Nakubaliana na wewe kwa suala la uchafu dar, but niletee picha moja tu ya uchafu city center dar. Mimi ni mkazi wa dar!!Wewe naona unang'ang'ania lakini ukweli unaujua, Bongo ni pachafu sana. Ni jambo la kawaida kwa nchi nyingi duniani kuwa na maeneo yenye uchafu, hususan kule mitaani, ila mjini katikati pasafi. Na ndio taswira ya Nairobi, ukienda kitaa huko nje kuna maeneo yenye uchafu lakini Nairobi mjini pasafi sana utahisi kama upo Ulaya vile, lakini Dar es Salaam hata mjini kati na ndani pachafu kweli kweli, harufu za ovyo na ukichanganya na joto la mji inaboa balaa.
Oh My God!Pita mitaa ya Gikombaa, nenda Ngomongo,zungukia Kibera, Mathare.
Watu wengi maeneo hayo hawana vyoo na ni kuchafu sana ,
Wakazi wengi wasio na vyoo wanarusha vinyesi mto Nairobi.
Yes they are.Asante....Any business opportunities???
Nakuru na Nairobi sijaziona kwenye listKwahyo kwa akili yako kibera ni kusafi? Mathare?unaumwa akili wewe
Yes they are.
Njoo na pesa, tindua ardhi, grow grapes and become rich,
But sadly thieves, thugs and such people are never entertained here and Especially many of u Kenyans because we know it is your culture.
Once u r caught u may be executed locally, either u may be stoned with stones or burned to death.
Acha wizi (if u are) na uje Dodoma.
Huyo mwigulu nae akianza kulaumu wakati yeye ndiye anaetoa hivyo vibali vya uhamiaji sijui sisi tufanyaje.Aaaah wapi, nyie kwa tamaa za kijinga mnaliwa tu. Juzi nimeona waziri wenu Mwigulu Nchemba ambaye ana account humu JF, alisema kushangazwa na jinsi Wachina wana hadi kadi za kupigia kura Tanzania. kashuhudia mwenyewe wakati hakumbuki lini Wachina wameomba uraia. Tamaa zenu ndio zinasababisha mnatafunwa na kuliwa nchi inabaki mahandaki matupu na umaskini.
Jamaa wanatamba na stakabadhi zenu za kitaifa na kula kwa pupa bila huruma huku akili zenu zikiwaza Wakenya. Hivi samaki za Wachina mnawalipa lini, trilion nzima aisei....mtatafunwa hadi lini huku mkijinadi eti mpo makini wakati maskini jeuri tu.
Huyo mwigulu nae akianza kulaumu wakati yeye ndiye anaetoa hivyo vibali vya uhamiaji sijui sisi tufanyaje.
Halafu nimependa vile unatupa mawe kwa mwenzio ukiwa unajua umejenga nyumba ya vioo vitupu.
Hao wachina wamewajengea reli kwa kuwabutua pesa ndefu halafu reli inasombwa na mafuriko. Je, itahimili uzito mashehena kweli?
Hehehe..
Na yule mzungu anamiliki nusu ya ardhi ya nchi yenu vipi tena.
Na utalii wa Kenya unamilikiwa na wazungu, waitaliano na wengine ..
Halafu hakuna anaeiwaza Kenya,
nyie kelele kibao halafu kwenu njaa tupu.
Heri mji mchafu kuliko moyo mchafu. Wakenya mna tabia mbaya jamani...nani huchoma moto banda za watu kule Kibera karibia na uchaguzi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na nani hukatakata binadamu mwenzio kama Albino na kula nyama yake??
Yes they are.
Njoo na pesa, tindua ardhi, grow grapes and become rich,
But sadly thieves, thugs and such people are never entertained here and Especially many of u Kenyans because we know it is your culture.
Once u r caught u may be executed locally, either u may be stoned with stones or burned to death.
Acha wizi (if u are) na uje Dodoma.