Miji michafu zaidi duniani: Watani zetu waiwakilisha vyema Afrika

Miji michafu zaidi duniani: Watani zetu waiwakilisha vyema Afrika

Kwahyo kwa akili yako kibera ni kusafi? Mathare?unaumwa akili wewe

Nasikia unapoingia maeneo hayo lazima utembee kwa mwondo wa kunyata, uvae gum boots na lazima uwe na mwavuli, hata kama ni mchana.

Just kidding!

Vv
 
Nasikia unapoingia maeneo hayo lazima utembee kwa mwondo wa kunyata, uvae gum boots na lazima uwe na mwavuli, hata kama ni mchana.

Just kidding!

Vv
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Valley of no life nairobi
3712-nairobigarbage.JPG
kidero-garbage.jpg
FLOOD.jpg
kibera-slum1.jpg
1280px-A_young_boy_sits_over_an_open_sewer_in_the_Kibera_slum,_Nairobi.jpg
 
Hiyo nchi ya danganyika sijui ilipo ila kenya ni kuchafu, MK254 analijua hilo.

Wewe naona unang'ang'ania lakini ukweli unaujua, Bongo ni pachafu sana. Ni jambo la kawaida kwa nchi nyingi duniani kuwa na maeneo yenye uchafu, hususan kule mitaani, ila mjini katikati pasafi. Na ndio taswira ya Nairobi, ukienda kitaa huko nje kuna maeneo yenye uchafu lakini Nairobi mjini pasafi sana utahisi kama upo Ulaya vile, lakini Dar es Salaam hata mjini kati na ndani pachafu kweli kweli, harufu za ovyo na ukichanganya na joto la mji inaboa balaa.
 
Wewe naona unang'ang'ania lakini ukweli unaujua, Bongo ni pachafu sana. Ni jambo la kawaida kwa nchi nyingi duniani kuwa na maeneo yenye uchafu, hususan kule mitaani, ila mjini katikati pasafi. Na ndio taswira ya Nairobi, ukienda kitaa huko nje kuna maeneo yenye uchafu lakini Nairobi mjini pasafi sana utahisi kama upo Ulaya vile, lakini Dar es Salaam hata mjini kati na ndani pachafu kweli kweli, harufu za ovyo na ukichanganya na joto la mji inaboa balaa.
Hapa ni mjini kati nairobi
Valley of no life nairobi
3712-nairobigarbage.JPG
kidero-garbage.jpg
FLOOD.jpg
 
Hapa ni mjini kati nairobi
Valley of no life nairobi
3712-nairobigarbage.JPG
kidero-garbage.jpg
FLOOD.jpg

B
Hapa ni mjini kati nairobi
Valley of no life nairobi
3712-nairobigarbage.JPG
kidero-garbage.jpg
FLOOD.jpg

Bila shaka Nairobi hupajui wewe, kamuulize mtu akufahamishe nini maana ya NCBDA. Dar hata mjini kati uchafu ndio zenu, yaani centre kabisa ya mjini. Halafu mvua ikinyesha balaa.

Hii hapa ndio NCBDA, Nairobi

e1efdd138e0410287b90244fe47e28a5.jpg


Click_Pictureworks_Africa_Africa-2.jpg


Click_Pictureworks_Africa_Africa-471.jpg


Click_Pictureworks_Africa_Africa-471.jpg
 
Watz msijali lakin mie napapenda moshi na tanga maana huko kusafi...kila nikiendaga tanga nawapata mabint wazur waliojiswaf kila eneo, huwa wananiruhusu nichezee matundu yao yote kwa bei chee kabisa, bei ya jioni. Mkonge hotel hoyee! Mabinti wa tanga hoyee!!
 
This is how Kibera is being revamped to look like in the near future
ololo.jpg
Swali langu ni moja tuu, hizo nyumba zinajengwa kwa hao hao masikini wa Kibera au kwa middle class wengine? Oh swali lingine ....hao masikini watupwa wapi wakitoka hapo?
 
Those are your Aunties kijana....The Hadzabe.I know wewe umejufunika tu hapo Tandale hujui wenzako wanakaa aje
Hadzabe the world heritage poeple, kunavingi vya kujifunza kutoka kwao, but I still like Turkana peope. They are strong to endure hardship of Turkana. Sio kama wewe Blue Band baby.
 
Swali langu ni moja tuu, hizo nyumba zinajengwa kwa hao hao masikini wa Kibera au kwa middle class wengine? Oh swali lingine ....hao masikini watupwa wapi wakitoka hapo?
Hizi nyumba zajengwa na serikali na mashirika yake, Na zinajengewa watu wa hayo maeneo ya hali duni, Kibera watu hulipa kodi flani ya shilingi elfu kama mbili, kama sijakosea, lakini hapa watakuwa wakilipa elfu moja tu kwa mwezi!!!
 
Hadzabe the world heritage poeple, kunavingi vya kujifunza kutoka kwao, but I still like Turkana peope. They are strong to endure hardship of Turkana. Sio kama wewe Blue Band baby.

Hahaaa...kuna mengi ya kujifunza.Nenda huko na kiswahili chako cha vijiweni
 
Back
Top Bottom