Miji michafu zaidi duniani: Watani zetu waiwakilisha vyema Afrika

Miji michafu zaidi duniani: Watani zetu waiwakilisha vyema Afrika

14 ni moscow!!!so yawezekana ni uchafu wa viwanda sio kama nyny na uchafu wa majumbani mtani!
Kwanini isiwe ya majumbani?...weye wajua wazungu kwa uchafu weye?....hususan wenye daraja la chini kabisa kiuchumi/homeless?
 
This was the world dirty city league table
drawn by Forbes:
1. Baku, Azerbaijan
2. Dhaka, Bangladesh
3. Antananarivo, Madagascar
4. Port au Prince, Haiti
5. Mexico City, Mexico
6. Addis Ababa, Ethiopia
7. Mumbai, India
8. Baghdad, Iraq
9. Almaty, Kazakhstan
10. Brazzaville, Congo
11. Ndjamena, Chad
12. Dar es Salaam, Tanzania
13. Bangui, Central African Republic
14. Moscow, Russia
15. Ouagadougou, Burkina Faso
16. Bamako, Mali
17. Pointe Noire, Congo
18. Lome, Togo
19. Conakry, Guinea Republic
20. Nouakchott, Mauritania
21. Niamey, Niger
22. Luanda, Angola
23. Maputo, Mozambique
24. New Delhi, India
25. Port Harcourt, Nigeria
=======================
Cleanest African Cities:
1. Cape Town, South Africa.
2. Windhoek, Namibia
3. Kigali, Rwanda
4. Asmara, Eritrea
5. Victoria, Seychelles
6. Pretoria, South Africa
7. Pietermaritzburg, South Africa
8. Port Louis, Mauritius
9. Nairobi, Kenya
10. Victoria Falls, Zimbabwe

Source. Forbes.com /pollutide cities world
Wewe mgonjwa wa akili, unapafahamu Kibera?
 
Hongereni watani kwa kutuwakilisha, halafu hiyo kwa jinsi ilivyo na joto sasa ukichanganya na uchafu hapakaliki. Mvua ikinyesha na kufanya huo uchafu wote kutapakaa kila maeneo halafu joto. Mkulu wenu kahusika kwenye operesheni za kufagia fagia siku moja, sijui aliishia wapi.
 
Hawa jamaa wabongo, wanadhani Kibera ni Nairobi?? Kibera is just but a part of Nairobi that was started by colonialists for Africans who worked for the whites in the City, Niwape taaswira, Nairobi Metro runs from Kitengela to Limuru, From Ngong to Thika, and it has in the last five years been joined into one enormous city, Mwenyewe naishi Nairobi nasijawahi fika Kibera, Maana ni kwamba iko mbali sana. Mtu anaweza kuja Nairobi miaka na asiwahi jua hata Kibera iko wapi ataisoma magazetini tu ama akumbushwe na Wabongo hivi, Hata hivyo, hiyo Kibera yenyewe inaundwa, (renewal plans) Miaka miwili mitatu ijayo sijui mtasema nini!!! Watu washakubali kuingia kwa nyumba za kisasa, na plan sasa imeshika moto!! Hiyo kibera Miaka miwili itashinda Dar nzima.
1.jpg

Angalia hapa, hiyo barabara ni 2x2 inaundwa sasa hivi, ona hayo majumba mrefu yanayoundwa hapa!! Kisha baadaye landscaping.
Cxyj-r0WQAA34f-.jpg
 
uzuri wangu huwa sisemi uwongo kenya ambacho wanatuzidi huwa natofautiana kabisa ba Watanzania wenzangu maana sipo kishabiki nimekaa Nairobi mwaka na zaidi Kenya ni chafu sana Dar ina uwafadhali mara 10,000 na wakenya ni wachafu sana hasa lile kabila la wakikiyu ni wachafu hakuna mfano!
 
Dar ni ya 12 kwa uchafu, imejitahidi kuwa safi!!!
 
Sasa kama vile South Africa wanaslum mmewashinda kiuchumi? Kuwa na slum ni kawaida hata Hongkong wanazo! Lakini soma hapo nilivosema. Tunajua tunayo slum Nairobi, lakini tunaitoa kwa vyovyote. Lakini nyinyi?? Mji mzima! Ndo maana hawaiti Dar slum, sababu nzima ni chafu.
hqdefault.jpg

Rooftop slums of Hongkong
Kibera yetu tutaimaliza InshaAllah!!
 
View attachment 438033
View attachment 438035
View attachment 438037
The cleanest and largest city in the world-Dar es salaam
Wewe tukikuzingua kidogo tu unaanza kulia lia. Nikianza kuwageuzia kibano kwenye uzi huu hakika mtakimbia.

Nyie mkiguswa mnaanza kulie.. Oh! Annael anatuonea oh!! Annael anatutukana.
Kama mnataka ligi muwe mmejiandaa kweli.

Sasa hivi naongelea issue za tz tu. Mkiendelea kuchokoza tutaanzisha thread kuhusu kenya. Msilie.
 
Wewe tukikuzingua kidogo tu unaanza kulia lia. Nikianza kuwageuzia kibano kwenye uzi huu hakika mtakimbia.

Nyie mkiguswa mnaanza kulie.. Oh! Annael anatuonea oh!! Annael anatutukana.
Kama mnataka ligi muwe mmejiandaa kweli.

Sasa hivi naongelea issue za tz tu. Mkiendelea kuchokoza tutaanzisha thread kuhusu kenya. Msilie.
Tulia Kaka...Usigutuke.Tanzania is a small heaven on earth you know that.
 
Well,It's not only in Dar where Drug abuse is prevalent,This Hadzabe woman in poverty striken rural areas of the small heaven on earth has nothing else to do for entertainment
img_2215.JPG
 
Back
Top Bottom