Miji midogo midogo Tanzania ambayo ina vibe na fursa za kibiashara lakini haivumi

Hii miji midogo kama una interest ya kulima na biashara ya Mazao kama Mimi unatoboa chap na haraka,,
Sema Mimi sijatulia tu.. hebu nitulie kwanza niende zangu Mangaka nikalime karame Karanga na ufuta
Karame ndo zao gani mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…