Miji midogo midogo Tanzania ambayo ina vibe na fursa za kibiashara lakini haivumi

Miji midogo midogo Tanzania ambayo ina vibe na fursa za kibiashara lakini haivumi

Jengeni stendi Kwa sababu ya mahitaji sio kutanua Mji.Mji haukui Kufuata stendi huo ni ujinga wa watu wa Serikali,Mbeya walikataa huo upuuzi wanajenga Old Airport na Mji unaendelea kukua.

Sumbawanga,Iringa nk hakuna mtu anajenga Kufuata stendi matokeo yake stendi hazitumiki hata baada ya kulazimsha watu Kwa sababu wamejemga maporini huko Kwa akili hizo hizo za kukariri eti kutanua Mji.
Mfano Njombe mji aisee stendi wameipeleka mbali kinoma lakin inaweza kuwa imesaidia kupanua mji maan njombe ilikuwa imejikusanya sana... Sehem zingne ni km Iringa
 
Bila kuisahau katoro-Geita! Alaf mleta uzi umesema kidatu/ruaha ipo kilosa lakini sio kweli hyo ipo wilay ya kilombero hat ukiangalia google map, alfu tunduma sio wilaya hyo ni wilaya ya Momba.
Ruaha/kidatu ikpo Kilosa.. mpakani ninule moto Ruaha, na ndio maana Jimbo lao la Uchaguzi ni Mikumi.
Tunduma ni kweli ipo Wilaya ya Momba but Halmashauri inajitegemea ni "TTC"
 
Wilaya, Miji midogo na centers zinazokua kwa kasi
1. Makongolosi Chunya Mbeya
2. Tinde Shinyanga
3. Runzewe na Nyakanazi
4. Ifunda Iringa
5. Ilula
6. Kibaigwa Dodoma
7. Saza Songwe
8. Busisi Sengerema
9. Isaka Kahama
10. Lupa Chunya
11. Migoli Iringa
12. Mkwajuni Songwe
13. Igawa Mbeya
Yn unaitaja Isaka unaiacha Kagongwa mkuu mbona Kagongwa ndio inakua kulko Isaka
 
Tunduru na Masasi ni Wilaya ambazo zinakaribiana japo ziko ndani ya Mikoa miwili tofauti ila Masasi inazidi kukua zaidi, Sasa hivi Masasi wanamiliki Council mbili ambazo ni Masasi District Council & Masasi Town Council.
Mara ya mwisho kupita Masasi ni May 2023.. Duuh Masasi ya sasa ina barabara za lami mitaani, Ile Hospital ya Wilaya Mkomaindo na vyuo ya Afya(Masasi- COTC) vyote vimeboreshwa. Pale sokoni Kaumu Maghorofa yanajengwa. Stand kuu inahamishwa ili kutanua Mji, stand ya kisasa itaanza kujengwa soon.
Kumbe kupo vizuri! Nimeona viwanja Maili Sita kupitia TAUSI vipi ni sehemu mzuri?
 
Back
Top Bottom