Papaa Gx
JF-Expert Member
- Oct 10, 2016
- 11,097
- 17,929
Kwasasa unafanya inshu za kununua mazao?
Hii miji midogo kama una interest ya kulima na biashara ya Mazao kama Mimi unatoboa chap na haraka,,
Sema Mimi sijatulia tu.. hebu nitulie kwanza niende zangu Mangaka nikalime karame Karanga na ufuta