Big Nyota
JF-Expert Member
- Apr 2, 2018
- 378
- 575
Lakin kwa kuchangamka na vibe bado sana labd fursa km hzoKilimo Cha viazi na viwanda vya mbao, nguzo, plywood, parachichi, machimbo ya mchanga na biashara za kawaida
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakin kwa kuchangamka na vibe bado sana labd fursa km hzoKilimo Cha viazi na viwanda vya mbao, nguzo, plywood, parachichi, machimbo ya mchanga na biashara za kawaida
Mfano Njombe mji aisee stendi wameipeleka mbali kinoma lakin inaweza kuwa imesaidia kupanua mji maan njombe ilikuwa imejikusanya sana... Sehem zingne ni km IringaJengeni stendi Kwa sababu ya mahitaji sio kutanua Mji.Mji haukui Kufuata stendi huo ni ujinga wa watu wa Serikali,Mbeya walikataa huo upuuzi wanajenga Old Airport na Mji unaendelea kukua.
Sumbawanga,Iringa nk hakuna mtu anajenga Kufuata stendi matokeo yake stendi hazitumiki hata baada ya kulazimsha watu Kwa sababu wamejemga maporini huko Kwa akili hizo hizo za kukariri eti kutanua Mji.
Ruaha/kidatu ikpo Kilosa.. mpakani ninule moto Ruaha, na ndio maana Jimbo lao la Uchaguzi ni Mikumi.Bila kuisahau katoro-Geita! Alaf mleta uzi umesema kidatu/ruaha ipo kilosa lakini sio kweli hyo ipo wilay ya kilombero hat ukiangalia google map, alfu tunduma sio wilaya hyo ni wilaya ya Momba.
Niliwahi kusikia fulsa zilizopo Mlowo....na hapo
Mji kasoro bahari..
Oyah mkuu Kahama ni level nyingne inakuaje unaiandika na kna Kagongwa list moja.1. Kakola
2. Nyamongo
3. Kahama town
4. Kerende
5. Nyabichune
6. Mugumu
7. Runzewe
8. Kagongwa
9. Nyakanazi
Yn unaitaja Isaka unaiacha Kagongwa mkuu mbona Kagongwa ndio inakua kulko IsakaWilaya, Miji midogo na centers zinazokua kwa kasi
1. Makongolosi Chunya Mbeya
2. Tinde Shinyanga
3. Runzewe na Nyakanazi
4. Ifunda Iringa
5. Ilula
6. Kibaigwa Dodoma
7. Saza Songwe
8. Busisi Sengerema
9. Isaka Kahama
10. Lupa Chunya
11. Migoli Iringa
12. Mkwajuni Songwe
13. Igawa Mbeya
Inyonga kwenye mpunga1. Ndanda
2. Matai
3. Lyanzumbi
4. Rungwa
5. Inyonga
6. Lupa Tinga Tinga
7. Dumila
8.Laela
9. Mangaka
10. Madaba
11. Makambako
12. Tinde
13. Ikwiriri
14. Tura
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kumbe kupo vizuri! Nimeona viwanja Maili Sita kupitia TAUSI vipi ni sehemu mzuri?Tunduru na Masasi ni Wilaya ambazo zinakaribiana japo ziko ndani ya Mikoa miwili tofauti ila Masasi inazidi kukua zaidi, Sasa hivi Masasi wanamiliki Council mbili ambazo ni Masasi District Council & Masasi Town Council.
Mara ya mwisho kupita Masasi ni May 2023.. Duuh Masasi ya sasa ina barabara za lami mitaani, Ile Hospital ya Wilaya Mkomaindo na vyuo ya Afya(Masasi- COTC) vyote vimeboreshwa. Pale sokoni Kaumu Maghorofa yanajengwa. Stand kuu inahamishwa ili kutanua Mji, stand ya kisasa itaanza kujengwa soon.
Kuna fursa gani naomba utujuzeKisarawe
Kwa kweli Vwawa hapana, imekuwa makao makuu ya mbozi na sasa mkoa, lakini bado inazidiwa na mlowoSasa Vwawa ina vibe gani na wewe?
Nitafika hapo December nishangaeUsipoiandika Mbinga ujue uzi ni batili
Ndio ni nzuri ila hakujengeki sana,chukua kiwanja kwa malengo ya badaeKumbe kupo vizuri! Nimeona viwanja Maili Sita kupitia TAUSI vipi ni sehemu mzuri?
Hii uliyotaja sio Miji midogo ni Miji mikubwa na mingine ni Manispaa.Elewa madaTunduma, Nzega, kahama, mpanda.
Mbinga ni Mji mdogo?Usipoiandika Mbinga ujue uzi ni batili
Tangu lini Mbinga ikawa Mji mdogo?Weka Kiwira Mbeya na Mbinga Ruvuma