Miji miwili iliyobarikiwa zaidi na Mungu Tanzania

Nyie watu wa arusha sijui mtaacha masifa lini?
Kila mahali pamebarikiwa kulingana na mahitaji ya eneo husika
Mkishiba mbege basi mnajiona booora
Sio kweli kama ingekuwa hivyo tusingeona wachaga wakikimbia mji wao na kutapakaa katika maeneo ya miji mengine yenye baraka. ndio maana haiwezi kuwa moshi na Arusha kuna mibaraka inayodaiwa ipo. kwani hakuna asiyetaka kubarikiwa wote tungesongamana huko badala yake wakutoka huko wanakimbilia katika miji yenye baraka, kama unavyoona hakuna sehemu yenye neema na baraka katika nchi hii utamkosa mchaga.
 
Hivi kuna Mzaramo Profesa pamoja na chuo kuwa Dar
Watu wa mjini hawana haja ya kuhesabu au kujua maprofesa au wenye digrii kama wanavyofanya watu wa vijijini/ mikoani.Wako wengi lakini wanachukuliwa kama watu wa kawaida. Kuwa Profesa ni fahari yako na familia yako na pengine ukoo sio mkoa au wilaya.Huwa wanahesabu Marais na labda kidogo mawaziri ndio wanaweza vuta attention kwa wazaramo.Hiyo ni kawaida ya watu wa mikoani sio huku mjini actually ni vigumu kumkuta mtu wa mjini anaorodhesha idadi ya mtu asie na faida nae hata kidogo.
Mzaramo yake ngoma, unyago na jando kukaa maporini na kufundishana mapenzi. Awana muda wa kusoma, na wasipoangalia, kila miji inavyokuwa watazidi kupotea
Hakuna Mzaramo msomi
 
Watu wanatapakaa sehemu mbalimbali kukamata fursa za ki maendeleo kwa walio lala mfano wachina makapuni makubwa yana kuja Africa maana tumelala, wanachuna na kurudisha kwao huku wewe ukibaki maskini. So hoja ya kusema eti kungekuwa kuzuri wasingetoka ni wrong assumptions. Ndo maana kuna uwekezaji sehemu tofauti tofauti.
 
Aliye barikiwa hapungukiwi na kituuu
 
Aliye barikiwa hapungukiwi na kituuu
Unatumia vibaya huo msemo ndo maana kukawa na kuzunguka sehemu mbali mbali kutafta life ukikaa sehemu moja unakosa exposure na kuendelea ni ngumu maana mkiwa kijiji kimoja hamjui yanayoendelea sehemu nyingine, siunaona contribution ya kina Vasco Da Gama, Christopher Columbus na America!! Kukaa sehemu moja ni ujinga
 
Hayo madini hayana faida kama hiyo milima miwili hapo...
Wala hayasogelei.
Hayo madini yataisha mapema zaidi ya hiyo milima.

Afu hiyo kanda ya ziwa imejaa vilaza...
Nguvu nyingi akili kidogo.
bangi zako zinakuharibu we dogo.
 

mcheki huyu nae,,, hakunaga mkoa wa Moshi wew,......
 

Boya tyu kama maboya wengine,,, Ajionae bora kuliko wengine in reality ndo pumbafu kuliko wote,,,,!!!
 
Poa ndugu, ngoja niache nimegundua unashida kidogo na maana ya Baraka au kubarikiwa ama kifupi niseme hivi uzoefu unaonesha walioko kwenye neema mara nyingi fursa huwaga kwao kuzitambua ni shughuli, lakini walioko kenye dhiki na shida ndio huzibaini fursa kwa haraka. sasa hapo sijui baraka ziko upande upi.
 
HOVYOOOOOOO!!YAANI KUBARIKIWA NI KUWA NA MT KILIMANJARO,???WAAFRICA TUNALAANA KWELI,
 
Amen umenena naona wanapgana lkn watashindwa km Mosh kilimanjaro naifananisha na NCHI YA AHAD
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…