Miji nayotamani kuitembelea na kwa sababu gani.

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] amini
 
Mji tulivu utakaonifanya nipate amani ya kweli japo kwa mda mfupi.
 
..dubai
why mimi ni fan wa magari sana....
kule ni shamba la supercars....
ĺamboz.porschez and the likes.....
 
Usije jipendekeza kwa wabongo huko SA,hawana shobo na mtu kule ni mwendo wa (Do ya' thing nigga).
 
Havana inanihusu,nikaone yale Magari yao ya kizamanii.

Huko Himalaya+Alpes patahusika tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…