hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,678
- 63,304
hahaaa umeona eehh basi na muelewa mnoo yule ajuza sana yaaniJanet " Damita Jo"...kimama kina pozi kile sijawahi ona!
Yaani ukimuuliza swali anakaa dk 5 ndo akujibu, unaweza kudhani bubu!
Nachompendea anajua kupiga pamba, na hajajikwakua kivile japo surgery za boobs na pua ni kwa sana, ila ana ngozi nzuri!
At 51 kimama kinaongea kama mtoto wa darasa la pili[emoji23] [emoji23]