Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakuu habari ya uzima?
Kama mada inavyojieleza, ningependa kujua kutoka kwa yeyote anayefahamu dawa za hawa mijusi wanao zurura ndani ya nyumba naomba anijuze tafadhari.
Mambo gani mkuu?Mkuu hao achana nao wanasaidia sana mambo mengi hujui tu
Watakula wadudu wote watambaao na warukao, waache tu.Mambo gani mkuu?
Wakiwakosa wadudu watatoboa kabati, mabegi, pochi na hata kuwa ng'ata miguu wenye nyumbaWatakula wadudu wote watambaao na warukao, waache tu.
AiseeKuna mwenzio juzi alianzisha uzi wa kuhoji; kwanini Tanzania hatudai mapato yaliotokana na mjusi wetu alie ujerumani. Wewe leo umeanzisha uzi unataka kuua nyara za serikali?
Mijusi hawana hiyo tabia.Wakiwakosa wadudu watatoboa kabati,mabegi,pochi na hata kuwa ng'ata miguu wenye nyumba
Angalia rate yako ya Luigi’s malaria has jamaa wanakula sana mbu biological controll unzip wanaolete mavi Kwa vyombo cocroach nkWakuu habari ya uzima?
Kama mada inavyojieleza, ningependa kujua kutoka kwa yeyote anayefahamu dawa za hawa mijusi wanao zurura ndani ya nyumba naomba anijuze tafadhari.
Mimi nimewaacha wajimwambafai mwambafaiWatakula wadudu wote watambaao na warukao, waache tu.
Hao ni viumbe ka wewe na hu balance nature so ya mikosi sidhaniHAO WADUDU HAWAFAI NI MKOSI KUENDELEA KUWEPO HAKIKISHA UNAWATOA KWA KUWAYEGEA BACKING SODA A.K.A MAGADI SODA
Ebu nitafsirie hii lugha uliyotumia hapa mkuuAngalia rate yako ya Luigi’s malaria has jamaa wanakula sana mbu biological controll unzip wanaolete mavi Kwa vyombo cocroach nk