Mijusi ndani ya nyumba; Dawa inahitajika

Mijusi ndani ya nyumba; Dawa inahitajika

Kuna mwenzio juzi alianzisha uzi wa kuhoji; kwanini Tanzania hatudai mapato yaliotokana na mjusi wetu alie ujerumani. Wewe leo umeanzisha uzi unataka kuua nyara za serikali?

Ni makosa ile skeleton ya yule dainasori kuiita mjusi ([emoji1656] lizard). Kwanza urefu wake pekee balaa, bado kimo kwenda juu, hata tembo hafui dafu... Na ikitokea akarudishwa hapa bongo sijui labda wampeleke Ukumbi wa mlimani City, tena watoe viti vyooteee ndo ataenea.
 
Mimi kwangu Kuna mijusi mingi chakushangaza nikisafiri na mijusi hupotea siku nikirudi tu ndani ya nusu saa wamerudi, Hadi hushangaa sijawahigi kuwaza kuwaua maana Wana umuhimu wao.
Kwa sababu ukiwepo na unapowasha taa, hasa usiku wanatoka kuwinda wadudu warukao kufuata taa au mwanga. Wanasaidia sana kula buibui, wadudu kama mbu, inzi etc... Ni muhimu sana hawa
 
Mkuu HV hii ya nguvu za Giza ni kweli, maana Nina Dada yangu kaokoka uwa anapambana nao anawaua Yani akimwona ndani kwake bas kifo Mimi uwa naona Kama anawaonea ukizingatia Mimi bado mchanga Sana kiimani
Nu kweli wanatumika kichawi wapo kama ma spy
 
Mkuu HV hii ya nguvu za Giza ni kweli, maana Nina Dada yangu kaokoka uwa anapambana nao anawaua Yani akimwona ndani kwake bas kifo Mimi uwa naona Kama anawaonea ukizingatia Mimi bado mchanga Sana kiimani
Anawaonea kweli
 
Mimi kwangu Kuna mijusi mingi chakushangaza nikisafiri na mijusi hupotea siku nikirudi tu ndani ya nusu saa wamerudi, Hadi hushangaa sijawahigi kuwaza kuwaua maana Wana umuhimu wao.
Ukisafiri unajuaje wanapotea na wakati haupo? JF mnaamini watu wote humu ni watoto kama ninyi.
 
Tafuta paka dume,paka hukamata kila kitaambacho ndani ya nyumba,nyoka,panya,mijus n.k
Mm paka wangu huwakamata na kuwatafuna kwa hasira hao mijusi.
Wametoeka kabisa nyumbani.
Wachache wapo store na chooni.
Sasa hili paka hupenda kuangaza angaza macho chooni akiona huunguruma na kuwaarukia hasa wale walio karibu kwa kimo.
 
Faida ya mijusi kula vidudu...Ila hasara inatumika kwenye nguvu za Giza..mwagia maji ya baraka nyumbani kwako.

Hii inaweza kuwa na ukweli ndani yake mimi waifu aliniambia aliwamwaga maji ya baraka ndani ya nyumba yaani kesho yake aliwakuta wamekufa wengine wametulia tu wazima lakini hawakimbii hawana nguvu akawafagia na kuwatupa nje sijamuuliza tena kama walirudi
 
Mimi kwangu Kuna mijusi mingi chakushangaza nikisafiri na mijusi hupotea siku nikirudi tu ndani ya nusu saa wamerudi, Hadi hushangaa sijawahigi kuwaza kuwaua maana Wana umuhimu wao.
Ni ndugu zako tayr ishi nao kwa wema
 
Hii inaweza kuwa na ukweli ndani yake mimi waifu aliniambia aliwamwaga maji ya baraka ndani ya nyumba yaani kesho yake aliwakuta wamekufa wengine wametulia tu wazima lakini hawakimbii hawana nguvu akawafagia na kuwatupa nje sijamuuliza tena kama walirudi
Hawakuwa wema hao..hata vipepeo si vizuri ndani ya Nyumba.
 
Hii inaweza kuwa na ukweli ndani yake mimi waifu aliniambia aliwamwaga maji ya baraka ndani ya nyumba yaani kesho yake aliwakuta wamekufa wengine wametulia tu wazima lakini hawakimbii hawana nguvu akawafagia na kuwatupa nje sijamuuliza tena kama walirudi
Kwahiyo na wewe ukakubali kudanganywa? Hizo Ni iman tu ukiwa na iman za kshirikina hata ukikuta mtu kamwaga maji nje unahisi huu ni mtego unabadili njia
 
Back
Top Bottom