Kuna mtumishi aliniambia wanatumika kwenye ulimwengu wa giza, unaporudi na kuwaona wameongezeka hapo wanakuwa kazini kufanya ufukunyuku na kutuma taarifa kwa waliowatuma..Mimi kwangu Kuna mijusi mingi chakushangaza nikisafiri na mijusi hupotea siku nikirudi tu ndani ya nusu saa wamerudi, Hadi hushangaa sijawahigi kuwaza kuwaua maana Wana umuhimu wao.