Mtangoo
JF-Expert Member
- Oct 25, 2012
- 6,167
- 5,613
Hama, umetapeliwa!Kuna mtumishi aliniambia wanatumika kwenye ulimwengu wa giza, unaporudi na kuwaona wameongezeka hapo wanakuwa kazini kufanya ufukunyuku na kutuma taarifa kwa waliowatuma..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hama, umetapeliwa!Kuna mtumishi aliniambia wanatumika kwenye ulimwengu wa giza, unaporudi na kuwaona wameongezeka hapo wanakuwa kazini kufanya ufukunyuku na kutuma taarifa kwa waliowatuma..
Harufu yake tuNi harufu hawaipendi ama wakila wanakufa?
Kwamba ukisafiri mijusi huwaoni? Swali huwa unaacha macho yako nyumbani halafu unasafiri bila macho?Mimi kwangu Kuna mijusi mingi, chakushangaza nikisafiri na mijusi hupotea siku nikirudi tu ndani ya nusu saa wamerudi, Hadi hushangaa sijawahigi kuwaza kuwaua maana Wana umuhimu wao.
[emoji1][emoji1] mbona nimeelezea huko juu kuhusu hyo issue ndo ikabidi niwaulize wanazengoKwamba ukisafiri mijusi huwaoni? Swali huwa unaacha macho yako nyumbani halafu unasafiri bila macho?
Ile mifupa walisema ni tani zaidi ya ishirini, huo uzito ni karibia zaidi ya tembo 15Ni makosa ile skeleton ya yule dainasori kuiita mjusi ([emoji1656] lizard). Kwanza urefu wake pekee balaa, bado kimo kwenda juu, hata tembo hafui dafu... Na ikitokea akarudishwa hapa bongo sijui labda wampeleke Ukumbi wa mlimani City, tena watoe viti vyooteee ndo ataenea.
Walozi kama nyie lazima mpinge, maana ndo mambo yenu hayo....Hama, umetapeliwa!
Walozi utawajua tu!Walozi kama nyie lazima mpinge, maana ndo mambo yenu hayo....
Alaf usiku huwa wanakoroma Hawa mijusi wanakera kinyama
Nyuma umefunga dari? (Ceiling)Mimi ishu sio mjusi tu ila ni mjusi wa ajabu, ukishtuka in the middle of the night unaweza mkuta yupo koridoni kwenye sakafu. Uki attempt kumpiga ile unavuta fagio au lapa unashangaa kayeyuka.
Kuna siku mchana niko na wife na mtoto chumbani mtoto akanisanua baba mjusi yule. Ile nimeamka ntafute kitu cha kumpiga nageuza shingo hivi kurudisha jicho alipokuwepo kwenye kona ya dari shwaaa ameyeyuka live kwa macho yangu namuona na mke akishuhudia kilichotokea.
Sahizi nawaua kila ntapombamba.
wewe utakuwa na imani za kishirikina nahisi unatoka ule mkoaHAO WADUDU HAWAFAI NI MKOSI KUENDELEA KUWEPO HAKIKISHA UNAWATOA KWA KUWAYEGEA BACKING SODA A.K.A MAGADI SODA
Unajuaje kama wanapotea ukisafiri na wakti haupo?Mimi kwangu Kuna mijusi mingi, chakushangaza nikisafiri na mijusi hupotea siku nikirudi tu ndani ya nusu saa wamerudi, Hadi hushangaa sijawahigi kuwaza kuwaua maana Wana umuhimu wao.
Mhh.. wana shida gani boss?HAO WADUDU HAWAFAI NI MKOSI KUENDELEA KUWEPO HAKIKISHA UNAWATOA KWA KUWAYEGEA BACKING SODA A.K.A MAGADI SODA
hii ni mpya kwangu, hao mijusi tangu lini wanatoboa mabegi ndani ya nyumba?Wakiwakosa wadudu watatoboa kabati, mabegi, pochi na hata kuwa ng'ata miguu wenye nyumba
Hakuna kitu kama hicho mijusi ni kama viumbe wengine ndani ya Nyumba ni sawa na mende, Panya , sisimizi.Mijusi ndani ya nyumba ni dalili ya kuwepo na mambo ya giza ndani ya nyumba, fanya mpango kuwaona wataalamu wa tiba asilia
Dari lipoNyuma umefunga dari? (Ceiling)