Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,394
- 59,069
Ndiyo ivyo mpendwaDuh hii habar mpya kwangu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo ivyo mpendwaDuh hii habar mpya kwangu.
Mnatakiwa mpige fumagation kuua kila aina wadudu, sio kutegemea mjusi kuua wadudu wengine wakati hao mijusi pia ni hatari sana, wakiingia kwenye chakula wanaua familia nzima
Mm nimeanza zoezi la kuwafukuza na hata kuwapiga kila niwaonapo kiasi flani nimewapunguza hata kunya ovyo wamepunguzaHili la kunya nakuunga mkono [emoji817]% yan mavi kibao ukutani
✓✓Sidhani kama kweli anawatafuna kwa hasira bali ni vile hua anawala haraka haraka ili wasimkimbie.Eti JC nisaidie kujibu hilo swali,kwa nini paka anawakamata na kuwatafuna kwa hasira?
Wakuu habari ya uzima?
Kama mada inavyojieleza, ningependa kujua kutoka kwa yeyote anayefahamu dawa za hawa mijusi wanao zurura ndani ya nyumba naomba anijuze tafadhari.
Wale weupe nasikia wakikung'ata dawa hamna..Mimi nimewaacha wajimwambafai mwambafai
Basi inategemeana na aina ya mjusi nakumbuka kuna iipindi nilikuwa na njaa balaa nikaandaa msosi chapchap ambao ulikuwa wali mkavu, ile wakati nageuza mara ya mwisho ndio nipakue nakuta mjusi kaivia mpaka kabaki kichwa na kiwiliwili tu, hakuna cha mkia wala miguu nikamtoa nikamtupa.Mnatakiwa mpige fumagation kuua kila aina wadudu, sio kutegemea mjusi kuua wadudu wengine wakati hao mijusi pia ni hatari sana, wakiingia kwenye chakula wanaua familia nzima
Dawa ya mijusi aina yote ndani ya nyumba ni unyoya wa ndege tausi, katafute mmoja kwenye maduka ya vitu vya asili iwe ni kariakoo au popote pale, then uning'inize ndani kama ni sebuleni or elsewhere. Mijusi itabaki historia wanaogopa sana nyoya la tausiWakuu habari ya uzima?
Kama mada inavyojieleza, ningependa kujua kutoka kwa yeyote anayefahamu dawa za hawa mijusi wanao zurura ndani ya nyumba naomba anijuze tafadhari.
Hataki mchezo ndani ya nyumba...anajiona yy ndo mmiliki.Kwa nini kwa hasira?
Taifanyia kazi, bei ya unyoya inaweza kua shilingi ngapi?Dawa ya mijusi aina yote ndani ya nyumba ni unyoya wa ndege tausi, katafute mmoja kwenye maduka ya vitu vya asili iwe ni kariakoo au popote pale, then uning'inize ndani kama ni sebuleni or elsewhere. Mijusi itabaki historia wanaogopa sana nyoya la tausi
Mkuu mbona hawanaga shida na mtu, Mimi uwa Sina shida nao kabsa maana Wana Mambo yao, sema huku siku hizi siwaoni sijui wamekimbia corona
😂😂😂 Watakuwa karantiniIla wewe umenichekesha [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mbona nimeshaelezea huko juu au hujaona?Ukisafiri unajuaje wanapotea na wakati haupo? JF mnaamini watu wote humu ni watoto kama ninyi.
Wewe nyumba yangu haina vitu vingi hata kupika huwa sipiki kabisa huo uchafu watoka wapi, acha ujuaji kwa miji ya watu usiyo ijua. Eti usafi sasa unafikiri hao mijusi waliumbwa Ili iweje kasome biology ujue Mambo ya nature kwahyo mijusi ya porini ni uchafu. Ujuaji tuItakua kwako kuna wadudu wengi unaporudi unakuwa sio mtu wa kusafisha nyumba au unakula chakula kila sehem, jitahid kuwa msafi ... mijusi wanakua kwa wingi pale tu kunapokua na wadudu, mende, sisimizi .. wale wanaokula sukari n.k .. ili kuindoa chain hiyo usafi muhim
Duh kumbe hung'ata Mimi huwaona ukutani hukoWale weupe nasikia wakikung'ata dawa hamna..
Mijusi usiku wanalala, marachache kuwaona usiku, unaweza waona karibu na taa wakivizia wadudu wanaofuata mwanga.Hata Mbu?
Duh mkuu nimesisumuka sana, ila labda ni kwa kuwa mjusi hajachemkia bali ameungulia katika wali sehemu tu na sio kote kama ingekua ni mchuzi/mboga ingekua kitu kingine, ila mkuu mijusi wana sumu sana asikuambie mtu, ni bahati tu uli survive,Basi inategemeana na aina ya mjusi nakumbuka kuna iipindi nilikuwa na njaa balaa nikaandaa msosi chapchap ambao ulikuwa wali mkavu, ile wakati nageuza mara ya mwisho ndio nipakue nakuta mjusi kaivia mpaka kabaki kichwa na kiwiliwili tu, hakuna cha mkia wala miguu nikamtoa nikamtupa.
nilikuwa na njaa sana sikuweza kuacha msosi sababu sikuwa na hela, hivyo nikala msosi hivyo hivyo japo kwa kuuchambua sana na kwa kujilazimisha sana lakini nilipiga sahani nzima na mpaka leo nadunda