Mika Mwamba kali kweli alikuwa mkali

Mika Mwamba kali kweli alikuwa mkali

Write your reply... Jamaa mwakajana alirudi bongo akahojiwa na millard ayo, alisharudi kwao finland
 
Write your reply... Jamaa mwaka jana alikuja bongo akahojiwa na millard ayo, jamaa yupo zake kwao finland
 
Correction kidogo
Wanok nok mandojo&domokaya ft jide ni production ya P Funk Majani Bongo Records
Niaje dojo domokaya pia ni production ya P Funk Majani

Mikka Mwamba pia aliproduce ngoma hizi
1. Vumilia - utanikumbuka
2. Chid Benz ft mzee yusuph raha za dunia
3. Chege twenzetu
4. Album nzima ya Mad Ice ya kwanza
5. D Knob ft Q Jay Kitu gani
6. Papii kocha& nguza SEA
7. Papii kocha Fanta
8. papii kocha ft jay dee moyo
9. Papii kocha Salima
10. K-sal ft ferooz mwana mkiwa
11. Benjamin wa mambo jambo ft mad ice-wanasema nimedata
12. Mr Nice king'ast
13. Mr Nice kila mtu na demu wake
14. Mr Nice Mama
15. Mchizi Mox Mambo vipi
16. Inspector Haroon mtoto wa gate kali
17. Picco Kikongwe
18. Jiti ft waziri sonyo -Ndoto
19. Bushoke -msela jela
N.k Pia Miika alishiriki kufanya production nying za bendi hapa tz

MIIKKA KALI MWAMBA NI NYOTA YA BONGO FLAVA ISIOTHAMINIWA MCHANGO WAKE MKUBWA KWENYE MZIKI.
RESPECT MIIKKA MWAMBA
Mkuu nakuomba tafadhali audio ya Salima papii kocha please. Yani hii hata YouTube hamns
 
Inasemwa beat ambazo majani alishindwa kuwatengenezea baadhi ya wasanii alimuomba mika amsaidie...
Majani unajua alikuwa anafanyaje? Ilikuwa akinyonga beat akaona kifaa flani kikipigwa na producer flani labda Ludigo,au bizman,au miika whoever hakuwa anasita kum consult na jamaa akaja akafanya hiyo kazi! Ndo mana beats za majani zilikuwa zinatoka na ubora ule ule
 
Respect miika mwamba. ..Niliwahi kusikia interview yake '" Alisema kuwa alikuwa hapendi kutokea kwenye media katika wakati ule
Correction kidogo
Wanok nok mandojo&domokaya ft jide ni production ya P Funk Majani Bongo Records
Niaje dojo domokaya pia ni production ya P Funk Majani

Mikka Mwamba pia aliproduce ngoma hizi
1. Vumilia - utanikumbuka
2. Chid Benz ft mzee yusuph raha za dunia
3. Chege twenzetu
4. Album nzima ya Mad Ice ya kwanza
5. D Knob ft Q Jay Kitu gani
6. Papii kocha& nguza SEA
7. Papii kocha Fanta
8. papii kocha ft jay dee moyo
9. Papii kocha Salima
10. K-sal ft ferooz mwana mkiwa
11. Benjamin wa mambo jambo ft mad ice-wanasema nimedata
12. Mr Nice king'ast
13. Mr Nice kila mtu na demu wake
14. Mr Nice Mama
15. Mchizi Mox Mambo vipi
16. Inspector Haroon mtoto wa gate kali
17. Picco Kikongwe
18. Jiti ft waziri sonyo -Ndoto
19. Bushoke -msela jela
N.k Pia Miika alishiriki kufanya production nying za bendi hapa tz

MIIKKA KALI MWAMBA NI NYOTA YA BONGO FLAVA ISIOTHAMINIWA MCHANGO WAKE MKUBWA KWENYE MZIKI.
RESPECT MIIKKA MWAMBA
 
Back
Top Bottom