Mikanganyiko katika Biblia ni kigezo kinachowapa watu uhalali wa kusema hakuna Mungu

Mikanganyiko katika Biblia ni kigezo kinachowapa watu uhalali wa kusema hakuna Mungu

Naona unaanzisha wimbo kwa 'wrong tune'. Kwanza, wanaosema kwenye Biblia kuna mikanganyiko ni akina nani? Pili, je mikanganyiko ni proof kwamba kitu fulani hakipo? Mfano, ikitokea ajali ikaripotiwa na watu watatu kwa muda tofauti na sehemu tofauti, je hiyo habari haitakuwa na mkanganyiko? Je, kama ina 'mkanganyiko' ndiyo kusema ajali haikutokea? Nikupe mfano: "Ajali ya gari imetokea Kijiji A na kuua watu 10 na kujeruhi wengine 20". Kuna waandishi wa habari watatu. Mwandishi X aliyefika sehemu ya tukio anaripoti hivi: "Ajali imetokea Kijiji A na kuua watu 11 na kujeruhi wengine 19." Mwandishi Y anaripoti hivi: "Ajali imetokea Kijijii A na kuua watu 15 na majeruhi 15 wamelazwa". Huyu mwandishi hakwenda sehemu ya tukio, bali alienda hospitali na kisha akaenda mochwari kuona miili iliyohifadhiwa. Mwandishi Z anaripoti hivi: "Ajali imetokea na kuua watu 10 na kujeruhi wengine 20". Huyu mwandishi hakuwepo sehemu ya tukio, hakwenda hospitali na wala mochwari, bali alienda polisi na kuambiwa na polisi kuhusu ajali iliyotokea. Maswali: Je, habari hii ina mkanganyiko? Je, ajali hii imetokea? Je, je idadi ya majeruhi na waliofariki kwa jinsi ilivyoripotiwa, waandishi waliripoti idadi sahihi au walipika habari? Hebu jaribu kusoma vizuri na ujibu hayo maswali, halafu tutarudi kwenye hoja yako.
Biblia imejimwambafai yenyewe kwamba ni perfect na haina madhaifu? Hiyo relation haiendani na biblia na ni kuikosea biblia hadhi yake. Hao waandishi wa habari unaowasema walikuwa na roho mtakatifu kama waandishi wa kwenye bible?
 
Hapana,mungu hakumpangia mtu yeyote matendo.tunatenda sisi sababu tuna akili
Unataka kuniambia kipindi Mungu/Allah anakuumba alikuwa hajui kama utakuja kutenda dhambi???

Yaani amekuja kujua umetenda dhambi baada ya wewe kutenda???

Kwa hiyo Mungu/Allah Hana uwezo wa kujua kiumbe chake alichokiumba kama kitakuja kumsaliti au kutenda dhambi na kitaenda motoni, basi Mungu/Allah huyu anatofauti gani na binadamu wa kawaida?
 
Msio amini uwepo wa Mungu mnajichagulia njia ya "KIPUMBAVU SANA" ... Haya fanya Mungu hayuko, inakuongezea nini au kukupunguzia nini zaidi ya KUJIFANYA MJUAJI SANA ( unasoma biblia ili utafute makosa)
Naita njia ya kipumbavu kwa sababu moja tuu . Ikitokea mimi ninae Muamini Mungu nikifa nikienda niendako nikikuta uwepo wake ni poa tuu . Na nikienda nikakuta hamna uwepo wake ni poa tuu SIKOSI CHOCHOTE .. ila wewe umejichagulia chaguo moja tuu lisilo na ulazima kulichagua zaidi ya kujifanya mjuaji ...haya umekufa ukae kumkuta UTAJITETEA AJE [emoji1787][emoji1787][emoji1787] jibu utakua nalo wewe .

ILA YOTE KWA YOTE NYIE MSIO MUAMINI MUNGU, MUNGU NDIE ANAE WAPENDA ZAIDI ...
Hizo sehemu za kwenda baada ya kifo ni zipi hizo?
 
Msio amini uwepo wa Mungu mnajichagulia njia ya "KIPUMBAVU SANA"
Mungu huyo, Alishindwaje kuumba binadamu wenye ufahamu wa kumwamini yeye yupo kwa wakati wote?

Na kufuta ufahamu wa kutomwamini yeye hayupo kwa namna yoyote ile?

Yeye si mnadai ni Mungu muweza wa vyote?

Sasa, Mungu Alishindwaje kufanya hivyo kama anataka aaminiwe yeye yupo siku zote?
... Haya fanya Mungu hayuko, inakuongezea nini au kukupunguzia nini zaidi ya KUJIFANYA MJUAJI SANA ( unasoma biblia ili utafute makosa)
Na wewe kuamini Mungu yupo, Niambie ime kuongeza nini tofauti na mimi nisiye mwamini Mungu huyo?

Shida za dunia kila mtu ana zi experience, kufa kila mtu atakufa.
Naita njia ya kipumbavu kwa sababu moja tuu . Ikitokea mimi ninae Muamini Mungu nikifa nikienda niendako nikikuta uwepo wake ni poa tuu . Na nikienda nikakuta hamna uwepo wake ni poa tuu SIKOSI CHOCHOTE .. ila wewe umejichagulia chaguo moja tuu lisilo na ulazima kulichagua zaidi ya kujifanya mjuaji ...haya umekufa ukae kumkuta UTAJITETEA AJE [emoji1787][emoji1787][emoji1787] jibu utakua nalo wewe .
Nikifa nikamkuta huyo Mungu yupo Nitampiga maswali mengi sana na nitahitaji anipe majibu ya kueleweka yaliyo nyooka.....

Nita muuliza Mungu huyo hivi 👇

1-Wewe Mungu muweza wa vyote, Ulishindwaje kuumba Binadamu wema tu, watakao kutii siku zote za maisha yao?

2-Wewe Mungu Mkamilifu, inakuwaje Dunia uliyo iumba mwenyewe ina uovu, ukatili, uasi, dhambi na mabaya ilhali uwezo wa kuumba Dunia isiyo na uovu wala mabaya unao na ulikuwa nao?

3-Wewe Mungu muweza wa vyote, Ulishindwaje kuumba Dunia isiyo na uovu wala mabaya?

4-Wewe Mungu mwenye Upendo na huruma, Kwa nini una acha viumbe wako vipitie shida, ukatili na majanga mbalimbali?

Mfano mzuri wa hivi karibuni ni mafuriko ya Hanang mkoani Manyara, yaliyo ua watoto wachanga na watoto wadogo wasio na hatia yeyote ilhali watu hao husali sana kukuomba uwatete na kuwa okoa kwenye shida zao lakini Nothing happened???

Maswali ya kumuuliza Mungu huyo ni mengi mengi mengi sanaaa!!!
ILA YOTE KWA YOTE NYIE MSIO MUAMINI MUNGU, MUNGU NDIE ANAE WAPENDA ZAIDI ...
Mungu hayupo na hata uwezekano wa kuwepo kwake Haupo.

Mungu huyo Angekuwepo na angekuwa anatupenda asinge tuumba kwenye dunia yenye uovu, ukatili na shida za kila aina.

Kwanza huyo Mungu kama yupo inabidi atandikwe viboko sana kwa kutu umba kwenye dunia yenye mateso na uovu...😄

Halafu yeye anakula bata huko mbinguni na malaika zake...😅
 
Kwahiyo mkuu ulitaka uumbwe kama Malaika maana Malaika ndio hawafanyi uovu

Binadamu amewwkewa njia mbili njia ya mema na njia ya uovu na amepewa nafsi na akili ya kuchagua atakacho

Na amewwkewa moto na pepo pia amepewa nafsi na akili Ili achague anakotaka kuenda
Kwani nini chanzo cha uovu???

Nini sababu iliyosababisha binadamu tuwe waovu maana Kwa maelezo ya vitabu binadamu wa mwanzoni walikuwa hawatendi uovu na waliishi Kwa Amani Tu, kiasi kwamba walikuwa wanatembea uchi lakini walijiona wapo sawa Tu,

Nini chanzo cha binadamu kuanza kutupwa motoni????
 
Unataka kuniambia kipindi Mungu/Allah anakuumba alikuwa hajui kama utakuja kutenda dhambi???

Yaani amekuja kujua umetenda dhambi baada ya wewe kutenda???

Kwa hiyo Mungu/Allah Hana uwezo wa kujua kiumbe chake alichokiumba kama kitakuja kumsaliti au kutenda dhambi na kitaenda motoni, basi Mungu/Allah huyu anatofauti gani na binadamu wa kawaida?
Hawezi kuwa binadamu wa kawaida.
maisha ya binadamu sio maigizo yenye script. NI KITU ASILIA.umezaliwa unakuwa unaishi,unakuja kukutana na mafundisho ya mungu anataka uishi anavyotaka yeye.ukienda kinyume utakuwa unatenda dhambi.mungu anajua unayofanya ya siri nadhahiri
 
Kwahiyo mkuu ulitaka uumbwe kama Malaika maana Malaika ndio hawafanyi uovu

Binadamu amewwkewa njia mbili njia ya mema na njia ya uovu na amepewa nafsi na akili ya kuchagua atakacho

Na amewwkewa moto na pepo pia amepewa nafsi na akili Ili achague anakotaka kuenda
Mungu mwenyewe anasema binadamu ni dhaifu. How comes anampa option zenye mitego? Hata binadamu hampi mtoto wake sukari na sumu akamwambia chagua cha kulamba.
 
Kwa hiyo Mungu aliumba shetani?

Unaona sasa Mungu huyo alivyo mkatili? 😆

Yani Mungu anaumba Shetani wa kuleta uovu duniani halafu anataka tutende mema..!!

Niki kwambia kwamba, Maandiko ya kidini ni Hadithi za kutungwa ndio kama hivi sasa.
Unashangaa shetani kuumbwa na mungu kwani wewe umeumbwa na nani?
 
Hawezi kuwa binadamu wa kawaida.
maisha ya binadamu sio maigizo yenye script. NI KITU ASILIA.umezaliwa unakuwa unaishi,unakuja kukutana na mafundisho ya mungu anataka uishi anavyotaka yeye.ukienda kinyume utakuwa unatenda dhambi.mungu anajua unayofanya ya siri nadhahiri
Tumekubaliana kuwa Mungu/Allah anauwezo WA kujua lililopita, lililopo na lijalo,

Swali langu kama anauwezo WA kujua mpaka litakalokuja kunikuta, yaani kama anajua kabla ya kuniumba kuwa Mimi nitatenda dhambi na nikifa nitaenda motoni ambao kauweka yeye Kwa makusudi, maana yake kaniumba maalumu ili baada ya maisha ya duniani kumalizika akanichome moto
 
Kama hamna binadamu mwenye uwezo wa kumuona Mungu, Aliyesema Mungu yupo alifahamu vipi?

Alimuona wapi huyo Mungu?
Mwana Damu pekee aliye fanikiwa kumuona Mungu uso kwa uso ni MUSA pekee
Namwenginevatakaye muona atakufaa hata ishiii

Soma KUTOKA 33 yote hasa mstar wa 11 na 20

Najua mistari hiyo hauta weza kuielewa kwasababu una jaribu kusoma Biblia kama Phyisics

Maana:
Kumuona Mungu uso kwa uso maana yake kama Kumuna Mungu kama unavyo muona rafiki yako it means unaweza uka mshika..saa hiyo Mungu akiwa katika umbo kamili la Mungu

Najua una jiuliza kwamba mtu hawezi kumuona Mungu katika umbo lake la Uungu kwa macho ya kawaida ?

Jibu ni kweli (KUTOKA 33:20)

Lakini hii hamaanishi kwamba Mungu haonekani usije ukaelewa vibaya tena

Kuna Mwili wa nyama na pia Kuna Mwili wa roho

Mungu ni roho sio Mwili huu unao endaa choonii

Nataka ujue kutofautisha kati ya Mwili na Roho

Ingawa najua hapa nakuchanganya zaidi....ila itakuja kuelewa siku mojaa

Kwahiyo katika machoo ya rohooo Mtu anaweza akamuona Mungu uso kwa uso lakin Katika macho ya mwili akimuona atakufaa

Sijui kama hata hayo macho ya roho unayaelewajee nikianza kukuelewesha hapa mpaka uelewe na hivyo hauna IMANI huta weza kuelewa

Sasa mkichukua huu mstari wa KUTOKA 33:11 na ule unaosema kila jicho Lita muona

Mtasema Kuna Contradiction kumbe mme kurupuka tuu

Hamna Contradiction yeyote
Maana wakati huo wakila jicho kumuona mpaka WEWE utamuona, hautakua katika Mwili wa kibinadamu na WEWE utakua katika rohoo

Swali jingine nahisi kwamba una jiuliza

Sasa Mungu haonekani kwa macho ya nyama WEWE unajuaje kama yupo?

JIBU:Nimeona matendo ya Mungu kwa ishara nyingi na maajabuu yake kwanjia ya Imani na ishara hizo ni dhahiri katika hali ya kibinadamu ambavyo kwangu Mimi vimetosha kunidhihirishia kwamba Kwamambo hayo Mungu yupo

Mfano wa Mambo mawili (hayo machache tuu)

1. Kumuombea mtu mwenye mapepo nikiwa na Miaka 9 tuu (kipindi hicho namimi nilikua na jaribu tu hayo mapepo ni kweli au uongoo)

Sio kumuombea tu ndo kulinifanya niamini Bali kuliambatana na ishara za Mungu nyingi mbayo kwamaneno ya kawaida haya elezeki

Ndomana nakwambia mtafute Mungu na nguvu zake haya mambo yapo sio mpaka mtuu akuelezee

YEREMIA 33:1-2

WEWE muite Mungu kwa kumtafuta kwa ukamilifu ata kuitikia na kukuonesha mambo MAKUBWA, MGUMU usiyo uajua

Sasa WEWE unataka mtu akwambie sijui Nini au mpaka a fanye calculation

2: MIUJIZA MINGI ambayo Mungu kanifanyia

Navingine Vingii sanaaaa...

Sasa kama hivyo havitoshi Sema WEWE unataka kuona Nini ndo uaminii Mungu yupo



Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Unashangaa shetani kuumbwa na mungu kwani wewe umeumbwa na nani?
Hapa ndipo suala linapokuja Kwamba Mungu/Allah alijua atakuja kuumba binadamu halafu atawachoma Moto makusudi akaamua kumuumba shetani halafu baadae akamuumba binadamu, baada ya hapo binadamu akawa hatendi dhambi maana walikuwa wametengenezwa hivyo, baadae Mungu/Allah akaja na mpango kazi akamtuma shetani amdanganye binadamu ili ipatikane sababu ya kumchoma moto, yaani kila kitu kipo planned
 
Kwa hiyo Mungu aliumba shetani?

Unaona sasa Mungu huyo alivyo mkatili? [emoji38]

Yani Mungu anaumba Shetani wa kuleta uovu duniani halafu anataka tutende mema..!!

Niki kwambia kwamba, Maandiko ya kidini ni Hadithi za kutungwa ndio kama hivi sasa.
Dhaa ila nyie watuu....

Nahisi Mana ya MUNGU itakua sijui mlielewaje

MUNGU ni nani Kwanza ??

Maana unauliza maswali kama mtu ambaye sijui nisemaje

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Hapa ndipo suala linapokuja Kwamba Mungu/Allah alijua atakuja kuumba binadamu halafu atawachoma Moto makusudi akaamua kumuumba shetani halafu baadae akamuumba binadamu, baada ya hapo binadamu akawa hatendi dhambi maana walikuwa wametengenezwa hivyo, baadae Mungu/Allah akaja na mpango kazi akamtuma shetani amdanganye binadamu ili ipatikane sababu ya kumchoma moto, yaani kila kitu kipo planned
Inaonekana unaona mungu alikosea.ili uone mungu amepatia ulitaka dunia na watu wake iweje/waweje?
 
Tumekubaliana kuwa Mungu/Allah anauwezo WA kujua lililopita, lililopo na lijalo,

Swali langu kama anauwezo WA kujua mpaka litakalokuja kunikuta, yaani kama anajua kabla ya kuniumba kuwa Mimi nitatenda dhambi na nikifa nitaenda motoni ambao kauweka yeye Kwa makusudi, maana yake kaniumba maalumu ili baada ya maisha ya duniani kumalizika akanichome moto
Dhambi ni UTASHI WA MTU.anakujua wewe.kabla ya kutenda DHAMBI INAANZA NIA.sasa hyo nia yako ndo MUNGU ANAIJUA.sijui unaelewa hapo?
 
Adam ,Musa, ibrahimu, yakobo, walimwona mungu unasemaje mungu haonekani kwa macho ya mwili? Contradiction zipo nyingi tu ila we ndo huzioni maana unasoma biblia kishabiki.
Mimi tangu niamze kusoma Biblia sehemu pekee ambayo Nimeona Mungu kajionesha sura yake ni KUTOKA 33:11

Wengine wote walikua wanasikia sauti ya MUNGU ila sio kumuona macho kwa macho

Sasa Mwenzangu ulie Soma bible ikasomeka niambie niwapi kati ya hao ulio wataja alimuona Mungu uso kwa uso

Kumbuka lakin yakobo alie mshika alikua ni malaika

Nikisema Biblia hamsomii mnaniona me mbaya

Aya nionyeshe

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Unashangaa shetani kuumbwa na mungu kwani wewe umeumbwa na nani?
Mimi sijaumbwa.

Hakuna binadamu aliye umbwa.

Binadamu wote tumezaliwa kupitia baba na mama zetu.

Binadamu na Dunia hatuna mwanzo wala mwisho.

Si lazima kila kilichopo kiwe kimeumbwa.

Kama ulazima huo upo, Hata Mungu huyo lazima awe ameumbwa na muumbaji wa Mungu awe na muumbaji wake hivyo hivyo mpaka waumbaji wasio na mwisho (Endless).
 
Mwana Damu pekee aliye fanikiwa kumuona Mungu uso kwa uso ni MUSA pekee
Namwenginevatakaye muona atakufaa hata ishiii

Soma KUTOKA 33 yote hasa mstar wa 11 na 20

Najua mistari hiyo hauta weza kuielewa kwasababu una jaribu kusoma Biblia kama Phyisics

Maana:
Kumuona Mungu uso kwa uso maana yake kama Kumuna Mungu kama unavyo muona rafiki yako it means unaweza uka mshika..saa hiyo Mungu akiwa katika umbo kamili la Mungu

Najua una jiuliza kwamba mtu hawezi kumuona Mungu katika umbo lake la Uungu kwa macho ya kawaida ?

Jibu ni kweli (KUTOKA 33:20)

Lakini hii hamaanishi kwamba Mungu haonekani usije ukaelewa vibaya tena

Kuna Mwili wa nyama na pia Kuna Mwili wa roho

Mungu ni roho sio Mwili huu unao endaa choonii

Nataka ujue kutofautisha kati ya Mwili na Roho

Ingawa najua hapa nakuchanganya zaidi....ila itakuja kuelewa siku mojaa

Kwahiyo katika machoo ya rohooo Mtu anaweza akamuona Mungu uso kwa uso lakin Katika macho ya mwili akimuona atakufaa

Sijui kama hata hayo macho ya roho unayaelewajee nikianza kukuelewesha hapa mpaka uelewe na hivyo hauna IMANI huta weza kuelewa

Sasa mkichukua huu mstari wa KUTOKA 33:11 na ule unaosema kila jicho Lita muona

Mtasema Kuna Contradiction kumbe mme kurupuka tuu

Hamna Contradiction yeyote
Maana wakati huo wakila jicho kumuona mpaka WEWE utamuona, hautakua katika Mwili wa kibinadamu na WEWE utakua katika rohoo

Swali jingine nahisi kwamba una jiuliza

Sasa Mungu haonekani kwa macho ya nyama WEWE unajuaje kama yupo?

JIBU:Nimeona matendo ya Mungu kwa ishara nyingi na maajabuu yake kwanjia ya Imani na ishara hizo ni dhahiri katika hali ya kibinadamu ambavyo kwangu Mimi vimetosha kunidhihirishia kwamba Kwamambo hayo Mungu yupo

Mfano wa Mambo mawili (hayo machache tuu)

1. Kumuombea mtu mwenye mapepo nikiwa na Miaka 9 tuu (kipindi hicho namimi nilikua na jaribu tu hayo mapepo ni kweli au uongoo)

Sio kumuombea tu ndo kulinifanya niamini Bali kuliambatana na ishara za Mungu nyingi mbayo kwamaneno ya kawaida haya elezeki

Ndomana nakwambia mtafute Mungu na nguvu zake haya mambo yapo sio mpaka mtuu akuelezee

YEREMIA 33:1-2

WEWE muite Mungu kwa kumtafuta kwa ukamilifu ata kuitikia na kukuonesha mambo MAKUBWA, MGUMU usiyo uajua

Sasa WEWE unataka mtu akwambie sijui Nini au mpaka a fanye calculation

2: MIUJIZA MINGI ambayo Mungu kanifanyia

Navingine Vingii sanaaaa...

Sasa kama hivyo havitoshi Sema WEWE unataka kuona Nini ndo uaminii Mungu yupo



Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Roho ni nini?

Ulitambuaje una roho?
 
Back
Top Bottom