Infropreneur
JF-Expert Member
- Aug 15, 2022
- 9,830
- 20,686
Mkuu wewe sio binadamu ni mnyama au?Ukishakubali wewe ni binadamu afu ukapinga uwepo wa abrahamac god unakuwa unafanya contradiction. Nje ya propaganda za abrahamac god hakuna binadamu bali kuna watu.According to abrahamac fairy tales Adamu ni binadamu wa kwanza na waliofuata nyuma yake wanaitwa binadamu.
Kitu ambacho hakipo utathibitishaje kuwa hakipo,huwezi kukithibitisha maana tayari hakipo at first placeThibitisha kauli Yako, ukishindwa ichunge.
Apana mimi siwapi usipesho but the situation do so na kupiga marufuku uhuru mwingine wa kuchagua, kwanin? Hayo maneno ya kusema dini ni dira yangu na nipo kwenye dunia ya dini umeyatoa wapi?Wewe unaipinga dini, kwa nini unaifanya dini bado iwe dira yako? Kwa nini unaiga inachofanya dini wakati wewe unataka kutoka kwenye dunia ya dini?
Kwa nini unaicopy dini kwamba dini inapinga wasioamini, na wewe ambaye huamini unapinga dini?
Huoni mpaka hapo unakuwa bado unaifanya dini ikupangie maisha yako, badala ya kujitungia mfumo mwingine wa maisha?
Watu wengine tuliotoka kwenye dini hatusumbuliwi na waamini dini. Tunawaachia uhuru wao kwenye imani, ingawa tukija kwenye facts tuna wa set straight.
Kuhusu swali lako, wachawi, waganga wa jadi, kupiga ramli zote hizo ni imani tu, na as long as hawamdhuru mtu, waachiwe tu watimize imani zao, na hivyo ndivyo mtu asiyeamini dini kama mimi anatimiza uhuru wa kuamini wa kila mtu.
Watu wa dini wana haki ya kusema kwamba dini zao haziruhusu mambo hayo, and that is OK. There is nothing special in that. Ila, wewe ukianza kuwaonea gele watu wa dini kwa nini wanaweka mipango yao hivyo, wewe ndiye unawapa u special.
Wewe unaweza kuanzisha jamii yako ya wasioamini, ikasema kwamba waganga wa kienyeji ni watu muhimu katika research za madawa ya asili, hatuwabagui. Tutawa upgrade wafanye mambo kileo na kisayansi zaidi. Umeondoa ubspecial wa watu wa dini hapo. Waganga wa kienyeji kibao watasema hebu tumsikilize huyu mtu hatubagui kama dini zinavyotubagua.
Utakuwa una matatizo ya akili sio bure.yaani watu watokee tu.basi tusingekuwa tunazaliwa.ila kama tunazaliwa.ina maana kil mtu ana baba yake na mama yake.hyo chain itazunguka mpaka itamfikia binadamu wa kwanzaBinafsi naweza kusema kwamba,
Binadamu hatuja tokea popote pale.
Binadamu tulikuwepo, tupo na tutaendelea kuwepo.
Kama binadamu hatukuwepo duniani halafu ghafla bin vuuh! tukawepo,
Je huko tulipokuwepo kabla ya kuwepo duniani Kulitoka wapi?
Au kabla ya Mungu kuumba mbingu na Dunia alikuwa wapi?
Na huko alikokuwa kulitoka wapi?
Mkuu hapo kutakuwa na mtiririko wa maswali yasiyo na mwisho wa kila kitu kilitoka wapi?
Hata chanzo, cha chanzo, cha chanzo cha chanzo, cha ulimwengu either ni mungu au anything else, kitakuwa kimetoka wapi?
Hatuwezi kujua tusicho kijua, ila tuna punguza tusivyo vijua kwa kujifunza kadiri muda unavyokwenda.
Maana ya mtu ni kiumbe chenye awareness/conscious na binadamu inamanisha huyo ni kizazi cha Adam.Mkuu wewe sio binadamu ni mnyama au?
Binadamu ni watu.
Utofauti hapo ni lugha tu.
Labda kama una maana nyingine
Quran ni dhaifu kupitilizaBut the Quran is perfect. Allahu akbar
Mpaka sasa hujajitoa kwenye minyororo ya fikra zilizo confrontational na territorial kama za dini. Zile za "let's ban anything different to us. La illa ilalah. Yesu ndiye njia pekee ya uzima". Wewe unaweza kuja kisayansi tu lakini unalazimisha vile vile. All this is wrong.Apana mimi siwapi usipesho but the situation do so na kupiga marufuku uhuru mwingine wa kuchagua, kwanin? Hayo maneno ya kusema dini ni dira yangu na nipo kwenye dunia ya dini unaweza kunionyesha niliposema hivo au ukathibitisha kwa namna nyingine?
Fairy tales.Sijui vichwa panzi wanapataga wapi ujasiri wa kupinga Hakuna MunguView attachment 2835016View attachment 2835017View attachment 2835018View attachment 2835020View attachment 2835021View attachment 2835022
PoleFairy tales.
Hata wewe una matatizo ya Akili yani Mungu atokee tu, from no where?Utakuwa una matatizo ya akili sio bure.yaani watu watokee tu.basi tusingekuwa tunazaliwa.ila kama tunazaliwa.ina maana kil mtu ana baba yake na mama yake.hyo chain itazunguka mpaka itamfikia binadamu wa kwanza
Kutokujua kwako wapi MUNGU KATOKA.sio sababu ya kusema MUNGU HAYUPO.wewe sema haujui mungu katoka wapi SIO HAYUPO.Hata wewe una matatizo ya Akili yani Mungu atokee tu, from no where?
Halafu una amini?
Nakwambia hivi dunia haijatokea,dunia ipo siku zote na Haijawahi kutokuwepo.
Kwani unajua AKILI ZIMETOKA WAPI?si umejikuta tu una akili.sasa kwanini uje duniani uambiwe kuna mungu ukatae?Hata wewe una matatizo ya Akili yani Mungu atokee tu, from no where?
Halafu una amini?
Nakwambia hivi dunia haijatokea,dunia ipo siku zote na Haijawahi kutokuwepo.
Msingi wa yote ni imani, hayo unayosema ni addition ,Huweziyafanya bila imani.
Kuna ulazima upi wa kwamba Akili zimetoka mahali fulani?Kwani unajua AKILI ZIMETOKA WAPI?
Kuambiwa hata uongo unaweza kuambiwa.si umejikuta tu una akili.sasa kwanini uje duniani uambiwe kuna mungu ukatae?
Na wewe kutokujua kwako Dunia imekuwepo vipi, Sio Sababu ya kusema kwamba Dunia iliumbwa na Mungu.Kutokujua kwako wapi MUNGU KATOKA.sio sababu ya kusema MUNGU HAYUPO.wewe sema haujui mungu katoka wapi SIO HAYUPO.
Acha uzushiInamakosa mengi zaidi sana
Thibitisha kauli YakoKitu ambacho hakipo utathibitishaje kuwa hakipo,huwezi kukithibitisha maana tayari hakipo at first place
Thibitisha kauli Yako ukishindwa ichungeQuran ni dhaifu kupitiliza
Kwani kuoa mzinzi ni DHAMBI! DHAMBI ni uzinzi! Kajitwaoie mke wa uzinzi maana yake Hosea amuoe amsitiri ...aongoke!Asante mkuu,
Hilo ni agano la kwanza alilolifanya na wana wa izraeli! Agano hilo wanalikumbuka kwa namba gani mpaka sasa?
Mungu huyo anakataza uzinzi, na anasema mimi si mwanadamu hata nibadili neno langu wakati hapo hapo mungu huyo anazo sifa zote za kibinadamu.
Baadae tena mungu huyo huyo anamuagiza Hosea akajitwalie mke wa uzinzi, unamtetea vipi katika hilo.
Contradiction zipo nyingi.
Karibu mkuu.