Mikanganyiko katika Biblia ni kigezo kinachowapa watu uhalali wa kusema hakuna Mungu

Mikanganyiko katika Biblia ni kigezo kinachowapa watu uhalali wa kusema hakuna Mungu

Ukishakubali wewe ni binadamu afu ukapinga uwepo wa abrahamac god unakuwa unafanya contradiction. Nje ya propaganda za abrahamac god hakuna binadamu bali kuna watu.According to abrahamac fairy tales Adamu ni binadamu wa kwanza na waliofuata nyuma yake wanaitwa binadamu.
Mkuu wewe sio binadamu ni mnyama au?

Binadamu ni watu.

Utofauti hapo ni lugha tu.

Labda kama una maana nyingine
 
Wewe unaipinga dini, kwa nini unaifanya dini bado iwe dira yako? Kwa nini unaiga inachofanya dini wakati wewe unataka kutoka kwenye dunia ya dini?

Kwa nini unaicopy dini kwamba dini inapinga wasioamini, na wewe ambaye huamini unapinga dini?

Huoni mpaka hapo unakuwa bado unaifanya dini ikupangie maisha yako, badala ya kujitungia mfumo mwingine wa maisha?

Watu wengine tuliotoka kwenye dini hatusumbuliwi na waamini dini. Tunawaachia uhuru wao kwenye imani, ingawa tukija kwenye facts tuna wa set straight.

Kuhusu swali lako, wachawi, waganga wa jadi, kupiga ramli zote hizo ni imani tu, na as long as hawamdhuru mtu, waachiwe tu watimize imani zao, na hivyo ndivyo mtu asiyeamini dini kama mimi anatimiza uhuru wa kuamini wa kila mtu.

Watu wa dini wana haki ya kusema kwamba dini zao haziruhusu mambo hayo, and that is OK. There is nothing special in that. Ila, wewe ukianza kuwaonea gele watu wa dini kwa nini wanaweka mipango yao hivyo, wewe ndiye unawapa u special.

Wewe unaweza kuanzisha jamii yako ya wasioamini, ikasema kwamba waganga wa kienyeji ni watu muhimu katika research za madawa ya asili, hatuwabagui. Tutawa upgrade wafanye mambo kileo na kisayansi zaidi. Umeondoa ubspecial wa watu wa dini hapo. Waganga wa kienyeji kibao watasema hebu tumsikilize huyu mtu hatubagui kama dini zinavyotubagua.
Apana mimi siwapi usipesho but the situation do so na kupiga marufuku uhuru mwingine wa kuchagua, kwanin? Hayo maneno ya kusema dini ni dira yangu na nipo kwenye dunia ya dini umeyatoa wapi?
 
Binafsi naweza kusema kwamba,

Binadamu hatuja tokea popote pale.

Binadamu tulikuwepo, tupo na tutaendelea kuwepo.

Kama binadamu hatukuwepo duniani halafu ghafla bin vuuh! tukawepo,
Je huko tulipokuwepo kabla ya kuwepo duniani Kulitoka wapi?

Au kabla ya Mungu kuumba mbingu na Dunia alikuwa wapi?
Na huko alikokuwa kulitoka wapi?

Mkuu hapo kutakuwa na mtiririko wa maswali yasiyo na mwisho wa kila kitu kilitoka wapi?

Hata chanzo, cha chanzo, cha chanzo cha chanzo, cha ulimwengu either ni mungu au anything else, kitakuwa kimetoka wapi?

Hatuwezi kujua tusicho kijua, ila tuna punguza tusivyo vijua kwa kujifunza kadiri muda unavyokwenda.
Utakuwa una matatizo ya akili sio bure.yaani watu watokee tu.basi tusingekuwa tunazaliwa.ila kama tunazaliwa.ina maana kil mtu ana baba yake na mama yake.hyo chain itazunguka mpaka itamfikia binadamu wa kwanza
 
Mkuu wewe sio binadamu ni mnyama au?

Binadamu ni watu.

Utofauti hapo ni lugha tu.

Labda kama una maana nyingine
Maana ya mtu ni kiumbe chenye awareness/conscious na binadamu inamanisha huyo ni kizazi cha Adam.
Binadamu wote ni watu lakini si watu wote ni binadamu.
 
Sijui vichwa panzi wanapataga wapi ujasiri wa kupinga Hakuna Mungu
Screenshot_20231206-214625.jpg
Screenshot_20231206-214702.jpg
Screenshot_20231206-214727.jpg
Screenshot_20231206-214747.jpg
Screenshot_20231206-214819.jpg
Screenshot_20231206-214852.jpg
 
Apana mimi siwapi usipesho but the situation do so na kupiga marufuku uhuru mwingine wa kuchagua, kwanin? Hayo maneno ya kusema dini ni dira yangu na nipo kwenye dunia ya dini unaweza kunionyesha niliposema hivo au ukathibitisha kwa namna nyingine?
Mpaka sasa hujajitoa kwenye minyororo ya fikra zilizo confrontational na territorial kama za dini. Zile za "let's ban anything different to us. La illa ilalah. Yesu ndiye njia pekee ya uzima". Wewe unaweza kuja kisayansi tu lakini unalazimisha vile vile. All this is wrong.

RIght to self determination is primary. People have the right to be dumb, to be wrong. Ditto freedom of conscience. Freedom of worship, or to not worship.

Uhuru wa kuamini nankutoamini ni uhuru mmoja uleule.

Dunia ya watu kuwa right kwa kulazimishwa ni mbaya kuliko dunia ya watu kuwa wrong kwa uhuru wao.

Unachotakiwa kufanya ni ku demonstrate reason na kuacha watu wachague wenyewe.

Dini zinagombea waumini kwa kuchafua watu wasioziamini na kuingilia haki zao za self determination. Zinawatishia moto na kuwadanganya na pepo.

Kwa nini na wewe unataka kulazimisha watu kuwa njia yako ni sahihi kama dini? Kwa nini huachi arguments zako na reason zijioneshe, halafu watu waamue watakavyo?

Au na wewe unataka kujenga dini nyingine ya kisayansi yenye pepo yako na moto wako, na kulazimisha watu wafuate dini yako ya kufuata unachoamini wewe?

Kama uko fact based, na watu wengine wameamua kuwa hawakuelewi, kwa nini uwalazimishe?
 
Utakuwa una matatizo ya akili sio bure.yaani watu watokee tu.basi tusingekuwa tunazaliwa.ila kama tunazaliwa.ina maana kil mtu ana baba yake na mama yake.hyo chain itazunguka mpaka itamfikia binadamu wa kwanza
Hata wewe una matatizo ya Akili yani Mungu atokee tu, from no where?

Halafu una amini?

Nakwambia hivi dunia haijatokea,dunia ipo siku zote na Haijawahi kutokuwepo.
 
Hata wewe una matatizo ya Akili yani Mungu atokee tu, from no where?

Halafu una amini?

Nakwambia hivi dunia haijatokea,dunia ipo siku zote na Haijawahi kutokuwepo.
Kutokujua kwako wapi MUNGU KATOKA.sio sababu ya kusema MUNGU HAYUPO.wewe sema haujui mungu katoka wapi SIO HAYUPO.
 
Hata wewe una matatizo ya Akili yani Mungu atokee tu, from no where?

Halafu una amini?

Nakwambia hivi dunia haijatokea,dunia ipo siku zote na Haijawahi kutokuwepo.
Kwani unajua AKILI ZIMETOKA WAPI?si umejikuta tu una akili.sasa kwanini uje duniani uambiwe kuna mungu ukatae?
 
Kwani unajua AKILI ZIMETOKA WAPI?
Kuna ulazima upi wa kwamba Akili zimetoka mahali fulani?

Huko akili zilipotoka, na kwenyewe kulitoka wapi?
si umejikuta tu una akili.sasa kwanini uje duniani uambiwe kuna mungu ukatae?
Kuambiwa hata uongo unaweza kuambiwa.

Kuambiwa kuna Mungu hakuthibitishi kwamba Mungu yupo, ni maneno tu ya kuhadithiwa.

Thibitisha Mungu yupo na si maneno ya kuambiwa au mawazo yako ya kufikirika tu.
 
Kutokujua kwako wapi MUNGU KATOKA.sio sababu ya kusema MUNGU HAYUPO.wewe sema haujui mungu katoka wapi SIO HAYUPO.
Na wewe kutokujua kwako Dunia imekuwepo vipi, Sio Sababu ya kusema kwamba Dunia iliumbwa na Mungu.

Wewe, Sema hujui dunia imekuwepo vipi, sio kuhalalisha uongo uongo wa kwamba Mungu ndiye Muumbaji wa dunia ilhali huna uthibitisho.
 
Asante mkuu,
Hilo ni agano la kwanza alilolifanya na wana wa izraeli! Agano hilo wanalikumbuka kwa namba gani mpaka sasa?

Mungu huyo anakataza uzinzi, na anasema mimi si mwanadamu hata nibadili neno langu wakati hapo hapo mungu huyo anazo sifa zote za kibinadamu.

Baadae tena mungu huyo huyo anamuagiza Hosea akajitwalie mke wa uzinzi, unamtetea vipi katika hilo.

Contradiction zipo nyingi.
Karibu mkuu.
Kwani kuoa mzinzi ni DHAMBI! DHAMBI ni uzinzi! Kajitwaoie mke wa uzinzi maana yake Hosea amuoe amsitiri ...aongoke!
 
Back
Top Bottom