Mikanganyiko katika Biblia ni kigezo kinachowapa watu uhalali wa kusema hakuna Mungu

Out of topic,
Soma kichwa cha uzi anzisha uzi wako kuhusu Quran nitakuja Kuchangia mkuu.

Halafu utuonyeshe mungu huyo asiyekuwa na mikanganyiko.
Sawa watakuja kuanzisha wanaojua kuandika.mimi siwezi.
 
Kwani basi ukiuliza wanaojiona wanajua dunia au mbingu ni nini? Viko wapi? Kuna mwenye maelezo? Atakujibu tu alivyosikia kwa watu au kusoma,
Wanasema hakuna jipya chini ya jua. Vyote tunavyoviona vilikuwepo. Basi na hayo maandiko ni utapeli unaondelea. Wasiojua kuchagua mbivu na mbichi wataamini hivyo. Tatizo lao,wanatakaga kuaminisha na wengine uwepo wa huyo Mungu,mara msipomuamini atawafanya hivi na vile,msipomtumikia itakuwa hampati hiki na kile.
 
Mkuu mjinga,
Ni hivi nikiwasha feni nikaweka karatasi mbele yake itapepea Nina feel upepo, upepo unaweza kupimwa.
Upepo ukiwa mkali utaona outcome majani yana ruka light object vina move.

Thibitisha mungu kwa namna yoyote ile?
Umeona sasa kumbe unaamini upepo UPO KWA KUHISI KUWA KUNA UPEPO.ila haujawahi kuuona.ila mungu anasema kaumba dunia unabisha.kisa haonekani
 
Umeona sasa kumbe unaamini upepo UPO KWA KUHISI KUWA KUNA UPEPO.ila haujawahi kuuona.ila mungu anasema kaumba dunia unabisha.kisa haonekani
unaweza kunionyesha nilipoandika nina amini upepo upo?
 
Rhetorical questions! Ni maswali yasiyohitaji majibu ila yanamfanya msikilizaji afikiri zaidi. Mungu kuwauliza wapagani sio kwamba hajui majibu yake ila anawauliza ili wapate kutafakari zaidi.
Wapagani ni watu gani? Hivi huyo mungu wenu aliyeumba watu kwenye makundi tofauti,hamuoni ana shida? Sasa kama tumeumbwa katika yeye, je,unawezaje dhibitisha hayupo kwenye hilo kundi la wapagani? Wahalifu?........
 
Kama Mungu huyo yupo Nita muuliza maswali mengi sana anipe majibu ya kueleweka.

Ana umbaje dunia yenye shida halafu yeye anakula bata huko mbinguni?
🤣🤣

Alishindwaje kuumba dunia yenye bata kama anazo kula yeye huko?😅
Ayaa bhana
 
Mungu si Binadamu.wala hafanani na binadamu,wala malaika.yupoje anajua yeye.uwezo wetu wa kujua umeishia hapa

Nimekuuliza ni Mungu yupi unayemzungumzia wewe ili niwe specific

Binadamu wametengeneza miungu wengi sana
Naweza kumrejea Zeus kumbe wewe unamaanisha Yesu au Allah
 
Thibitisha kauli Yako, ukishindwa ichunge.
Nimsapoti. Adhibitishe kauli gani? Kwani Allah si ndo mungu?
Hivi hata ukianzia hapa tu,hamuoni kwamba mpo tu kwenye meri inayozama!!! Iweje watu mmezaliwa sehemu moja,mazingira ya pamoja,tena wengine familia moja. Af, mtu aje eri mi naamin Mungu. Mwingine hapana, ni Allah. Af kwenye kujibu mungu au allah,unapewa majibu sawa. Huo utofauti unatokaga wapi?
 
Kama Mungu huyo yupo Nita muuliza maswali mengi sana anipe majibu ya kueleweka.

Ana umbaje dunia yenye shida halafu yeye anakula bata huko mbinguni?
🤣🤣

Alishindwaje kuumba dunia yenye bata kama anazo kula yeye huko?😅
Mkuu,hao bata anakula basi? Ukiuliza utaambiwa tunaishi nae,hata hapa ulipo yupo. Hapo ni kwa kila mtu:
-kama kila mtu yupo na mungu,watu wanaosadikika kuwa bilioni ngapi hao,kila mtu ana mungu wake. Kwa nini tuaminishwe kuwa ni mmoja?
-Hilo lipo wazi wakienda kugegedana lodge na madangulo,mungu yupo. Mungu gani wanaenda kuchungulia watu watapofanya yao?
- huko baa,mungu wanae. Hata walevi sawa tu.
-wanaofanya uhalifu,anaenda nao,haoni tabu,kazi kuunga tera tuuuu.
-waendao kwa waganga,anao wanaongozana.
Mganga hapo hapo,ina maana yupo nae.
-wanakoua,yupo tuuu. Sasa hapa utajiuliza. Kuna mungu awasindikizae watakaouwa,na awasindikizae watakaouliwa.
Hao mungu ni wangapi?

Sasa kwa maovu ya viumbe wao au wake hayo,kama ni mmoja hamuoni udhaifu wake?/wao kama kila mtu ana wa kwake?
Kama na yeye anavumilia misukosuko kama tunayopitia,wa nini sasa!

Mungu wa mchongo aise
 
Nafikiri ungejikita katika mada mkuu.

Tumeweka mistari yenye mikanganyiko Hapo juu.
Unaweza ukaondoa contradiction hizo

Karibu sana.
Sijatoka kwenye mada, kama unakusudia hiyo mistari ya kwenye Biblia wenye Biblia yao watakuja kujibu.
 
Nimekuuliza ni Mungu yupi unayemzungumzia wewe ili niwe specific

Binadamu wametengeneza miungu wengi sana
Naweza kumrejea Zeus kumbe wewe unamaanisha Yesu au Allah
Mimi nipo UPANDE WA ALLAH.
 
Mola ndio ameruhusu yote hayo yatokee.

Kadhalika hii sio hoja bali ni kioja, yaani kwa vipi uwepo wa mabaya ndio uthibitisho wa kuwa Mungu hayupo ? Hivi umekifikiria ulicho kiandika ?

Wewe umejuaje kama angekuwepo (kama unavyo dai) mabaya yadingekuwepo ? Yaani kipi kinakujulisha ya kuwa kutokuwepo kwa Mungu ni kuwepo kwa mabaya ?

Sasa tuambie wewe imekuwaje ulimwengu ukawa hivi ulivyo ? Kisha uthibitishe ukweli wa hoja yako.

Nani alikwambia mgonjwa ni mpaka alazwe hospitali ?
 
Wewe umejuaje kwanza! Kama anakupenda kwa nini asikupe hayo maarifa ya kumjua?
Kuna MIPAKA.wakati baba yako anakwenda kuoga uwa anakuita kumuangalia?
Ndivyo mungu kaweka mipaka ya kumjua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…