Kama Mungu huyo yupo Nita muuliza maswali mengi sana anipe majibu ya kueleweka.
Ana umbaje dunia yenye shida halafu yeye anakula bata huko mbinguni?
🤣🤣
Alishindwaje kuumba dunia yenye bata kama anazo kula yeye huko?😅
Mkuu,hao bata anakula basi? Ukiuliza utaambiwa tunaishi nae,hata hapa ulipo yupo. Hapo ni kwa kila mtu:
-kama kila mtu yupo na mungu,watu wanaosadikika kuwa bilioni ngapi hao,kila mtu ana mungu wake. Kwa nini tuaminishwe kuwa ni mmoja?
-Hilo lipo wazi wakienda kugegedana lodge na madangulo,mungu yupo. Mungu gani wanaenda kuchungulia watu watapofanya yao?
- huko baa,mungu wanae. Hata walevi sawa tu.
-wanaofanya uhalifu,anaenda nao,haoni tabu,kazi kuunga tera tuuuu.
-waendao kwa waganga,anao wanaongozana.
Mganga hapo hapo,ina maana yupo nae.
-wanakoua,yupo tuuu. Sasa hapa utajiuliza. Kuna mungu awasindikizae watakaouwa,na awasindikizae watakaouliwa.
Hao mungu ni wangapi?
Sasa kwa maovu ya viumbe wao au wake hayo,kama ni mmoja hamuoni udhaifu wake?/wao kama kila mtu ana wa kwake?
Kama na yeye anavumilia misukosuko kama tunayopitia,wa nini sasa!
Mungu wa mchongo aise