Mikanganyiko katika Biblia ni kigezo kinachowapa watu uhalali wa kusema hakuna Mungu

Mikanganyiko katika Biblia ni kigezo kinachowapa watu uhalali wa kusema hakuna Mungu

Narudia tena kukuuliza hizo habari wewe unazitoa wapi ? Hili swali uliniambia maana naona unaandika uongo wa wazi.

Mimi habari hizi nazitoa katika kitabu cha Imamu Suyuti kiitwacho "Al-Itiqaan fi 'Ulumil al Qur'an".

Sasa kuwa kwako Muislamu kwa miaka 12 na ukawa mjinga na muongo, hii Haina faida yoyote.

Kwanini unamzushia Hafswa uongo ? Hizo copy zilizo kuwa kipindi cha Abu Bakr, zilikuwa ngapi ? Maana unaonyesha kama zilikuwa nyingi.

Baada ya swahaba Uthman kuchukua ushauri wa swahaba Hudhaifa ndio zikaandikwa nakala tano, zikasambazwa katika miji ya Makka, Madina, Kufa, Sham na Basra na kila nakala ilitumwa pamoja na msomaji wa kuwafundisha Waislamu husika katika miji hiyo.

Nakala ya mwanzo haikujumuisha zile ndimi saba, ambazo zina zaa viraa kumi, ushauri huu akautoa swahaba Hudhaifa ukafanyiwa kazi.

Nakuuliza tena hii Historia wewe unaisoma toka kwenye vitabu gani ? Isiwe wewe ni Shia.
Hahaha Shia kwa sababu nilikuuliza kuhusu Ally?
😅😅 (Na vita ya jamal)

kasome vitabu hivi viwili cha kwanza kinaitwa "Tarikh Al-tabar" cha Muhammad ibn Jarir al-Tabari
Na kingine "Al-Bidaya wa'l-Nihaya" cha Ibn Kathir

Ukimaliza niambie nipo kwa ajili yake
 
Ushahidi wa namna ipi unaoutaka wewe? We hujui Biblia ni mkusanyiko wa vitabu vyote vya habari za Mungu tangu adamu? Sasa hivo vitabu vya zamani iweje visiwepo wakati wa mtume wenu? Mudi ni mtu wa miaka ya juzi tu wakati hata hii miaka tuliyonayo sasa 2023 ilikuwa imeshaanza kuhesabiwa. Ushahidi upi unautaka sasa....unataka huo ushahidi utoke kwenye kitabu gani
Hilo nalijua ndio maana nataka unipe ushahidi, na najua hakuna atakae weza kuleta ushahidi sababu ya huo mkusanyiko.
 
Huijui Qur'aan, wewe, unaikumbuka Misahafu iliyo letwa toka Morocco ? Waislamu kwa ujinga wao wakaanza kusambaza habari kwamba Ile Qur'an imeandikwa na wamagharibi, kumbe ni Qur'an sahihi ila kwa Kiraa kingine, matokeo yake ilikuwa nini ?

Halafu unakuja kuandika uongo kwamba Kiraa Cha Hafs ndio standard, kingine usichanganye kati ya viraa na Hati ya Uthman. Hapa ndipo Kuna ujinga wako wa kutokusoma.
Mkuu Najua vizuri kuhusu Hati (Codex /manuscript)
Na kuhusu Qiraa (Recitation/reading)
So maybe useme kingine.....
Mkuu umewahi kusafiri kwenda wapi ukakuta wanatumia Qiraa tofauti hebu niambie au kama una video naiomba..
 
Hahaha Shia kwa sababu nilikuuliza kuhusu Ally?
😅😅 (Na vita ya jamal)

kasome vitabu hivi viwili cha kwanza kinaitwa "Tarikh Al-tabar" cha Muhammad ibn Jarir al-Tabari
Na kingine "Al-Bidaya wa'l-Nihaya" cha Ibn Kathir

Ukimaliza niambie nipo kwa ajili yake
Hichi ulichokiandika hakipo kwenye hivyo vitabu, ndio maana nakuuliza haya unayatoa wapi ?
 
Mkuu Najua vizuri kuhusu Hati (Codex /manuscript)
Na kuhusu Qiraa (Recitation/reading)
So maybe useme kingine.....
Mkuu umewahi kusafiri kwenda wapi ukakuta wanatumia Qiraa tofauti hebu niambie au kama una video naiomba..
Aisee nilijua tangu mwanzo kwamba wewe ni mtupu, na unasoma kwa kukariri.

Ingia mtandaoni fatilia mashindano yote ya Qur'an Saudia na nchi nyingine, uone kila msomaji akisoma unaandikiwa na Kiraa anacho kitumia.

Aisee umenipotezea muda wangu mwingi bure. Kumbe hujui chochote.
 
Aisee nilijua tangu mwanzo kwamba wewe ni mtupu, na unasoma kwa kukariri.

Ingia mtandaoni fatilia mashindano yote ya Qur'an Saudia na nchi nyingine, uone kila msomaji akisoma unaandikiwa na Kiraa anacho kitumia.

Aisee umenipotezea muda wangu mwingi bure. Kumbe hujui chochote.
Nimekuambia uniambie na unionyeshe tatizo liko wapi kwemye kuonyesha..
Na ndo maana nikakuuliza Ulisoma Tajweed kweli?
 
Sasa mkuu Ulivyo mweupe hivyo Kwenye biblia kweli unipige spana..🤣🤣
NAchukulia kama utani tu!
sawa,watu ndio watajaji nani mweupe😂😂
mimi ambaye sijamaliza hata sunday schools au wewe ambaye hujui hata Yesu amepewa vyeo na wasifu wa namna zipi katika bible,unaishia kubishana tu bila mpangilio.
Kiufupi Maybe hunijui vizuri mimi sio Muumini wa Imani yoyote ila sipendi mtu kudanganya kutumia story nazozifahamu..
sasa nichukue dakika ngapi kukwambia hata kutoamini imani yoyote ni matatizo pia😂😂.
wenzako wamechagua upande wa kutoamini kuna Mungu,wewe huna upande wowote.ndio maana unashindwa usimamie nini ktk mijadala yako.
Kwa sababu nazichukulia kama Story za Kina Sophie and Phylosophy 😅😅
uliishawahi kuona wapi mtu hadithi na story zinamshughulisha!!!
 
sawa,watu ndio watajaji nani mweupe😂😂
mimi ambaye sijamaliza hata sunday schools au wewe ambaye hujui hata Yesu amepewa vyeo na wasifu wa namna zipi katika bible,unaishia kubishana tu bila mpangilio.
Mbona kitu ni simple sana kukifanya nimekuambia Kuwa Naomba unionyeshe hizo sifa kutumia maandiko Yako lakini muda wote ni blah blah blah na porojo tupu...
Bila kithibitisha unachosema ni sawa na Muuza Mitumba wa karume akipiga mnada Nguo zake..
sasa nichukue dakika ngapi kukwambia hata kutoamini imani yoyote ni matatizo pia😂😂.
wenzako wamechagua upande wa kutoamini kuna Mungu,wewe huna upande wowote.ndio maana unashindwa usimamie nini ktk mijadala yako.
Unajua Maana ya kutoamini Imani yoyote Au Tatizo ni Elimu unataka ueleweshwe...

KUtoamini imani yoyote na kutoamini Mungu kuna Tofauti gan..?
au Kutoamini Mungu nayo pia unadhani Ni Imani?
😅😅 Tatizo lipo katika Elimu nahisi..
uliishawahi kuona wapi mtu hadithi na story zinamshughulisha!!!
Sijawahi kushughulishwa na hixo hadithi ila muda mwingi napenda kuwaonyesha kuwa Hata Hadithi zenu zinaenda kinyume na MnavyoViamini
 
Inaonesha ni kwajinsi gani Ambavyo Elimu na sayansi haijakukomboa kwamambo ya fuatayo
1.kuwepo kwa contradiction Hakumaanishi kwamba Mungu hayuko
2.Msomi unae toa fact Kama Mungu hayupo na hiliali Ata Biblia yenyewe inaonekana hujawai kuisoma una sikia tu historia nta kwambia kwann unaonekana Biblia inaonekana hujawai kuisoma
3.Ww kiranga nawenzako woteee
Inaonekana kunashida kwenye akilizenu
Wote Mnajaribu kuingiza sayansi kwenye maswala ya Imani mna sahau kwamba Imani ni Imani tuuu
Na sayansi ni sayansi tuuuu

Nini maana ya Imani??
Ni kua na HAKIKA ya mambo YATSRAJIWAYO NI BAYANA YA MBAMBO YA SIO ONEKANA

Sasa ww umeambiwa Imani inahusu mambo Ambavyo hayoonekani alaf mtu Ana kwambia anataka proof za kisayansi kwenye maswala ya Imani

Mf.Mm binafsi nishawai kuumwa Sana kichwa lakin nikajiombea Mimi mwenyewe kwa Jina La YESU nikapona kwamda mfupi tuuu

Haya Sasa niambie ni prove kwamba ni Mungu kaniponya Kama sayansi inavyotaka (sayansi ina taka proof za kibinadamu)
Tunaweza hata tukatumia miaka 100 na usielewe ilikuaje kuaje nikapona

Kwaufupi Jueni kutifautisha kwamba
Sayansi inahitaji PROOF
ILA
DINI inahitaji IMANI
4.Acheni uvivu wa fikra kupenda kutafuniwa vya Google na watu wengine(nakuona kilakitu unamtaja kiranga wakati kiranga ni mtu Kama ww yemwenyewe biblia hajawai kuhisoma na Kama anasoma Ana soma Kama Phyisics )

Mngekua mnasoma Biblia msingekua mna muulizia Mungu Jamii forum Eti mtu akuthibitishie Mungu yupo alaf Unakesha ukifanya mambo yako mengine

Mungu alisema kwamba

Mtafuteni Mungu maadam anapatikana

Mungu anatafutwa nakatoa ahadi ya kupatikana Kama mtu ata mtafuta kwa uaminifu

Msichojua nyie nikwamba Wapo watu wengi ambao wanasikia sauti ya Mungu Wanaona Maonoo wakiwa wamefumba machoo kwasababu hao watu Wana mtafuta Mungu kwa kufunga,kuomba na Kijitakasa dhambi zao

Ata Wana wa Israel walipo sema kwamba kwann Mungu aongee na Musa tuu. Walitaka kumuona waka ambiwa wajitakasee Kwanza ndo Mungu ashuke aongee nao

SASA NYIE ENDELEENI HIVYO HIVYO HATA KANISANI HAMTAKI KWENDA ALAF MNATAKA KUMUONA MUNGU GOOGLE NA JAMII FORUMS

5.BIBLIA IMEANDIKWA KWA KISWAHILI LAKINI JUA KUTOFAUTISHA KUSOMA BIBLIA NA VITABU VINGINE KAMA PHYSICS N.K

Biblia ni kitabu kinacho changanya Sana Kama utatumia akili zako binafsi ,Bila ya ROHO MTAKATIFU
Uwezi kuelewa sawa sawa Biblia

Mtataka tena tusibitishe ROHO MTAKATIFU YUPO EHH( Kama vile anaonekana )
Sasa nyie endeleeni ku Google tu na kusikiliza wazungu alaf tuuone Kama mtamuona

Mf.kwanin Biblia sio Kama VITABU VINGINE

Yesu mara ya Kwanza alikua na wanafunzi zaidi ya 70+ LAKINI sikumoja aliwaambia ya kwamba
"Mtu atakaye nifuata awe tayari kuula Mwiliwangu na Damu yangu"
Wengi wawana funzi wake hawakuelewa Yesu kamaanisha Nini wakaondoka wengi wakabaki wachache tuu ikiwemo wale 12

LAKINI katika historia ya YESU hatuajaona sehemu ambayo wanafunzi walio bakia walikula mwili wa Yesu

Biblia IMEANDIKWA kwa mafumbo ambayo kwaakili ya kawaida Bila ROHO MTAKATIFU haiwezekani kuifumbua

In short
ACHENI KUSOMA BIBLIA KAMA MLIVYOSOMA PHYISICS NA MATHEMATICS

6..UJUI BIBLIA KWASABAU
Unashanga sifa ya Mungu ya KUSAHU
Kama ungekua msomaji wa Biblia usinge shangaa Mungu maranyingi alikua anawaambia Wana wa Israel kwamba ATA YASAHAU MAKOSA YAO
Ata MAKOSA yako ukiyatubu Leo Mungu ata yasahau

HASIRA
Mungu anazaidi ya HASIRA tena Ni MOTO ULAO
Mungu HASIRA anayo Kama nako huamini kawaulize Sodoma na Gomora wata kudada vulia Haswa

WIVU
Kama ungekua onasoma Biblia usinge shangaa WIVU wa Mungu

Maana yeye ni Mungu mwenye WIVU


Mwambie na Kiranga Jueni kutifautisha kati ya Imani na Sayansi

(+)kanisani unaitwa Msalaba

(+) Shule inaitwa jumlisha

NB.Huu usiwe ugomvi Tuna eleweshana tuu

Nakama kunasehemu nimekosea kuandika Bahati mbaya
msije mkaleta visingizio

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app

Hapa ndo zinakuja zile contradiction mbili tena.

Mosi ni kama hutakiwi kuisoma biblia kwa akili za kibinadamu na ukailewa, kwanini wanadamu kawaumba kwa akili za kibinadamu alafu biblia ikaja kwa akili za kiroho! Then ikataka binadamu asitumie akili za kibinadamu ikiwa ndo msingi wake!

Walio andika biblia ni wanadamu, mnasema kuna malaika majini na shetani, unahukika gani hao waliokua wanapokea maagizo ya kiroho hayakua yanatokea kwa mungu wa kweli labda wale malaika walikua ni majini kwenye sura/sauti ya kimungu? Maana malaika hatumjui wala shetani hatumjui ni tumelekezwa tu kuamini uyu kambiwa na malika yule kawatumwa na shetani ila wote hatuwajui.

Pili unaamini mungu kakuponya pale unapopona ila unaamini kuumwa kwako ni nia ya shetani sio mungu, ila unaposhidwa kupona unamiini nimipango ya mungu, confusion.

Yani izi contradiction hua zinachanganya sana ukisema utumie akili hizi tulizoumbwa nazo, inabidi ujitoe ufahamu ulopewa kibinadamu ndo hutamiini hivi vitu simply.

Ni sawa na wewe huamue kuunda roboti bila macho af uliambie niangalie na unifate njia yangu na usiponiona na kunifata basi huniamini na nitakuangamiza, very confusing.
 
Mbona kitu ni simple sana kukifanya nimekuambia Kuwa Naomba unionyeshe hizo sifa kutumia maandiko Yako lakini muda wote ni blah blah blah na porojo tupu...
Bila kithibitisha unachosema ni sawa na Muuza Mitumba wa karume akipiga mnada Nguo zake..
wacha niwe mpiga porojo,siwezi mfundisha mtu wa theolojia kiwango cha shahada mimi😂😂😂😂
Unajua Maana ya kutoamini Imani yoyote Au Tatizo ni Elimu unataka ueleweshwe...
huna uwezo wa kumuelewesha mtu yoyote hili,hata wewe mwenyewe huelewi😆.
KUtoamini imani yoyote na kutoamini Mungu kuna Tofauti gan..?
au Kutoamini Mungu nayo pia unadhani Ni Imani?
😅😅 Tatizo lipo katika Elimu nahisi..
ujue kuanzia sasa,hata kutoamini kwamba kuna Mungu ni imani pia.sawa mtu uliyemaliza mkusoma vitabu kadhaa😆😆
Sijawahi kushughulishwa na hixo hadithi ila muda mwingi napenda kuwaonyesha kuwa Hata Hadithi zenu zinaenda kinyume na MnavyoViamini
😆😆😆,sawa mkuu pumzika.
 
Back
Top Bottom