Mikanganyiko katika Biblia ni kigezo kinachowapa watu uhalali wa kusema hakuna Mungu

Hahaha Shia kwa sababu nilikuuliza kuhusu Ally?
๐Ÿ˜…๐Ÿ˜… (Na vita ya jamal)

kasome vitabu hivi viwili cha kwanza kinaitwa "Tarikh Al-tabar" cha Muhammad ibn Jarir al-Tabari
Na kingine "Al-Bidaya wa'l-Nihaya" cha Ibn Kathir

Ukimaliza niambie nipo kwa ajili yake
 
Hilo nalijua ndio maana nataka unipe ushahidi, na najua hakuna atakae weza kuleta ushahidi sababu ya huo mkusanyiko.
 
Mkuu Najua vizuri kuhusu Hati (Codex /manuscript)
Na kuhusu Qiraa (Recitation/reading)
So maybe useme kingine.....
Mkuu umewahi kusafiri kwenda wapi ukakuta wanatumia Qiraa tofauti hebu niambie au kama una video naiomba..
 
Hichi ulichokiandika hakipo kwenye hivyo vitabu, ndio maana nakuuliza haya unayatoa wapi ?
 
Mkuu Najua vizuri kuhusu Hati (Codex /manuscript)
Na kuhusu Qiraa (Recitation/reading)
So maybe useme kingine.....
Mkuu umewahi kusafiri kwenda wapi ukakuta wanatumia Qiraa tofauti hebu niambie au kama una video naiomba..
Aisee nilijua tangu mwanzo kwamba wewe ni mtupu, na unasoma kwa kukariri.

Ingia mtandaoni fatilia mashindano yote ya Qur'an Saudia na nchi nyingine, uone kila msomaji akisoma unaandikiwa na Kiraa anacho kitumia.

Aisee umenipotezea muda wangu mwingi bure. Kumbe hujui chochote.
 
Nimekuambia uniambie na unionyeshe tatizo liko wapi kwemye kuonyesha..
Na ndo maana nikakuuliza Ulisoma Tajweed kweli?
 
Sasa mkuu Ulivyo mweupe hivyo Kwenye biblia kweli unipige spana..๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
NAchukulia kama utani tu!
sawa,watu ndio watajaji nani mweupe๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
mimi ambaye sijamaliza hata sunday schools au wewe ambaye hujui hata Yesu amepewa vyeo na wasifu wa namna zipi katika bible,unaishia kubishana tu bila mpangilio.
Kiufupi Maybe hunijui vizuri mimi sio Muumini wa Imani yoyote ila sipendi mtu kudanganya kutumia story nazozifahamu..
sasa nichukue dakika ngapi kukwambia hata kutoamini imani yoyote ni matatizo pia๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚.
wenzako wamechagua upande wa kutoamini kuna Mungu,wewe huna upande wowote.ndio maana unashindwa usimamie nini ktk mijadala yako.
Kwa sababu nazichukulia kama Story za Kina Sophie and Phylosophy ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
uliishawahi kuona wapi mtu hadithi na story zinamshughulisha!!!
 
sawa,watu ndio watajaji nani mweupe๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
mimi ambaye sijamaliza hata sunday schools au wewe ambaye hujui hata Yesu amepewa vyeo na wasifu wa namna zipi katika bible,unaishia kubishana tu bila mpangilio.
Mbona kitu ni simple sana kukifanya nimekuambia Kuwa Naomba unionyeshe hizo sifa kutumia maandiko Yako lakini muda wote ni blah blah blah na porojo tupu...
Bila kithibitisha unachosema ni sawa na Muuza Mitumba wa karume akipiga mnada Nguo zake..
sasa nichukue dakika ngapi kukwambia hata kutoamini imani yoyote ni matatizo pia๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚.
wenzako wamechagua upande wa kutoamini kuna Mungu,wewe huna upande wowote.ndio maana unashindwa usimamie nini ktk mijadala yako.
Unajua Maana ya kutoamini Imani yoyote Au Tatizo ni Elimu unataka ueleweshwe...

KUtoamini imani yoyote na kutoamini Mungu kuna Tofauti gan..?
au Kutoamini Mungu nayo pia unadhani Ni Imani?
๐Ÿ˜…๐Ÿ˜… Tatizo lipo katika Elimu nahisi..
uliishawahi kuona wapi mtu hadithi na story zinamshughulisha!!!
Sijawahi kushughulishwa na hixo hadithi ila muda mwingi napenda kuwaonyesha kuwa Hata Hadithi zenu zinaenda kinyume na MnavyoViamini
 

Hapa ndo zinakuja zile contradiction mbili tena.

Mosi ni kama hutakiwi kuisoma biblia kwa akili za kibinadamu na ukailewa, kwanini wanadamu kawaumba kwa akili za kibinadamu alafu biblia ikaja kwa akili za kiroho! Then ikataka binadamu asitumie akili za kibinadamu ikiwa ndo msingi wake!

Walio andika biblia ni wanadamu, mnasema kuna malaika majini na shetani, unahukika gani hao waliokua wanapokea maagizo ya kiroho hayakua yanatokea kwa mungu wa kweli labda wale malaika walikua ni majini kwenye sura/sauti ya kimungu? Maana malaika hatumjui wala shetani hatumjui ni tumelekezwa tu kuamini uyu kambiwa na malika yule kawatumwa na shetani ila wote hatuwajui.

Pili unaamini mungu kakuponya pale unapopona ila unaamini kuumwa kwako ni nia ya shetani sio mungu, ila unaposhidwa kupona unamiini nimipango ya mungu, confusion.

Yani izi contradiction hua zinachanganya sana ukisema utumie akili hizi tulizoumbwa nazo, inabidi ujitoe ufahamu ulopewa kibinadamu ndo hutamiini hivi vitu simply.

Ni sawa na wewe huamue kuunda roboti bila macho af uliambie niangalie na unifate njia yangu na usiponiona na kunifata basi huniamini na nitakuangamiza, very confusing.
 
Mbona kitu ni simple sana kukifanya nimekuambia Kuwa Naomba unionyeshe hizo sifa kutumia maandiko Yako lakini muda wote ni blah blah blah na porojo tupu...
Bila kithibitisha unachosema ni sawa na Muuza Mitumba wa karume akipiga mnada Nguo zake..
wacha niwe mpiga porojo,siwezi mfundisha mtu wa theolojia kiwango cha shahada mimi๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Unajua Maana ya kutoamini Imani yoyote Au Tatizo ni Elimu unataka ueleweshwe...
huna uwezo wa kumuelewesha mtu yoyote hili,hata wewe mwenyewe huelewi๐Ÿ˜†.
KUtoamini imani yoyote na kutoamini Mungu kuna Tofauti gan..?
au Kutoamini Mungu nayo pia unadhani Ni Imani?
๐Ÿ˜…๐Ÿ˜… Tatizo lipo katika Elimu nahisi..
ujue kuanzia sasa,hata kutoamini kwamba kuna Mungu ni imani pia.sawa mtu uliyemaliza mkusoma vitabu kadhaa๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†
Sijawahi kushughulishwa na hixo hadithi ila muda mwingi napenda kuwaonyesha kuwa Hata Hadithi zenu zinaenda kinyume na MnavyoViamini
๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†,sawa mkuu pumzika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ