Mikanganyiko katika Biblia ni kigezo kinachowapa watu uhalali wa kusema hakuna Mungu

Mikanganyiko katika Biblia ni kigezo kinachowapa watu uhalali wa kusema hakuna Mungu

Alibeba ila Mtoto hakuitwa Immanuel aliitwa Yesu...
Hii ni sawa na Ile ya Millelites (William Miller) kwenye Great Disappointment....
kwa akili hizi mkuu,namimi nikujibu kwamba hakuitwa Yesu.au rejea yako inakwambia gabriel alitamka neno Yesu!!!

😅🤣🤣🤣🤣
Dah Ndo umefikia kujibu hivi mkuu..
Yaani Nikiandika 1+4 nikasema ni 9 niko sawa?
ndio,zote ni namba hizo ila jumla yake sio 9
Halafu nilisahau kukwambia Kwamba mfalme wa Amani aliyetajwa kwenye biblia ni Mmoja tu..
kwani kuna Yesu wangapi katika biblia?
Melkizedeki Ndo anafahamika kama Mfalme wa Salem au Mfalme wa Amani hakuna Sehemu yesu Alitajwa kama mfalme wa Amani nimeoenda kupafahamuu...
mkuu unamjua melkzedeki🤣🤣🤣

ndio huyu anazungumziwa pale 9:6?


Manipulation kwenye Biblia ni nyingi mkuu Ila nilikuwa nazungumzia ya Isaya 7:14
nyingine ni hii issaya 9:6
 
Nimekupa ushahidi mkuu Au unataka ushahidi gani?
Nimekupa ushahidi wa Kihistoria...Kuhusu Vikao vya kuipanga Biblia katika Mtiriko ilivyo leo...

Na vikao hivyo ndo vilizuka kupatikana Manuscript za biblia mwaka 300-600....

Sasa nifatilie haoa chini hizi ndo manuscript za zaman sana kuliko zote ....

Mpaka sasa kuna Manuscript za Miaka ya 300 mpaka 600 AD za Biblia..
KUNA...
Codex Sinaiticus hii Ni 4th century Manuscript (Ni ya mwaka 301-400
Mzee nataka unipe ushahidi ya kuwa zama za Mtume Biblia hii yenu ilikuwepo, hizi stori hazijibu swali nililo uliza.

Nakwambia hivi nipe ushahidi ya kuwa hii Biblia ilikuwepo zama za Mtume.
 
Sasa Narudi kwenye Viraa...

Mkuu Uthumani ibn Affan khalifa wa tatu ndiye aliye amua kuandika Quran kutoka katika vyanzo mbalimbali na aliynda kamati ya watu wanne Wenye Akili na waliohifadhi Quran katika Umma wote..
Nilikuuliza swali jepesi sana, habari za Uislamu unazitolea wapi ? Swahaba Uthman amepata Ukhalifa Qur'an ishakusanywa zamani na ilikuwa nakala Moja, nakala hiyo aliichukua toka kwa Hafswi mtoto wa swahaba Umar.
 
Maana ulichosema hakina Uhalisia wowote..
Qiraa zilizokuwa zinafahamika Ni 7 wewe Kumi umezitoa wapi?

Qiraa hizo ni kama zifuatavyo..
  • Qiraa ya Hafs
  • Qiraa ya Warsh
  • Qiraa ya Nafi'
  • Qiraa ya Qalun
  • Qiraa ya al-Duri
  • Qiraa ya al-Kisa'i
  • Qiraa ya al-Susi

Viraa kumi ni hivi :
  • Qirat Naafi’ Al-Madani (Madinah)
    Imam Malik (R.A) and Imam Ahmad ibn Hanbal (R.A) recited the Holy Quran in this way. most of the time.
  • Qirat Ibn Katheer Al-Makki (Makkah)
    Imam Shafi, Al-Buzzi, and Qumbul recited the Quran in this manner.
  • Qirat Abu Amr Al-Basri (Basra)
    The two Qaris who preserved this reading manner of the holy Quran were Ad-Doori and As-Soosi.
  • Qirat Ibn Aamir Ash-Shami (Syria)
    The two Qaris who Recited with this recitation method were Hishaam and Ibn Zakwan.
  • Qirat Asim al-Kufi (Kufa)
    Imaam Abu Hanifa (R.A), Ahmad ibn Hanbal (R.A), Shuba, and Hafs preserved this recitation of the Quran.
  • Qirat Hamzah Al-Kufi (Kufa)
    The two Qaris who preserved this recitation are Khalaf and Khallad.
  • Qirat Al-Kisaa’i (Kufa)
    The two Qaris who preserved this way of Quran recitation are Al-Layth and Ad-Doori.
  • Qirat Abu Ja’far Al-Madanee (Madinah)
    The two Qaris who preserved this way of recitation are Isa and Sulayman.
  • Qirat Yaqub ibn Al-Basri (Basra)
    Imam Bukhari is reported that he has recited in this manner of the recitation. Also, the two famous Qaris who narrated this recitation are Ruways and Rooh.
  • Qirat Khalaf Al-Bazzar (Baghdad)
    The two famous Qaris who recited this recitation are Ishaq and Idris.
 
Lakini Qiraa Iliyopita na kuwa Standard Quranic Version ambayo tunayo mpake leo ni Qiraa ya Hafs..
Hii sio kweli naona unachanganya mambo, kila maeneo Wana usomaji wao, kwetu sisi Afrika Mashariki na Saudia tunatumia Qiraa Cha Hafs.

Afrika Magharibi wanatumia Warsh, kaskazini mwa Afrika wanatumia Qiraa Cha Qalun (Kama sijakosea) Sasa sio sahihi kuandika kwamba Hafs ndio standard wakati viraa vingine vinatumika.
 
Kuna kitu najua unakisahau Anaweza kuwa karekebisha vingi lakini hilo halipingiki kwamba Sheikh Nasir al din Albaaniy Ni Mwanachuoni wa Juzi tu Miaka ya 1900s na alikufa 1999..

Kabla ya hapo walikuwa wanaisema Tarehe ya Mtume kuwa ni Tarehe ngapi?..
Kwahiyo kwa akili yako unafikiri Sheikh alAlbaaniy ametunga hiyo tarehe ? Sheikh Al-Albaaniy tarehe ameikuta toka kwa wanazuoni hao hao wa zamani.
 
I think You are not follow At all...
na yes Biblia Ilikuwepo Hata kipindi cha Yesu ilikuwa Inaitwa TANAKH na mpaka Sasa wanaitumia wayahudi..
Ambayo haina Agana jipya ...
Ila kipindi cha mtume ilikuwepo na nnimekupa ushahidi wote mayb kilichobaki ni ubishi
Nasubiri ushahidi ya kuwa Biblia ilikuwepo kipindi cha Mtume.
 
Pambana nao hao. Wenzio wameagizwa wasiwe na urafiki na infedels. Soma hiyo Qur'an 3:28
View attachment 2837543
Mkuu joex
Hata nyinyi Mmezuia hivyo na Dini Yenu kwahiyo nafikri Hakuna wa kumchek mwenzake..

2 Wakorintho 6:14

"Msifungiwe nira pamoja na wasioamini, kwa jinsi isivyo sawasawa; kwa maana pana urafiki gani kati ya haki na uasi? Tena pana shirika gani kati ya nuru na giza? "

Be ye not unequally yoked together with unbelievers: for what fellowship hath righteousness with unrighteousness? and what communion hath light with darkness?
 
kwa akili hizi mkuu,namimi nikujibu kwamba hakuitwa Yesu.au rejea yako inakwambia gabriel alitamka neno Yesu!!!
Mkuu Labda kama unajizima Data na umeamua Kuwa mtu asiyeelewa au asiyeona ukweli..
Kwa mujibu wa Tafsiri zenu za biblia..

Mathayo 1:20-21

"Basi alipokuwa akifikiri hayo, tazama, malaika wa Bwana alimtokea katika ndoto, akisema, Yusufu, mwana wa Daudi, usihofu kumchukua Mariamu mkeo, maana mimba yake ni kwa uweza wa Roho Mtakatifu.
Naye atazaa mwana, nawe utamwita jina lake Yesu, maana, yeye ndiye atakayewaokoa watu wake na dhambi zao. "


kwani kuna Yesu wangapi katika biblia?
kwa Jina lake halisi Yehoshua au Yoshua au Yeshua wako maYoshua wengi kama Yoshua bin Nun aliye wakomboa Wana wa Israel na kuwaingiza kanaani..
alipokea kijiti kutoka kwa musa na wengine wengi..

mkuu unamjua melkzedeki🤣🤣🤣
Melkizedek mkuu namjua sana..
Sasa nisipomjua Melkizedek Nilienda kufanya nini Kwenye Theology na nilikuwaje Mchungaji?

ndio huyu anazungumziwa pale 9:6?



nyingine ni hii issaya 9:6
Katika Sehemu mlipodanganywa hapa pia mmedanganywa Na ndo maana wanatheolojia wengi hawalitumii fungu hili kwa sababu walitafasiri majina na vitu vingi havikosawa its so debatable..
 
Mzee nataka unipe ushahidi ya kuwa zama za Mtume Biblia hii yenu ilikuwepo, hizi stori hazijibu swali nililo uliza.

Nakwambia hivi nipe ushahidi ya kuwa hii Biblia ilikuwepo zama za Mtume.
Mkuu mimi sina biblia!
na sasa hapo nashindwa kujua unataka ushahidi wa aina gani!

Maana nimekupa Ushahidi wa Kihistoria wa vikao vya kupanga na kukusanya vitabu canonical Bible selection vyote na vilikuwa between karne ya 4th mpaka karne ya Tano!..
Na ushahidi wowote wa zamani na kupangwa umeandikwa humo kwenye vikao hivyo..

Na pia nimekupa ushahidi wa Kifizikia kuwa kuna manuscript zilizokuwepo kipindi hicho..
Labda nikisema manuscdipt hunielewi..

Namaanisha yalikuwepo maandiko ya zamani yote Waliyochukua na kutafsiria Biblia..
Na nimekutajia na miaka yake nikakupa..

Sasa unataka ushahidi kwamba nikuletee mtu Akiyekuwepo kipindi hicho aongee akuambie kwamba vilikuwepo...
 
Nilikuuliza swali jepesi sana, habari za Uislamu unazitolea wapi ? Swahaba Uthman amepata Ukhalifa Qur'an ishakusanywa zamani na ilikuwa nakala Moja, nakala hiyo aliichukua toka kwa Hafswi mtoto wa swahaba Umar.
🤣🤣🤣🤣🤣
Mkuu Mche mola wako Kwa Uongo huu Sidhani kama nitaendelea na Mjadala..

Mimi mkuu Nimekuwa muislamu Takribani miaka 12 Ninachokiongea nimekisoma..
Nachukulia kama umesahau..
Na kama uko serious niambie imekusanywa na nani na lini 🤣🤣
Wakati kamati ya Watu wanne iliundwa na Uthmani na ndyo iliyofanikisha Yote...

Kuna vitu mkuu Ni bora kuvinyamazia kuliko kujiongezea Moto (Kwa imani yako)..

Na BTW hafsa Bint Umar alikuwa na baadhi ya Copy zilizokuwa kipindi cha Abu bakri..
Kwahyo.watu walipoleta Copy zao ili kuthibitisha kuwa ni zenyewe walikuwa wanahahakiki kutumia Copy ya Hafsa..

Kumbuka haikuwa standadised kipindi hicho..
Aliyemaliza kazi alikuwa uthman na Jpo la wTu wanne..
 
Mkuu joex
Hata nyinyi Mmezuia hivyo na Dini Yenu kwahiyo nafikri Hakuna wa kumchek mwenzake..

2 Wakorintho 6:14

"Msifungiwe nira pamoja na wasioamini, kwa jinsi isivyo sawasawa; kwa maana pana urafiki gani kati ya haki na uasi? Tena pana shirika gani kati ya nuru na giza? "

Be ye not unequally yoked together with unbelievers: for what fellowship hath righteousness with unrighteousness? and what communion hath light with darkness?
Kufungamana ni tofauti na urafiki; aidha, Biblia haisemi muwauee bali Qur'an yasema Moja kwa Moja na hiyo ndiyo pia inabeba Hamas Charter of 1988
Zaidi ya hiyo Uislam Agenda yao kubwa, na ktk hilo kwa sasa Hamas ametangulizwa MBELE, ni KUSIMIKA Islamic CALIPHATE
Screenshot_20231209-104707.png
 
Hii sio kweli naona unachanganya mambo, kila maeneo Wana usomaji wao, kwetu sisi Afrika Mashariki na Saudia tunatumia Qiraa Cha Hafs.

Afrika Magharibi wanatumia Warsh, kaskazini mwa Afrika wanatumia Qiraa Cha Qalun (Kama sijakosea) Sasa sio sahihi kuandika kwamba Hafs ndio standard wakati viraa vingine vinatumika.
Qiraa ya Hafs ndo standard ya matamshi ya Quran Dunia nzima mkuu Usibishe unless kama hukusoma Tajweed (Mujawwad na Murratal)
 
Mkuu Labda kama unajizima Data na umeamua Kuwa mtu asiyeelewa au asiyeona ukweli..
Kwa mujibu wa Tafsiri zenu za biblia..
tatizo umechanganyikiwa,lakini hujui kama umechanganyikiwa mkuu.tutakesha nikisubiri unipe shida iliyo nayo na haya maandiko.
Mathayo 1:20-21

"Basi alipokuwa akifikiri hayo, tazama, malaika wa Bwana alimtokea katika ndoto, akisema, Yusufu, mwana wa Daudi, usihofu kumchukua Mariamu mkeo, maana mimba yake ni kwa uweza wa Roho Mtakatifu.
Naye atazaa mwana, nawe utamwita jina lake Yesu, maana, yeye ndiye atakayewaokoa watu wake na dhambi zao. "
huu ni moja ya wasifu wa huyu atakayezaliwa,tatizo umekariri kwamba ilikuwa lazina aitwe unavyotaka.
ndio sababu nikaomba rejea,ni wapi malaika alitaja Yesu maana inaonekana unapendelea zaidi lugha halisi iliyozungumzwa na wahusika.
kwa Jina lake halisi Yehoshua au Yoshua au Yeshua wako maYoshua wengi kama Yoshua bin Nun aliye wakomboa Wana wa Israel na kuwaingiza kanaani..
alipokea kijiti kutoka kwa musa na wengine wengi..
ndio maana nikakuuliza hata melkizedeki unayemfahamu kama Mungu mwnye nguvu ni huyo huyo uliyefanikiwa kumjua😂😂
Melkizedek mkuu namjua sana..
Sasa nisipomjua Melkizedek Nilienda kufanya nini Kwenye Theology na nilikuwaje Mchungaji?
sasa mbona unabishana kama mtoto kaka🤣🤣🤣
Yesu anatajwa kama melkizedeki pia sababu anabeba sifa zake,ambazl ni mfalme wa amani.
Katika Sehemu mlipodanganywa hapa pia mmedanganywa Na ndo maana wanatheolojia wengi hawalitumii fungu hili kwa sababu walitafasiri majina na vitu vingi havikosawa its so debatable..
watu wamesoma theologia vyema na kuwa waalimu wa dini,wewe tu mkuu sijui umekuwaje!!!
au unapiga desa badala ya kuelewa?
 
Kufungamana ni tofauti na urafiki; aidha, Biblia haisemi muwauee bali Qur'an yasema Moja kwa Moja na hiyo ndiyo pia inabeba Hamas Charter of 1988
Zaidi ya hiyo Uislam Agenda yao kubwa, na ktk hilo kwa sasa Hamas ametangulizwa MBELE, ni KUSIMIKA Islamic CALIPHATE
View attachment 2837801
Mkuu umesoma kweli hilo Fungu vizuri..
Nanukuu "Kuna urafiki gani kati ya haki na Uasi"..

Kufungamana ni tofauti na urafiki; aidha, Biblia haisemi muwauee bali Qur'an yasema Moja kwa Moja
So do the bible...

Luka 19:26-27

Nawaambia, Kila aliye na kitu atapewa, bali yule asiye na kitu atanyang’anywa hata alicho nacho.
Tena, wale adui zangu, wasiotaka niwatawale, waleteni hapa mwachinje mbele yangu.

For I say unto you, That unto every one which hath shall be given; and from him that hath not, even that he hath shall be taken away from him.
But those mine enemies, which would not that I should reign over them, bring hither, and slay them before me.
 
tatizo umechanganyikiwa,lakini hujui kama umechanganyikiwa mkuu.tutakesha nikisubiri unipe shida iliyo nayo na haya maandiko.

huu ni moja ya wasifu wa huyu atakayezaliwa,tatizo umekariri kwamba ilikuwa lazina aitwe unavyotaka.
ndio sababu nikaomba rejea,ni wapi malaika alitaja Yesu maana inaonekana unapendelea zaidi lugha halisi iliyozungumzwa na wahusika.
MKuu naomba niseme kuwa kama hukuona aliyekuwa anaongea hapo ni malaika aliyemtokea Yusuph ndotoni niruhusu niseme kuwa wewe ni mbishi..
ndio maana nikakuuliza hata melkizedeki unayemfahamu kama Mungu mwnye nguvu ni huyo huyo uliyefanikiwa kumjua😂😂
Melkizedek hakuwahi kuwa Mungu Mkuu...
Na hakuna sehemu iliyomtaja hivyo..
Tatizo husomi biblia..

Na ndo maana hata Paulo kwa kujua kuwa hamuelewi chochote kuhusu melkizedeki aliwaambia hivii..

WAEBRANIA 5:10-12

kisha ametajwa na Mungu kuhani mkuu kwa mfano wa Melkizedeki.
Ambaye tuna maneno mengi ya kunena katika habari zake; na ni shida kuyaeleza kwa kuwa mmekuwa wavivu wa kusikia.

Kwa maana, iwapasapo kuwa waalimu, (maana wakati mwingi umepita), mnahitaji kufundishwa na mtu mafundisho ya kwanza ya maneno ya Mungu; nanyi mmekuwa mnahitaji maziwa wala si chakula kigumu.
sasa mbona unabishana kama mtoto kaka🤣🤣🤣
Yesu anatajwa kama melkizedeki pia sababu anabeba sifa zake,ambazl ni mfalme wa amani.

watu wamesoma theologia vyema na kuwa waalimu wa dini,wewe tu mkuu sijui umekuwaje!!!
au unapiga desa badala ya kuelewa?
Nimesoma na nikakataa kuwa mtumwa..
Unafikir kwanini Yesu anafananishwa na Melkizedeki na sio melkizedek afananishwe na yesu?
 
Back
Top Bottom