The lastborn9319
JF-Expert Member
- Oct 30, 2021
- 852
- 1,745
Poa poa nakuelewaUna utoto na ushamba mwingi. Umeandika kwa furaha kama vile ulifanya jambo la maana kumbe la kipumbavu. Huo ulevi ndo huwa mnapasuliwa yai. Badala ya kujihurumia. Unaandika kwa kujisifia Upumbavu na Ushamba. Watu wajanja huwa wanakunywa pombe kwa starehe na si kero.
Sikuwa na cha kubisha,amenipa ushauri mzuri japo kwa kunichana..na ndo uanaume mze[emoji123][emoji123][emoji1787]lastborn umekaangwaa haswa 😀 😀
sema ukipiga gambe unyamaa tuuSikuwa na cha kubisha,amenipa ushauri mzuri japo kwa kunichana..na ndo uanaume mze[emoji123][emoji123][emoji1787]
Sana mwanang hasa iwe night club,pisi kama zote na mziki mkubwaaa..afu siku hiyo mkeka uwe umetiki,yan uko vyed ayaayaaaa[emoji16]sema ukipiga gambe unyamaa tuu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mi nlichukua room Gest kwa ajili ya mgegedo na Dem wangu. Ile tumeingia kuanza mgegedo. Kama dk 10 za mwanzo, tukaanza kusikia kilele kwenye makorido. Mara wagonge kwenye mlango wetu. Mara tusikie "Bwana Yesu asifiwe". Kumbe Gest ilikodiwa na wanakwaya, walikuja kwenye Xmas. Mzuka wote ulikata, sikuweza kuendelea. Nilishuka, mgegedo ukaishia hapo.
Yule demu alinimaindi mno eti tuendelee.
Hapo kwa kiziwi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Dodoma ilikuwa kipindi cha kuanza bunge baada ya uchaguzi, lodge mji mzima zimejaa. Nilikuja pata lodge saa 6 usiku kuingia bafuni nakuta kimba linaelea, shuka zina unyevu nyevu, kumuuliza muhudumu anadai chumba kimetoka kusafishwa, baada ya vurumai nilirudishiwa pesa yangu. Niliishia kulala kwenye gari mpaka kunapambazuka.
Iringa nilikutana na bonge la tangazo marufuku kwa wasiokuwa wanandoa kulala pamoja. Ukienda na mwanamke sharti uwe na cheti cha ndoa. Niligeuza kutafuta sehemu nyingine, kwa baridi ile sikutaka take chances za kulala mwenyewe. Cha ajabu nilikuja gundua kuwa ile lodge ilikuwa maarufu kwa mashoga maana hawahoji wanaume kulala pamoja lakini wana tatizo na mwanamke na mwanaume.
Iringa huko huko tulikuja gongewa na mapolisi. Wanatafuta wahamiaji haramu, nilikuwa na mwenyeji wangu tuliokutana usiku huo huo tu. Kuhofia wizi begi langu lenye vitambulisho vyote nilimpa mwenzangu ambae alilala lodge nyingine. Na rangi yangu si rafiki sana kuepusha shaka ya uraia wangu (kwa mujibu wa mapolisi)mbaya zaidi moja ya mapolisi alikuwa anamjua yule dada na shughuli zake. polisi kuniuliza jina la mwenzangu nikabwatuka tu Mary na demu akajibu jina lingine muda huo huo (Hata jina lake nilikuwa silijui).
Siku hiyo niliamini mizimu ipo. Nilipoulizwa jina langu nilitaja jina la ukoo, ghafla mkuu wa wale polisi akakurupuka kuwa anamjua mzee wangu (mzee nishazika miaka mingi iliyopita) alijichanganya tu, na hiyo ndio ikawa pona yangu.
Sumbawanga vijijini nililala lodge usiku mzima kulikuwa na kelele za mapaka hasa ukizima taa. Nilikesha mpaka panapambazuka.
Mwanza nilikutana na demu sehemu niliyoenda kula. Walikuwa wanapiga mziki. Tukaimbishana hivyo hivyo kwenye kelele na kuondoka wote. Kufika lodge kumbe demu kiziwi na kidogo mtambo. Alikuwa anaongea kwa nguvu balaa. Tena topic za ajabu kama vile utanifanya mara ngapi, utanioa, mbona mbupu zako ndefu, hii ikiwa ni saa 7 za usiku tena kwa kelele. Ilibidi saa 11 asubuhi ninyate nikimbie fedheha toka kwa wa vyumba vya jirani waliosikia, kufika mapokezi jamaa ananicheka mpaka kuanguka kumbe alikuwa akisikia ile mikelele.
Stori za lodge zipo nyingi mno nilizokutana nazo. Nimechoka kuandika.
Hiyo lodge ina vibaka, mlinzi anaanzaje kuingia na kupekenyua vitasa[emoji23]Mi pia naogopa sana kulala Lodge mwenyewe niliwahi kulala Lodge asubuhi niwahi bus, usiku kama saa nane hivi nasikia mtu yupo busy anaingiza funguo na kuzungusha kitasa niliogopa....bahati nzuri nilifunga sikuchomoa funguo, nikapiga simu reception eti nikaambiwa ni mlinzi anakagua vyumba visivyo na watu mxyuuuuu saa nane usiku tena giza, yani huwa nawaza angefungua sijui nini kingetokea [emoji17][emoji17][emoji17] silali lodge peke angu tena
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Babati hiyo miaka ya 2014 tumetoka kufanya kazi fulani timu kama ya watu 8 hivi tumefikia Lodge moja, ubaya ile Lodge ilikuwa vyumba vimezunguka so wa Room Na. 1 akitoka anaweza kuonana na mtu wa Room Na 12.
Basi bana Mida ya saa 11 hivi jioni nikaanza kusikia kelele za mwanadada analia Motoooo motooo uwiii nakufaaa hiii unaniumiza....uwiiiii nakufaaa unanichana umeingiza sanaaaaa uwiiiii... Kelele zikazidi kila mtu lodge ikawa kero kwa wote waliokuwepo room kwa muda ule basi Bwana ile nafungua tu Room kwangu nakutana na takribani wengine wote nao wamekaa mlango kwa vyumba vyao wanasikiliza sauti inapotokea..... it was terrible watu wakaamua kwenda kugonga sana mlango ukafunguliwa kwenye ile room, wakakuta kipande cha mtu kinatupia mzigo kwa mdada mdogo mdogo hivi yule dada alipop[ata upenyo tu alitoka bila nguo mle room, mama mmoja akamstiri kwa khanga... jamaa akatoka room kaenda kuwasha gari huyo nduki...dogo akawa anaomba apepelewe sehemu muhimu maana joto lililosababishwa na kupelekewa moto limemzidi!!!
Kule ni noma,sema nilienda siku nyingi sana around 2008/2009 sifahamu kwa sasa kukojeUmenikumbusha mambali nilipiga mswaki tu kesho yake nikarudi nzega palinishinda
Noma sana mzee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kwenye huu uzi nadhan wewe ndo umekumbana na Mikasa ya ajabu !!!! Gest ina choo Cha nje Kama klabu za pombe
siku zote kitu rahisi huumizaNoma sana mzee
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mi maajabu niliyokutana nayo nilienda morogoro karibu na shule ya msingi kikundi nikakuta lodge zote zimejaa. Kwa taabu nikabahatisha chumba cha buku 8 kwenye corner pale karibu na transist inn, chumba ambacho sikukipenda.
Mwisho wa siku kile chumba nilimkuta jamaa bar ndio anafika amechoka na safari walikuwa na semina, nikamuuzia chumba kwa 19,000 mi nikakesha bar mpaka morning.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dah hatari sanaNilikuwa na hamu sana na papuchi nilipofika tu nikavua nguo sasa napiga simu demu wangu yuko mbali sana nikasema ngoja nijilaze kitandani usingizi ukanipitia. Kuja kushtuka nakuta niko uchi bado na mlango uko wazi kumbe sikulock aisee.
Nawazaga tu hivi hakuna aliyenipiga picha kweli, siku nikikuta picha zangu huko mtandaoni nimelele huku dudu limesimama sitoshangaa [emoji51]
Watu wanatumia sungura na kasongo balaa [emoji23][emoji23][emoji23]Babati hiyo miaka ya 2014 tumetoka kufanya kazi fulani timu kama ya watu 8 hivi tumefikia Lodge moja, ubaya ile Lodge ilikuwa vyumba vimezunguka so wa Room Na. 1 akitoka anaweza kuonana na mtu wa Room Na 12.
Basi bana Mida ya saa 11 hivi jioni nikaanza kusikia kelele za mwanadada analia Motoooo motooo uwiii nakufaaa hiii unaniumiza....uwiiiii nakufaaa unanichana umeingiza sanaaaaa uwiiiii... Kelele zikazidi kila mtu lodge ikawa kero kwa wote waliokuwepo room kwa muda ule basi Bwana ile nafungua tu Room kwangu nakutana na takribani wengine wote nao wamekaa mlango kwa vyumba vyao wanasikiliza sauti inapotokea..... it was terrible watu wakaamua kwenda kugonga sana mlango ukafunguliwa kwenye ile room, wakakuta kipande cha mtu kinatupia mzigo kwa mdada mdogo mdogo hivi yule dada alipop[ata upenyo tu alitoka bila nguo mle room, mama mmoja akamstiri kwa khanga... jamaa akatoka room kaenda kuwasha gari huyo nduki...dogo akawa anaomba apepelewe sehemu muhimu maana joto lililosababishwa na kupelekewa moto limemzidi!!!
Hapa umeonesha ukomavu wa hali ya juu sana. Kumbe kweli uliteleza tu maana hapa umeonesha akili unazo sema siku ile ulijitoa tu akili. Pongezi kwa kuwa mtu unayekubali kukosolewaSikuwa na cha kubisha,amenipa ushauri mzuri japo kwa kunichana..na ndo uanaume mze[emoji123][emoji123][emoji1787]