We Jamaaa ni fwaaalaaa, nimecheka sana kubaabeeekk 🤣🤣🤣🤣1997 tabora,nimeingia gesti,madirisha ya mbao,sikufunga,nimeanza game mwanaume nachanga Tako vibaya game limenoga,mafala wakanichoma unyasi tundu dogo...niliruka,kipindi hicho habari za popo bawa zinavuma,nikaenda kufungua dirisha,tukaendelea na dhambi
Sasa kwao ni last born alaf kazaliwa 1993 kwann asijione mwamba kakaUna utoto na ushamba mwingi. Umeandika kwa furaha kama vile ulifanya jambo la maana kumbe la kipumbavu. Huo ulevi ndo huwa mnapasuliwa yai. Badala ya kujihurumia. Unaandika kwa kujisifia Upumbavu na Ushamba. Watu wajanja huwa wanakunywa pombe kwa starehe na si kero.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]1997 tabora,nimeingia gesti,madirisha ya mbao,sikufunga,nimeanza game mwanaume nachanga Tako vibaya game limenoga,mafala wakanichoma unyasi tundu dogo...niliruka,kipindi hicho habari za popo bawa zinavuma,nikaenda kufungua dirisha,tukaendelea na dhambi
Story yake ingeonekana ina maana kama angekubaliana na alichoambiwa na maza na akatuonesha kubadilika..Una utoto na ushamba mwingi. Umeandika kwa furaha kama vile ulifanya jambo la maana kumbe la kipumbavu. Huo ulevi ndo huwa mnapasuliwa yai. Badala ya kujihurumia. Unaandika kwa kujisifia Upumbavu na Ushamba. Watu wajanja huwa wanakunywa pombe kwa starehe na si kero.
Lodge gani hiyo waliyoshindwa hata kuwawekea wateja maji kwenye ndoo??Mimi hata sio mkoani ni Dar mbezi luis tena nimechukua logde ya Elfu 25 asubuhi na mapema nataka niwahi bus maji hayatoki!,ni mwendo wa kuchamba na soksi sikupiga hata mswaki ni bora hata ningelala tu stendi!
Sio kyoro ? Ndo lodge ya Bei hio ipo karb na stand kuu !!!Mimi hata sio mkoani ni Dar mbezi luis tena nimechukua logde ya Elfu 25 asubuhi na mapema nataka niwahi bus maji hayatoki!,ni mwendo wa kuchamba na soksi sikupiga hata mswaki ni bora hata ningelala tu stendi!
Mada zako zinaonyesha ulisawahifirw*1997 tabora,nimeingia gesti,madirisha ya mbao,sikufunga,nimeanza game mwanaume nachanga Tako vibaya game limenoga,mafala wakanichoma unyasi tundu dogo...niliruka,kipindi hicho habari za popo bawa zinavuma,nikaenda kufungua dirisha,tukaendelea na dhambi
Unakunya kunya ovyoMimi hata sio mkoani ni Dar mbezi luis tena nimechukua logde ya Elfu 25 asubuhi na mapema nataka niwahi bus maji hayatoki!,ni mwendo wa kuchamba na soksi sikupiga hata mswaki ni bora hata ningelala tu stendi!
Ipo karibu na club....... Yenye jina Moja la Kwa madibaKuna gest nilichukua makambako,ile gest mhudumu ni mmaza hiv,sasa nilifika mchana nikachukua room kisha nikatoka nikaenda club kula tungi..nilirudi night kali niko vyoooombo kichizi yan,nilileta noma kichizi pale gesti..asubuhi naamka kukabidhi chumba,yule maza akaniambia ebu kaa hapo tuongee..akaanza kunipa wosia.."kwamba oooh we bado mtoto mdogo unalewa sana, yaani hapo ulipo hata 30 hujafikisha,cha ajab hata kuoa bado,hizo pombe mlikuwa mnashindana???..""unarudi usiku siku nyingine sikupokei"..hakujua mi mwenyewe sikuipenda ile gest..nilibugi tu
Ndivyo ulivyoelewaMada zako zinaonyesha ulisawahifirw*
Kyoro, aikaruwa, double m au qb??Mimi hata sio mkoani ni Dar mbezi luis tena nimechukua logde ya Elfu 25 asubuhi na mapema nataka niwahi bus maji hayatoki!,ni mwendo wa kuchamba na soksi sikupiga hata mswaki ni bora hata ningelala tu stendi!
Definitely kyoro,,, ndo ipo near zaidiKyoro, aikaruwa, double m au qb??
Acha uongo wewe dogo 1997 ndio uingie guest ?1997 tabora,nimeingia gesti,madirisha ya mbao,sikufunga,nimeanza game mwanaume nachanga Tako vibaya game limenoga,mafala wakanichoma unyasi tundu dogo...niliruka,kipindi hicho habari za popo bawa zinavuma,nikaenda kufungua dirisha,tukaendelea na dhambi
Unafikiri wote watoto humu,Hadi mzee wasira tunae humuAcha uongo wewe dogo 1997 ndio uingie guest ?
Nimekagua lodge,iko fresh.Mimi hata sio mkoani ni Dar mbezi luis tena nimechukua logde ya Elfu 25 asubuhi na mapema nataka niwahi bus maji hayatoki!,ni mwendo wa kuchamba na soksi sikupiga hata mswaki ni bora hata ningelala tu stendi!
Haya mambo ya kunya kunya safarini hayafai.Mimi hata sio mkoani ni Dar mbezi luis tena nimechukua logde ya Elfu 25 asubuhi na mapema nataka niwahi bus maji hayatoki!,ni mwendo wa kuchamba na soksi sikupiga hata mswaki ni bora hata ningelala tu stendi!