Mikasa/vituko vya lodge

Kuna utofauti mkubwa sana kwa anae balance elfu 20 kwa siku asimalize na anae save elfu 20 kila siku.....if you know you know.
 
[emoji2][emoji2][emoji2] kama mablanket yametoboka nawaza hiyo guest kiujumla ina hali gani
 
Ulikua ni uoga wao wa maisha tu mambo sijui security ya maosha mara nini sijui.

Trust me, kuna baadhi ya walimu wame make kupitia kazi yao na kuna baadhi ya walimu ni mafukara na ombaomba.

Kazi ya boda nimeifanya sana na sasa hivi nafanya kazi napokea lako 4+ ila natamani niirudie kazi yangu ya boda boda maana kipato hakitofautiani zaid sana kule nakua free pia kuwa jirana na vijiwe napata connection za kutengeneza pesa zaid.

Huku ofisin ni majungu na stress tupu.
 
Rudi sasa acha porojo
 
Kipindi nimeingia Dsm kwa mara ya kwanza nilichukua room ya 10k pale magomeni sasa usiku sana ikawa kimbembe kuna watu waliokotana sijui wapi huko wakakazana wee kidume nimedinda tu sina hali nzuri nimeshindwa kulala mida ya saa 6 hivi kukatulia inaonekana walitoka kwenda kupiga urabu sasa wanavorudi yule mwanaume naona alipitiliza kulala sasa na mimi nikastuka mlango unagongwa kwenda kufungua naona mmaza yuko mlangoni ile kumskiliza nikashangaa anapitiliza na kwenda kujitupa kitandani, Hee!!! mi nikasema si zari hili , nilimnyandua yule mama nilimaliza uchu wangu woote nami nikalala mida ya saa 10 hivi kuja kustuka mlango unagongwa kwa jazba kumbe yule jamaa alikuja kumuulizia yule mwanamke wake akiwa na mhudumu alivomuona tu bed aisee uliwaka ugomv mmoja matata sana alikuja kuamulia mlinz na mfanya usafi wa asubuhi ndo jamaa kuskiliza hata kilichotokea aisee nilishukuru kwa kupona licha ya vitisho kibaao asubuhi hiyo hiyo nikaamsha pale nikasaka Room sehemu nyingine[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Riverside Mikasa iko chini ya level yangu. Nitakwenda Mombasa kuona mijitu ikifanyana kwenye casino ndani ya casino.
Yaani ndani ya casino Kuna kule ndaani ndani wanakokaa wazee ambao Wana nguvu duni za kiume lakini wanataka waone vijana wanavyofanya ili nao labda huenda ninihii zikastuka.
Najua Hawa wa Dar hawawezi kuchukua hotel za Sinza ambazo ndio saizi yangu.
 
Una usela mavi fulani hivi
 



Wahuni sio watu wazuri
 
Kuna utofauti mkubwa sana kwa anae balance elfu 20 kwa siku asimalize na anae save elfu 20 kila siku.....if you know you know.
Usiongee nadharia tu waulize hao bodaboda hilo swali la kati ya kuwa walimu na kuwa bodaboda bora kipi? Niliwahi kuishi kijiji fulani hivi nikazoeana na mwalimu mmoja wa sekondar ni mpambanaji sana ana ng'ombe kama 20,ana canter,shamba la mikorosho kama heka 15 na ukisikia mtu anashamba heka 15 huyo mapato sio ya msimu ya korosho sio ya kitoto ila bado anafundisha mbali na kuwa na vyote hivyo
 
Bila shaka wewe haujawahi kuwa bodaboda na kama unabisha nenda vijiwe vya bodaboda halafu kawaulize kati ya kuwa walimu na kuendelea kuwa bodaboda kipi wanachagua halafu uone majibu yao
 
Yaani unamsema huyo mwalimu ambaye kujenga nyumba yake mwenewe ni hadi akope ......? [emoji16][emoji16] naona hujakutana na boda boda wanao jielewa
Ndicho wanachofuata watu hicho kwenye ajira za serikali kwanza unakuwa na uhakika wa kipato halafu nikuambie kitu mo dewj,bakhresa wote hao wanakopa bank ili kuendeleza mambo yao
 
Lodge ilikuwa imechoka sana
 
Kwamba unaenjoy watu wakifanya ushuhudie live. ?????????? Ndo starehe yako ?
 
Mkuu una roho gani ? Mtu kaingia tu ndan na kumlala ? Na mechi uliuza ! Mengine Ni majini, wezi n.k
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…