Mikasa/vituko vya lodge

Nilishawai kugawa namba ya manzi niliekutana nae club njombe. Niligawa kwa mfanyakazi mwenzangu basi jamaa kampigia simu manzi akaja logde akamtafuna usiku kucha. Ile asubui natoka nikakutana manzi reception aroooo kumbe ni mzuri. Sikufanya makosa tena nikarudi na room kwangu nikaenda kupiga cha asubui [emoji23][emoji23].
 
Unaujua ukurugenzi?? Hahaha you know nothing my brother,Mtu anachukua mkopo wa 300m+ unafikiri ni Mtu gani, mshahara wa 2m+ bongo ni mwingi sasa mkurugenzi ni 15m+ ndani ya siku 30 Kaka plus malupulupu naomba nikucheke😆😆
 

Rafiki sikatai hayo masikhara hata mm ninayo lkn naangalia nini niandike sio kila kinachokuja kichwani naandika tu. Kilichonikera ni kumuambia sijapenda alichokiandika ule ni udhalilishaji alafu mtu anakuja juu na matusi. Hapo tu ndio alinikwaza.
 
Umeharibu na wewe wanaume huwa hatupanic bro.
Ni vile huenda amejihisi hayupo secured ndo maana amejikwaa kwa kauli hiyo ya ukakasi
Ila na wewe kwa bandiko hili umemkosea.
 
Upo vizuri,unaongea lugha ya kitajiri Sana Mungu akusaidie upata financial freedom coz that's our destination.
 
Sasa mimi namjua mwalimu mwenye miaka 28 ana lodge mzuri tu pale mangaka, unadhihirisha haujawahi kuwa bodaboda wewe kwasababu hamna bodaboda wa kukataa ajira ya ualimu munaongea kiwepesi sana humu ndani

Ualimu unaonekana bora sababu ni kazi inayotokana na kiwango fulani cha elimu tofauti na bodaboda inayoonekana ni kazi isiyo na uhitaji wa kiwango fulani cha elimu. Ila kwa kipato, kutegemeana na eneo la kazi, aina za wateja na muda...boda anaweza akatengeneza kipato pengine kumshinda mwalimu japo si kwa kiwango cha juu.

Dar, kuna kijana ni boda anafanya kazi kuazia saa kumi asubuhi mpaka saa tatu asubuhi. Ana wateja wake kama wa4 ambao anawapeleka kazini mida hiyo kwa masaa tofauti ila ikifika saa tatu shughuli kamaliza na Tsh 50,000/= yake.

Halafu, Kuwa na mali ts about saving capacity na sio aina ya kazi
 
Unaujua ukurugenzi?? Hahaha you know nothing my brother,Mtu anachukua mkopo wa 300m+ unafikiri ni Mtu gani, mshahara wa 2m+ bongo ni mwingi sasa mkurugenzi ni 15m+ ndani ya siku 30 Kaka plus malupulupu naomba nikucheke[emoji38][emoji38]
Sio kila mkurugenzi analipwa hiyo pesa, wengine wamezidiwa mshahara na nurses.!!!!!
 
Ny
Nyie ndio mafala ndio. Uzi ulikuwa unavisa vizuri tu mmekuja kuanza kutongozana hapa.

Pelekaneni lodge ndio mje mkomenti kwenye uzi.
Kupelekana lodge kunaanzia kwenye mitongozo kumbe wewe ndiye fala , unampeleka mtu lodge bila mitongozo uliona wapi? Ebu tuache kama unataka mtongozo pia sema
 
We nyoko sana[emoji2][emoji2][emoji2][emoji16][emoji16] umenichekesha aise
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…