Mr Slim
JF-Expert Member
- Sep 11, 2018
- 2,652
- 5,242
Niliomba ulinzi wa meneja,kuwa Mimi ni mteja tu nilikua sijui.Huo mtifuano uliishaje ,,, [emoji1]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niliomba ulinzi wa meneja,kuwa Mimi ni mteja tu nilikua sijui.Huo mtifuano uliishaje ,,, [emoji1]
Pole Sana,,, maids wa jikoni na bar sijui tabia zao zinafanana! Anaweza kukupark hapo na mkaelewana kila kitu kumbe jamaa yake yupo pale amekaa! Then huyo jamaa yake atapangwa na ww unaenda kupewa mzigo kiulaini kabisa [emoji2]Niliomba ulinzi wa meneja,kuwa Mimi ni mteja tu nilikua sijui.
Ukikuta kitu gani mkuuSitasahau nilivyolala safari lodge bar 2015 kigoma sina ham kwa niliyoyakuta?
Udadavuzi kidogoSitasahau nilivyolala safari lodge bar 2015 kigoma sina ham kwa niliyoyakuta?
Mkuu swali lako linakosa majibu stahiki,,, unaonekana Kuna comment ulitaka kuiquote ukasahau auKwani mchana haurusiwi kukaa room kwako ukiwa lodge??
Alichofanya ni kuungansha matukioNilienda lodge moja Arusha !
Nilimtanguliza Dem, Sasa hakuwa na hela ya kulipia, so nikamwambia chukua room alafu nikifika nta-,clear ! Akafanya Kama nilivomuelekeza, Sasa nilivofika mhudumu alikuwa Ni kidada flan around 32, kilikuwa kimelewa !
Akaingia direct bila kugonga , akakuta Dem yupo mezan anakula (nilimletea chakula) , mm nimejilaza kitandani naperuz! Kikaja kikaaa kitandan kinadai hela, nikamlipa anaanza kujichekesha Mara story story,,, !!!! Mara nimefanana na bwana ake !! Tukacheka kibishi wote pale akatoka !
Baada ya kutoka Dem akanijia juu , huyu atakuwa mtu wako, mbona anakuchekea, Mara ameingia bila hodi na amekaa kitandan, Mara ni kwa nini nilimuambia aende pale then asijali room atapewa mm nikifika nitalipia ? Yani kwa kifupi alijijengea hoja za ajabu ajabu ,,,, alitaka kuondoka nikammbeleza akabaki ! Kitu cha kijinga Sasa kilitaka kunipeperushia njiwa [emoji851][emoji851][emoji851]
Mda mwingne Hawa madem akili zinawatosha wao tu ,,,,Nilienda lodge moja Arusha !
Nilimtanguliza Dem, Sasa hakuwa na hela ya kulipia, so nikamwambia chukua room alafu nikifika nta-,clear ! Akafanya Kama nilivomuelekeza, Sasa nilivofika mhudumu alikuwa Ni kidada flan around 32, kilikuwa kimelewa !
Akaingia direct bila kugonga , akakuta Dem yupo mezan anakula (nilimletea chakula) , mm nimejilaza kitandani naperuz! Kikaja kikaaa kitandan kinadai hela, nikamlipa anaanza kujichekesha Mara story story,,, !!!! Mara nimefanana na bwana ake !! Tukacheka kibishi wote pale akatoka !
Baada ya kutoka Dem akanijia juu , huyu atakuwa mtu wako, mbona anakuchekea, Mara ameingia bila hodi na amekaa kitandan, Mara ni kwa nini nilimuambia aende pale then asijali room atapewa mm nikifika nitalipia ? Yani kwa kifupi alijijengea hoja za ajabu ajabu ,,,, alitaka kuondoka nikammbeleza akabaki ! Kitu cha kijinga Sasa kilitaka kunipeperushia njiwa [emoji851][emoji851][emoji851]
inawezekana aise,,, akaona huyu jamaa Kuna kitu hapa sio BureAlichofanya ni kuungansha matukio
Ni kweli.Mkuu swali lako linakosa majibu stahiki,,, unaonekana Kuna comment ulitaka kuiquote ukasahau au
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nilienda lodge moja Arusha !
Nilimtanguliza Dem, Sasa hakuwa na hela ya kulipia, so nikamwambia chukua room alafu nikifika nta-,clear ! Akafanya Kama nilivomuelekeza, Sasa nilivofika mhudumu alikuwa Ni kidada flan around 32, kilikuwa kimelewa !
Akaingia direct bila kugonga , akakuta Dem yupo mezan anakula (nilimletea chakula) , mm nimejilaza kitandani naperuz! Kikaja kikaaa kitandan kinadai hela, nikamlipa anaanza kujichekesha Mara story story,,, !!!! Mara nimefanana na bwana ake !! Tukacheka kibishi wote pale akatoka !
Baada ya kutoka Dem akanijia juu , huyu atakuwa mtu wako, mbona anakuchekea, Mara ameingia bila hodi na amekaa kitandan, Mara ni kwa nini nilimuambia aende pale then asijali room atapewa mm nikifika nitalipia ? Yani kwa kifupi alijijengea hoja za ajabu ajabu ,,,, alitaka kuondoka nikammbeleza akabaki ! Kitu cha kijinga Sasa kilitaka kunipeperushia njiwa [emoji851][emoji851][emoji851]
Mfs dgaf [emoji38][emoji38]
Polis wakuda sana.....wakikuona na pis kali wanakusumbua sna...!! Kwanza hakuna sheria ya kukagua vyumba nyakat za usku....!!mwaka 2013 npo singida pale uhasibu nilienda lodge na side chick room yetu ilikua kwenye kona imejificha hivi,,kwenye saa 4 tukaanza show kelele za kitanda ikabidi tuweke godoro chini tumepiga show na tukalala hpo hpo chini kwenye saa 7 hv polisi wakaja wakamwambia mhudumu aamshe watu wote wanataka kukagua kama hakuna wahamiaji au majambazi hapo sisi tumeshusha na godoro chini na kwenye kitabu cha wageni nimeandika jina lingine siku hio nilishindwa chakufanya hata kurudisha godoro sikuweza ikabidi demu aanze kurudisha,,ila nilishukuru sana muhudumu alisahau room yetu hatukutoka nje,,imefika saa 11 asbh nikasepa nikamuacha demu amalizie ucngzi
walinipa wasiwasi sana acha tu sikulala hadi alfajiriPolis wakuda sana.....wakikuona na pis kali wanakusumbua sna...!! Kwanza hakuna sheria ya kukagua vyumba nyakat za usku....!!
Hofu yako ilikuwa Ni Nini mkuu, kwani ww mkimbizi? Jambaz ? Kuamshwa usiku ni usumbufu Sanamwaka 2013 npo singida pale uhasibu nilienda lodge na side chick room yetu ilikua kwenye kona imejificha hivi,,kwenye saa 4 tukaanza show kelele za kitanda ikabidi tuweke godoro chini tumepiga show na tukalala hpo hpo chini kwenye saa 7 hv polisi wakaja wakamwambia mhudumu aamshe watu wote wanataka kukagua kama hakuna wahamiaji au majambazi hapo sisi tumeshusha na godoro chini na kwenye kitabu cha wageni nimeandika jina lingine siku hio nilishindwa chakufanya hata kurudisha godoro sikuweza ikabidi demu aanze kurudisha,,ila nilishukuru sana muhudumu alisahau room yetu hatukutoka nje,,imefika saa 11 asbh nikasepa nikamuacha demu amalizie ucngzi
Angesumbuka sana kujinasua, hasa kwa sababu taarifa alizoandika kwenye kitabu cha wateja ni za uongo.Hofu yako ilikuwa Ni Nini mkuu,,,kwan ww mkimbizi? Jambaz ? Kuamshwa usiku ni usumbufu Sana