The Humble Dreamer
JF-Expert Member
- Oct 12, 2015
- 7,574
- 10,598
Ilikuwa ni mwaka gani umetoka Makumira, nimetoka 2011 hapoenzi hizo nipo sekondari naenda Arusha shule makumira huko juu miliman
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ilikuwa ni mwaka gani umetoka Makumira, nimetoka 2011 hapoenzi hizo nipo sekondari naenda Arusha shule makumira huko juu miliman
2006, vp mungure alikuwa bado yupo na dame?Ilikuwa ni mwaka gani umetoka Makumira, nimetoka 2011 hapo
Dame nilimuacha pale ila aliondoka baadaye miaka kadhaa mbele.2006, vp mungure alikuwa bado yupo na dame?
duh, vp Mzee Jamaica nae, yule Mzee yule ukimuomba akuongezee nyama anakuambia kata mkono wangu uleDame nilimuacha pale ila aliondoka baadaye miaka kadhaa mbele,
Mungure alifariki kwa ajali ya gari nilisikia ni pale kilala, gari iliacha njia Ikamvaa maana alikua anatembea kwa miguu pembezoni mwa road,
Yule mama mzungu alikuja kuondoka baadaye kurudi nchini kwao
😅😅Jamaica sina taarifa zake, ila yule umri ulikua umeshaenda sana kwa kipindi kile, pengine alisharehemika au pengine yupo mzimaduh, vp Mzee Jamaica nae, yule Mzee yule ukimuomba akuongezee nyama anakuambia kata mkono wangu ule
dah kitambo sana mkuu, makumira itakua imepoa sana sas hv😅😅Jamaica sina taarifa zake, ila yule umri ulikua umeshaenda sana kwa kipindi kile, pengine alisharehemika au pengine yupo mzima
Sure!dah kitambo sana mkuu
haijawahi hadi leo sikujua ni kitu gani labda kipururu miksa mbege viroba hahahaSure!
Nimependa kisa chako, hali hiyo haijawahi kujirudia tena?
Vilichangia pengine, maana hua nadharia zake nazisoma humu sana.haijawahi hadi leo sikujua ni kitu gani labda kipururu miksa mbege viroba hahaha
duh yule dada alihisi nimemnywea madawa kumbe wapiVilichangia pengine, maana hua nadharia zake nazisoma humu sana.
Ila pia katika hali ya kawaida kutegemeana na siku yenyewe hua inatokea.
Jaribu siku ingine upige Bapa alafu uende mchezoni, mrejesho utaucheki kama unafanana na ule wa awaliduh yule dada alihisi nimemnywea madawa kumbe wapi
siku hizi pombe kali nimeacha, nikiwa na hamu yakustua kichwa huwa nakunywa wine tuJaribu siku ingine upige Bapa alafu uende mchezoni, mrejesho utaucheki kama unafanana na ule wa awali
Hivi na yenyewe hua ina activeness pia?siku hizi pombe kali nimeacha, nikiwa na hamu yakustua kichwa huwa nakunywa wine tu
ukila vizuri, YesHivi na yenyewe hua ina activeness pia?
Usiku wanakagua[emoji23]mwaka 2013 npo singida pale uhasibu nilienda lodge na side chick room yetu ilikua kwenye kona imejificha hivi,,kwenye saa 4 tukaanza show kelele za kitanda ikabidi tuweke godoro chini tumepiga show na tukalala hpo hpo chini kwenye saa 7 hv polisi wakaja wakamwambia mhudumu aamshe watu wote wanataka kukagua kama hakuna wahamiaji au majambazi hapo sisi tumeshusha na godoro chini na kwenye kitabu cha wageni nimeandika jina lingine siku hio nilishindwa chakufanya hata kurudisha godoro sikuweza ikabidi demu aanze kurudisha,,ila nilishukuru sana muhudumu alisahau room yetu hatukutoka nje,,imefika saa 11 asbh nikasepa nikamuacha demu amalizie ucngzi
Walimu na bodaboda wamemaliza mgogoro[emoji16]Uzi umekuwa wa Makumira tena... Wabongo vilaza sana! [emoji16]