Bitoz Jobiso
JF-Expert Member
- Sep 27, 2022
- 925
- 1,202
idiot detectedUzi umekuwa wa Makumira tena... Wabongo vilaza sana! π
Dogo, acha u motivation speakerKwa taarifa yako nimeifanya kwa miaka 3 na nimefanya utafit huo kwa kuuliza classless.
Swali langu lilikua very technique, asilimia 95 walisema bora kazi ya boda boda.
Swali langu lilikua, ikitokea mtu anakuchukua ukafanye kazi kwake kwa mwezi anakulipa laki 5 mfano kuuza duka, je utakubar!
Nafikir ni mitizamo tu maana namkumbuk dogo mmoja ana miaka 24 kajenga nyumba kwa kazi ya boda boda japo ndio wapo ambao maisha yanawaendea kombo na wapo walio fanikiwa.
Nimejifunza heshima ya pesa nayo ni muhimu maana bado boda kuchoma elfu 10 kwa ajili ya wanawake ni kawaida sana.
Jambo la msingi tusidharau kazi.
Wapo watu wanauza kuku tu lakin maisha wamewin kuliko unaefikir mkurugenzi.
Siwezi jua unazungumzia bodaboda wa wapi. Ila boda boda hawa waliopo karibu na office yangu ni wametusua maisha kwanza kijiunga na kijiwe chao tu unatskiwa ulipe milioni 4. Ndio utaongea nao lugha moja.Hakuna kitu kigumu kama kujiajiri hasa kwa mtaji mdogo kama wa bodaboda hakika utajifunga hirizi kiunoni mpaka uchoke mimi ninayekuambia hao bodaboda ni rafiki zangu sana tunakaa pamoja kubadilishana mawazo nawajua vizuri sana
Na huo mkopo wa bodaboda 3 inatskiwa alipe kwa miaka 10 [emoji23][emoji23][emoji23]Wanakopa ili kuendeshea miradi yao kama ujenzi wa viwanda,mashamba nk ,na mwalimu anaweza kukopa bodaboda 3 akawapa vijana wanampigia kazi na sio bodaboda kukopa pikipiki akampa mwalimu amuendeshee kwa malipo
Umemaliza ....... Waalimu wengi wanslipwa laki saba ukitoa makato yao anabakiwa na laki 5 na point.Hoja ya msingi, hakuna ajira au kazi ambayo hazijawatoa watu.
Nakubariana na wewe wapo walimu wametoka kutokana na ajira hiyo, na wapo walimu wamefeli mpaka wanastafu hawana hata kiwanja.
Lakini pia wapo boda boda walio fanikiwa na walio feli.
Hata wauza samaki na mayai vivyo hivyo.
Never undermine any kind of economic activity in this world, otherwise hujatembea na kujichanganya kitaa wewe ukaona watu wanavyoingiza pesa kizembe.
Kuna hawa wapiga debe( salange)au bus agence, wao kurudi na elfu 50 ni kawaida sana sema tatizo baadhi yao elimu ya pesa ndo hawana japo wapo waliojenga na kumiliki usafir murua.
Nyie ndo mnaendaga car wash full dharau usijue idadi na pesa anayoingiza pale anakuzidi 10times. Teh.! Teh!
Life very interesting.
Ndo maana kuna watu unamuhudumia unaona kabisa anaonesha dharau za wazi wazi kuona unafanya kazi ndogo hasa hawa wanachuo unakuta anasoma chuo sijui nini huko umembeba kwenye boda kama mteja hizo dharau sasa.!!!
Wewe unapiga kimya unabaki kumsikitikia tu moyoni,mwisho unachukua chako unasepa.!
Kazi ya boda imenifunza mengi sana.! Binadamu tuache dharau hata Mungu hapendi.
Taarifa za uongo kwani polisi walikuwa wanamfahamu kwa sura? Acheni chai, siajaelewa chanzo cha hofu yakeAngesumbuka sana kujinasua, hasa kwa sababu taarifa alizoandika kwenye kitabu cha wateja ni za uongo.
Hakuna mkopo wa miaka 10.Na huo mkopo wa bodaboda 3 inatskiwa alipe kwa miaka 10 [emoji23][emoji23][emoji23]
Na hiyo inakuwa ni Siri zenu,,,hakuna atakayevujisha mtaaniunaingia lodge unakutana na mtu unayemjua nae yupo kwenye harakati zake.mnabaki kuinamisha vichwa chini Kama makondoo.
Aisee nimecheka dah πDodoma ilikuwa kipindi cha kuanza bunge baada ya uchaguzi, lodge mji mzima zimejaa.
Nilikuja pata lodge saa 6 usiku kuingia bafuni nakuta kimba linaelea, shuka zina unyevu nyevu, kumuuliza muhudumu anadai chumba kimetoka kusafishwa, baada ya vurumai nilirudishiwa pesa yangu. Niliishia kulala kwenye gari mpaka kunapambazuka.
Iringa nilikutana na bonge la tangazo marufuku kwa wasiokuwa wanandoa kulala pamoja. Ukienda na mwanamke sharti uwe na cheti cha ndoa. Niligeuza kutafuta sehemu nyingine, kwa baridi ile sikutaka take chances za kulala mwenyewe.
Cha ajabu nilikuja gundua kuwa ile lodge ilikuwa maarufu kwa mashoga maana hawahoji wanaume kulala pamoja lakini wana tatizo na mwanamke na mwanaume.
Iringa huko huko tulikuja gongewa na mapolisi. Wanatafuta wahamiaji haramu, nilikuwa na mwenyeji wangu tuliokutana usiku huo huo tu. Kuhofia wizi begi langu lenye vitambulisho vyote nilimpa mwenzangu ambae alilala lodge nyingine.
Na rangi yangu si rafiki sana kuepusha shaka ya uraia wangu (kwa mujibu wa mapolisi)mbaya zaidi moja ya mapolisi alikuwa anamjua yule dada na shughuli zake.
Polisi kuniuliza jina la mwenzangu nikabwatuka tu Mary na demu akajibu jina lingine muda huo huo (Hata jina lake nilikuwa silijui).
Siku hiyo niliamini mizimu ipo. Nilipoulizwa jina langu nilitaja jina la ukoo, ghafla mkuu wa wale polisi akakurupuka kuwa anamjua mzee wangu (mzee nishazika miaka mingi iliyopita) alijichanganya tu, na hiyo ndio ikawa pona yangu.
Sumbawanga vijijini nililala lodge usiku mzima kulikuwa na kelele za mapaka hasa ukizima taa. Nilikesha mpaka panapambazuka.
Mwanza nilikutana na demu sehemu niliyoenda kula. Walikuwa wanapiga mziki. Tukaimbishana hivyo hivyo kwenye kelele na kuondoka wote. Kufika lodge kumbe demu kiziwi na kidogo mtambo. Alikuwa anaongea kwa nguvu balaa.
Tena topic za ajabu kama vile utanifanya mara ngapi, utanioa, mbona mbupu zako ndefu, hii ikiwa ni saa 7 za usiku tena kwa kelele. Ilibidi saa 11 asubuhi ninyate nikimbie fedheha toka kwa wa vyumba vya jirani waliosikia, kufika mapokezi jamaa ananicheka mpaka kuanguka kumbe alikuwa akisikia ile mikelele.
Stori za lodge zipo nyingi mno nilizokutana nazo. Nimechoka kuandika.
Ofisi yako ipo wapi?ππππSiwezi jua unazungumzia bodaboda wa wapi. Ila boda boda hawa waliopo karibu na office yangu ni wametusua maisha kwanza kijiunga na kijiwe chao tu unatskiwa ulipe milioni 4. Ndio utaongea nao lugha moja.
So usifananishe bodahoda wa huko mbwinde na wa town mkuu.
[emoji23][emoji23]Mang'ola baradhani
Nimeenda zangu Kwa Mambo yangu harakati mwanzo mwisho giza liaingia najiuliza ntalala WAP naanza kukagua maeneo salama zunguka center nzima nikajaona bar na gest kwa pamoja nikaikataa Ila muda ulivyoenda ilinibid nirud kulala pale.
Nipo kaunta nakula vyangu kufika saa tatu kule n usiku mkali mno watu washalala hvyo hata Biashara zspombe ufungwa ikafika muda wa kulala nikaenda chumban sasa kuoga n nje alafu kule maji n shida.
Gafla wakatokea Masai Kama 5 hv wanataka room yule muhudumu (Dem) akawapa Sasa wakaanza kumchombeza namie nilishamtania kumtaka.
Wale masai wakataka kuoga kwanza sababu maji shida yule dem kaniletea maji mimi kwanza wale masai wakamaind mie nikaenda kuoga sa wakati naoga naskia masai wanaomba mzigo kwadem mie nikamaliza kimya.
Naingiia kulala yule dada akawapa maji wale masai wote wakaenda kuoga kule bafu au vyoo vya gest vibaeza kuwa hata nane kwa nje basi akaja nami nikamtania vp anasema hama icho chumba hamia chumba changu nikawaza wee mara nikajikuta nimehamia kwake.
Sio muda mambo ikaanza sasa wale masai wakasikia miguno na vikelele vya mahaba sababu muda ule saa nne mji umetulia tuli na ujenxi n ule wa sealing bird za zamani hvyo kelele utaziskia tuu hvyo wakawa wanamuita nayule dada anawakazia nafkiri wale jamaa n wanunuzi wa Ng'ombe walitoka mnadani usukuman hvyo yule dem anawajua.
Yule Dem aliniacha hoi style yake ya kukatika n Kama anaendesha baiskeli vile sasa nikamkaxia kelele zikaxid wale masai wakatukana Sana sie tukaendelea mpaka usingiz, asubuh wale masai wananiangalia kwa woga hata kunisemesha wanaogopa aisee pombe sio nzuri Kama Kuna Mwanamke unahs unaeza jichanganya n Bora ukae mbali nae kuliko kunywa maana utalaximika kumtumia sababu ya pombe.
πNyukinilikwenda Zanzibar juz kati,katika harakati za kutafuta Lodge,nikaangukia lodge moja iko mbele ya kwa Mchina2, iko eneo la jeshi,ile kuingia tu getini kuna bango kubwa HILI NI ENEO LA JESHI "NIDHAMU HAIOMBWI" nikajisemea kimoyomoyo hapa pananifaa na patakuwa na ulinzi wa kutosha na utulivu. nikaingia ndani,nikaona kuna bar watu wanaangalia mpira,nikaambiwa upande wa lodge kule, niakaenda, kwanza kufika tu reception nikashtuka,nikasema mbona pamekaa hovyo hivi, kuingia zaidi nikamkuta mdada akaniambia vyumba vipo, nikamwomba nivione,kuangalia ni vitanda vya tofali na zege, vimejengwa kama kaburi,nikajisemea lahaula mbona hatari, nikamuuliza mhudumu, eeh!! chumba sh? akasema elfu30 kulala,lakini kama ni unalala tunaruhusu kulala kuanzia saa tatu ya usiku, hivyo unaweza kulipia ukaenda kuzurura akarudi saa tatu ili tukutandikie chumba chako, ila kama unataka short time hata kwa sasa unapata,kipo hicho hapo ametoka mtu sasa hivi tukutandikie. nikaona hapa hapanifai nikaondoka zangu
Na wewe ni Mmasai? Huu uandishiMang'ola baradhani
Nimeenda zangu Kwa Mambo yangu harakati mwanzo mwisho giza liaingia najiuliza ntalala WAP naanza kukagua maeneo salama zunguka center nzima nikajaona bar na gest kwa pamoja nikaikataa Ila muda ulivyoenda ilinibid nirud kulala pale.
Nipo kaunta nakula vyangu kufika saa tatu kule n usiku mkali mno watu washalala hvyo hata Biashara zspombe ufungwa ikafika muda wa kulala nikaenda chumban sasa kuoga n nje alafu kule maji n shida.
Gafla wakatokea Masai Kama 5 hv wanataka room yule muhudumu (Dem) akawapa Sasa wakaanza kumchombeza namie nilishamtania kumtaka.
Wale masai wakataka kuoga kwanza sababu maji shida yule dem kaniletea maji mimi kwanza wale masai wakamaind mie nikaenda kuoga sa wakati naoga naskia masai wanaomba mzigo kwadem mie nikamaliza kimya.
Naingiia kulala yule dada akawapa maji wale masai wote wakaenda kuoga kule bafu au vyoo vya gest vibaeza kuwa hata nane kwa nje basi akaja nami nikamtania vp anasema hama icho chumba hamia chumba changu nikawaza wee mara nikajikuta nimehamia kwake.
Sio muda mambo ikaanza sasa wale masai wakasikia miguno na vikelele vya mahaba sababu muda ule saa nne mji umetulia tuli na ujenxi n ule wa sealing bird za zamani hvyo kelele utaziskia tuu hvyo wakawa wanamuita nayule dada anawakazia nafkiri wale jamaa n wanunuzi wa Ng'ombe walitoka mnadani usukuman hvyo yule dem anawajua.
Yule Dem aliniacha hoi style yake ya kukatika n Kama anaendesha baiskeli vile sasa nikamkaxia kelele zikaxid wale masai wakatukana Sana sie tukaendelea mpaka usingiz, asubuh wale masai wananiangalia kwa woga hata kunisemesha wanaogopa aisee pombe sio nzuri Kama Kuna Mwanamke unahs unaeza jichanganya n Bora ukae mbali nae kuliko kunywa maana utalaximika kumtumia sababu ya pombe.
Mm nilikutana na mke wa mshikaji pale kitaaa aibu km yote tulikuja kukutana kitaa akasema shem kumbe na ww ni wa motooo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]unaingia lodge unakutana na mtu unayemjua nae yupo kwenye harakati zake.mnabaki kuinamisha vichwa chini Kama makondoo.
Hakuna kitu Kama hicho mkuu,,, hao boda anazungumzia boda wa wapi ? Kila mahali wamejaa, hii miji mikubwa ndo kabisa wametapakaa kila uchochoro !Ofisi yako ipo wapi?[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Pombe ikizidi unashindwa ku-control baadhi ya maamuzi yako !Mang'ola baradhani
Nimeenda zangu Kwa Mambo yangu harakati mwanzo mwisho giza liaingia najiuliza ntalala WAP naanza kukagua maeneo salama zunguka center nzima nikajaona bar na gest kwa pamoja nikaikataa Ila muda ulivyoenda ilinibid nirud kulala pale.
Nipo kaunta nakula vyangu kufika saa tatu kule n usiku mkali mno watu washalala hvyo hata Biashara zspombe ufungwa ikafika muda wa kulala nikaenda chumban sasa kuoga n nje alafu kule maji n shida.
Gafla wakatokea Masai Kama 5 hv wanataka room yule muhudumu (Dem) akawapa Sasa wakaanza kumchombeza namie nilishamtania kumtaka.
Wale masai wakataka kuoga kwanza sababu maji shida yule dem kaniletea maji mimi kwanza wale masai wakamaind mie nikaenda kuoga sa wakati naoga naskia masai wanaomba mzigo kwadem mie nikamaliza kimya.
Naingiia kulala yule dada akawapa maji wale masai wote wakaenda kuoga kule bafu au vyoo vya gest vibaeza kuwa hata nane kwa nje basi akaja nami nikamtania vp anasema hama icho chumba hamia chumba changu nikawaza wee mara nikajikuta nimehamia kwake.
Sio muda mambo ikaanza sasa wale masai wakasikia miguno na vikelele vya mahaba sababu muda ule saa nne mji umetulia tuli na ujenxi n ule wa sealing bird za zamani hvyo kelele utaziskia tuu hvyo wakawa wanamuita nayule dada anawakazia nafkiri wale jamaa n wanunuzi wa Ng'ombe walitoka mnadani usukuman hvyo yule dem anawajua.
Yule Dem aliniacha hoi style yake ya kukatika n Kama anaendesha baiskeli vile sasa nikamkaxia kelele zikaxid wale masai wakatukana Sana sie tukaendelea mpaka usingiz, asubuh wale masai wananiangalia kwa woga hata kunisemesha wanaogopa aisee pombe sio nzuri Kama Kuna Mwanamke unahs unaeza jichanganya n Bora ukae mbali nae kuliko kunywa maana utalaximika kumtumia sababu ya pombe.
Ukimtaka unampata kirahisi Sana [emoji2][emoji1][emoji2]Mm nilikutana na mke wa mshikaji pale kitaaa aibu km yote tulikuja kukutana kitaa akasema shem kumbe na ww ni wa motooo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huduma inaitwaje hiyo, na inapatikana maeneo ganiKaterero ni kipaji cha wahaya na waganda/wanyaru, sio kila mwenye sehem za siri mkuu. Sema kusquirt wamejaliwa kila pande za dunia.
Ila yale maisha kama u msomi na mcha Mungu sio kabsa.
kama movie ya from dust till down!
Had choo na pa kuogea hakuna.
nilichofaidi Yule bwana wa kinyantuzu alikuwa na nguvu sana kias kwamba licha ya kuangukia chumba changu hakuchomoa hata kunitaka radhi hadi akakojoa.
Nilikuwa excited na kuathirika kias kwamba hadi leo nafurahia zaid kushuhudia binadam wakifanyana kuliko kuchosha viungo vyangu.
Bahat nzuri nimeshakuja dar nimekuta kuna huduma ya akina dada kusagana mbele yako unaenjoy miguno na ufundi. Ni maendeleo kwakweli ya kisekta!
...PLEASE, DON'T TAKE LIFE TOO SERIOUSLY..
..... LIVE RESPONSIBLY!