Mikasa/vituko vya lodge

Juzi kati nilienda gest fulani pale dsm, kumbe kwa pembeni kidogo kuna kanisa....sasa usiku mzima tunasikia kwaya tu sijui walikuwa na mkesha, in short walinikata mood ya kunyandua nikawa nawaza wenzetu wanamtukuza Mungu sisi tunafanya upumbavu.
Ikabidi uanzishe maombi na wewe

Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
 
 
 
Juzi kati nilienda gest fulani pale dsm, kumbe kwa pembeni kidogo kuna kanisa....sasa usiku mzima tunasikia kwaya tu sijui walikuwa na mkesha, in short walinikata mood ya kunyandua nikawa nawaza wenzetu wanamtukuza Mungu sisi tunafanya upumbavu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Pale 8/8 kuna lodge nzuri/20000 upande wa kuingilia magari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…