Mikasa/vituko vya lodge

kweli.we mtu mbadii [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mkuu hungumalwa watu wanatiana balaa. Ulichukua lodge ya karibu na stendi nini!!!? [emoji28][emoji28][emoji28]
 
Natamani siku moja niende kwenye korido za lodge nianze kuropoka "Oyaa kila siku nakuambia shemeji sio muaminifu huamini..njoo ujionee Kwa sauti! Then nasepa..najua huku nyuma naacha kivumbi!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
We jamaa unaonekana unapenda sana chini🤣🤣🤣
 

Hahaha, dah nimecheka sana. Nahisi kuna watu mumeteuliwa rasmi kuja duniani kuongezea watu siku za kuishi.
 
Kila aliyepita alikuw anaona obvious kwa tukio lile lazima mpita njia aogope mana anawaza hili jitu humu ndani linaweza kuwa limerukwa na akili [emoji1787]

Hahaha, dah aisee Mkuu hebu ongea na wale jamaa wa Cheka Tu, kuna nafasi yako pale.
 
Kama ulilala matako juu basi kwisha habari yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…