Haijawahi tokea hiyo nilikuwa mwenyewe na nilikuwa na jukumu zito lilinifanya hata wazo tu haliwezi kujaNakuona Sam
Ndiyo tabia yako lkn
Najua ulikua na dem siku hiyo
Hebu dadavua swali lako nikujibu vzrKivipi?
A shared traumatic relation?
Mkuu unatokea huko??Mkuu nauna umetaja jina langu hapo@mbarika
kweli.we mtu mbadii [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nilifika Njombe, kutoka nilikotoka. Nikachukua chumba. Ilikuwa kama saa 6 mchana. Kufika saa 10 hivi nikapata usafiri kwenda nilikopanga kuelekea.
Nikamwomba mhudumu anirudishie japo nusu ya bei ya chumba. Alikataa katakata.
Niliiingia chumbani, nilivua foronya ya godoro, sambaratisha vitu hovyohovyo. Niligeuza kitanda upside down na chaga weka kule. Mashuka nilifutia viatu kisha nikayanyagakanyaga.
Nilibeba begi nikaaga kwa mhudumu kisha nikasepa zangu nikiwa na uhakika kuwa atapata kazi kurudishia chumba katika hali ya awali. [emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
Mkuu hungumalwa watu wanatiana balaa. Ulichukua lodge ya karibu na stendi nini!!!? [emoji28][emoji28][emoji28]Washenzi wale wasukuma wa Hungumalwa na kule Shirima kwa mzee Samwel mganga wa kienyeji [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16],Hungumalwa sikulala watu wananyanduana makelele mwanzo mwisho.
Shirima nikaenda chukua chumba nikidhani huku ni mwisho nimejitenga na kelele weee sitakaa nilale huko tena maishani mwangu ikitokea safari za huko naenda na kurudi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Natamani siku moja niende kwenye korido za lodge nianze kuropoka "Oyaa kila siku nakuambia shemeji sio muaminifu huamini..njoo ujionee Kwa sauti! Then nasepa..najua huku nyuma naacha kivumbi!
We jamaa unaonekana unapenda sana chini🤣🤣🤣Dodoma ilikuwa kipindi cha kuanza bunge baada ya uchaguzi, lodge mji mzima zimejaa. Nilikuja pata lodge saa 6 usiku kuingia bafuni nakuta kimba linaelea, shuka zina unyevu nyevu, kumuuliza muhudumu anadai chumba kimetoka kusafishwa, baada ya vurumai nilirudishiwa pesa yangu. Niliishia kulala kwenye gari mpaka kunapambazuka.
Iringa nilikutana na bonge la tangazo marufuku kwa wasiokuwa wanandoa kulala pamoja. Ukienda na mwanamke sharti uwe na cheti cha ndoa. Niligeuza kutafuta sehemu nyingine, kwa baridi ile sikutaka take chances za kulala mwenyewe. Cha ajabu nilikuja gundua kuwa ile lodge ilikuwa maarufu kwa mashoga maana hawahoji wanaume kulala pamoja lakini wana tatizo na mwanamke na mwanaume.
Iringa huko huko tulikuja gongewa na mapolisi. Wanatafuta wahamiaji haramu, nilikuwa na mwenyeji wangu tuliokutana usiku huo huo tu. Kuhofia wizi begi langu lenye vitambulisho vyote nilimpa mwenzangu ambae alilala lodge nyingine. Na rangi yangu si rafiki sana kuepusha shaka ya uraia wangu (kwa mujibu wa mapolisi)mbaya zaidi moja ya mapolisi alikuwa anamjua yule dada na shughuli zake. polisi kuniuliza jina la mwenzangu nikabwatuka tu Mary na demu akajibu jina lingine muda huo huo (Hata jina lake nilikuwa silijui).
Siku hiyo niliamini mizimu ipo. Nilipoulizwa jina langu nilitaja jina la ukoo, ghafla mkuu wa wale polisi akakurupuka kuwa anamjua mzee wangu (mzee nishazika miaka mingi iliyopita) alijichanganya tu, na hiyo ndio ikawa pona yangu.
Sumbawanga vijijini nililala lodge usiku mzima kulikuwa na kelele za mapaka hasa ukizima taa. Nilikesha mpaka panapambazuka.
Mwanza nilikutana na demu sehemu niliyoenda kula. Walikuwa wanapiga mziki. Tukaimbishana hivyo hivyo kwenye kelele na kuondoka wote. Kufika lodge kumbe demu kiziwi na kidogo mtambo. Alikuwa anaongea kwa nguvu balaa. Tena topic za ajabu kama vile utanifanya mara ngapi, utanioa, mbona mbupu zako ndefu, hii ikiwa ni saa 7 za usiku tena kwa kelele. Ilibidi saa 11 asubuhi ninyate nikimbie, kufika mapokezi jamaa ananicheka mpaka kuanguka kumbe alikuwa akisikia ile mikelele.
Stori za lodge zipo nyingi mno nilizokutana nazo. Nimechoka kuandika.
Hiyo ni mikasa ya zamani mno. Enzi za ujana. Sasa hivi nishakuwa kikongwe.We jamaa unaonekana unapenda sana chini🤣🤣🤣
Kipindi hicho logde nzuri ni ile iliokuwa karibu na kituo cha policeMkuu hungumalwa watu wanatiana balaa. Ulichukua lodge ya karibu na stendi nini!!!? [emoji28][emoji28][emoji28]
Nilikuwa na hamu sana na papuchi nilipofika tu nikavua nguo sasa napiga simu demu wangu yuko mbali sana nikasema ngoja nijilaze kitandani usingizi ukanipitia. Kuja kushtuka nakuta niko uchi bado na mlango uko wazi kumbe sikulock aisee.
Nawazaga tu hivi hakuna aliyenipiga picha kweli, siku nikikuta picha zangu huko mtandaoni nimelele huku dudu limesimama sitoshangaa [emoji51]
Kila aliyepita alikuw anaona obvious kwa tukio lile lazima mpita njia aogope mana anawaza hili jitu humu ndani linaweza kuwa limerukwa na akili [emoji1787]
Maisha haya tunapitia mengi🤣Hahaha, dah nimecheka sana. Nahisi kuna watu mumeteuliwa rasmi kuja duniani kuongezea watu siku za kuishi.
Kama ulilala matako juu basi kwisha habari yakoNilikuwa na hamu sana na papuchi nilipofika tu nikavua nguo sasa napiga simu demu wangu yuko mbali sana nikasema ngoja nijilaze kitandani usingizi ukanipitia. Kuja kushtuka nakuta niko uchi bado na mlango uko wazi kumbe sikulock aisee.
Nawazaga tu hivi hakuna aliyenipiga picha kweli, siku nikikuta picha zangu huko mtandaoni nimelele huku dudu limesimama sitoshangaa 😬
Hiyo kuvamiwa imehusikaje kwenye kuwafanya msiachane?Hebu dadavua swali lako nikujibu vzr
Maisha haya tunapitia mengi[emoji1787]
Tulipendana zaidi.. kuna matukio hufanya watu wakashikamana zaidi. Yani hata badae mkikaa mkasimuliana mnashare zile feelings pamoja.Hiyo kuvamiwa imehusikaje kwenye kuwafanya msiachane?
Aah hiyo ndio maana ya shared trauma relationship.Tulipendana zaidi.. kuna matukio hufanya watu wakashikamana zaidi. Yani hata badae mkikaa mkasimuliana mnashare zile feelings pamoja.
Dushe lilikiwa linaangalia juu linasoma kama dira🤣🤣Kama ulilala matako juu basi kwisha habari yako
😂😂😂Dushe lilikiwa linaangalia juu linasoma kama dira🤣🤣