Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,564
- 34,341
Amenishangaza stress zake anataka kuniletea mimi apambane na hali yake.Achana nae usijichoshe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amenishangaza stress zake anataka kuniletea mimi apambane na hali yake.Achana nae usijichoshe
Ungesoma vzur cmmnt yngu usingejibu huo upuuz wako hpo juu...nmefatwa nmeambiwa nitulie ujitambuiYaani wewe ni kama una chuki zako sasa ulikua unatafuta namna ya kunianza. Nipo hapa nasubiri unipoteze, eti sitaamini [emoji23] kwa kipi hasa? Ndio ukome kuvamia yasokuhusu. Nakusubiri tena leo leo unipoteze.
Wewe ndio ulinianza eti najidai mjuaji haya wewe usie mjuaji unachoumia kitu gani? Ulitaka akutag wewe kuwa ndio mlishirikana kuchafua lodge ya watu? Una wazimu si bure. Haya nasubiri kupotezwa [emoji23][emoji23][emoji23]
Eti sijitambui wewe sema umekaa umejitafakari umejiona wapi ulipokurupuka hakuna cha kufatwa wala nini. Next time uwe unapita kimya sio kuingilia yasokuhusu alafu ukirekebishwa unaanza kuita watu mbuzi, mara kupoteza sijui utaja potezwa wewe nakuambia acha kuvamia vamia watu kenge wee.Ungesoma vzur cmmnt yngu usingejibu huo upuuz wako hpo juu...nmefatwa nmeambiwa nitulie ujitambui
Kujiumiza kihisia tu,,,, naangaliaje dume jenzangu linagugumia huku limemshikilia manzi linamuadhibu bakora,,, ! Mwisho wa siku utaishia kupiga puchu,,Kwani we hupend live band!
Nikuulize ww sasa,mbn upo mbele ya muda sanaUnaongelea nin ??
Mmmmh cmmnts ya kipuuz kbsaa ebu pita hv bsEti sijitambui wewe sema umekaa umejitafakari umejiona wapi ulipokurupuka hakuna cha kufatwa wala nini. Next time uwe unapita kimya sio kuingilia yasokuhusu alafu ukirekebishwa unaanza kuita watu mbuzi, mara kupoteza sijui utaja potezwa wewe nakuambia acha kuvamia vamia watu.
Unaonekana huna dhambi nyingi
Ujumbe umefika na narudia tena ukome kiherehere mbwa wewe.Mmmmh cmmnts ya kipuuz kbsaa ebu pita hv bs
kikubwa tuheshimu kazi za watu kuna watu wametajirika kupitia bodabodaSio tanzania tu ni kote duniani kuna kazi ambazo ni za chini sana ndio maana hata wewe haupo radhi mwanao awe bodaboda
Kama nani?kikubwa tuheshimu kazi za watu kuna watu wametajirika kupitia bodaboda
Ujumbe upi huo mwanamke?? [emoji848]Ujumbe umefika.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] ulikumbuka kondomu mzee??Nakumbuka miaka ya 2009, butimba pale kuliko na gesti moja nilioanga kwa muda wa wiki nzima aisee, kuna jamaa wa chumba kinachofata alikuja na kidemu cjui alikitoa wapi bwana, mm nipo chumbani nachek Tv, huku nakula viepe, baadae nikapitiwa na usingizi kuja kushituka, nasikia kelele... Unanipasua mayai, jamaa anapeleka moto haswa, yaani dk 40 za moto kidemu kinalalmika... Oooh inawaka moto paka mafuta jamaa ana feplay tulia si unataka hela, alipiga kile kitoto akakiinamisha piga gigo ile anachomooa kitoto kikafyatuka kutoka chumbani kikiwa uchi, kikaanza kujafibu kufungua milango kakuta mlango wangu uko wazi kakaunga mpk ndani, kakapita...... Mpk chumbani jamaa likatoka linacheka likawasha gari na kusepa.... Demu yupo uchi nikamwambia kaoge humo bafuni akaoga then nikampa taulo ajifunge akala viepe vilivyobakia tukalala naye mpk asubuhi ndio akarudi kwenye room kuchukua nguo zake alivyorudi akanitunuku tunda nilimchakata mpk saa nne asubuhi hivi.... Ndio ikawa mwanzo wa kumla sophi.... Mpk muda wangu wa kukaa pale ulipoisha
Acha mikwara mbuzi wewe. Umemtishia Yoga kule haujafanikiwa. Acha matisho na makasiriko humu. Kwani ni lazima mumtanie na kumzoea huyu Dada?Wewe mbuzi dili na huyo huyo achana na mm nitakupoteza ndani ya siku 2 alafu nikuweke hapa jukwaani...!! Utoamini.
Samehe na yamepita hayo Mama yangu. Sasa nchi hii walio na ukichaa ni wengi.Yaani wewe ni kama una chuki zako sasa ulikua unatafuta namna ya kunianza. Nipo hapa nasubiri unipoteze, eti sitaamini [emoji23] kwa kipi hasa? Ndio ukome kuvamia yasokuhusu. Nakusubiri tena leo leo unipoteze.
Wewe ndio ulinianza eti najidai mjuaji haya wewe usie mjuaji unachoumia kitu gani? Ulitaka akutag wewe kuwa ndio mlishirikana kuchafua lodge ya watu? Una wazimu si bure. Haya nasubiri kupotezwa [emoji23][emoji23][emoji23]
Sitamjibu tena, naona ana makasiriko anatafuta pa kuyamwaga huyo mwanaume kama binti.Samehe na yamepita hayo Mama yangu. Sasa nchi hii walio na ukichaa ni wengi.
Wanauza bange mbona wewe hukujenga kupitia boda?Kwa taarifa yako nimeifanya kwa miaka 3 na nimefanya utafit huo kwa kuuliza classless.
Swali langu lilikua very technique, asilimia 95 walisema bora kazi ya boda boda.
Swali langu lilikua, ikitokea mtu anakuchukua ukafanye kazi kwake kwa mwezi anakulipa laki 5 mfano kuuza duka, je utakubar!
Nafikir ni mitizamo tu maana namkumbuk dogo mmoja ana miaka 24 kajenga nyumba kwa kazi ya boda boda japo ndio wapo ambao maisha yanawaendea kombo na wapo walio fanikiwa.
Nimejifunza heshima ya pesa nayo ni muhimu maana bado boda kuchoma elfu 10 kwa ajili ya wanawake ni kawaida sana.
Jambo la msingi tusidharau kazi.
Wapo watu wanauza kuku tu lakin maisha wamewin kuliko unaefikir mkurugenzi.