Mikasa/vituko vya lodge

Mikasa/vituko vya lodge

Katerero ni kipaji cha wahaya na waganda/wanyaru, sio kila mwenye sehem za siri mkuu. Sema kusquirt wamejaliwa kila pande za dunia.
Ila yale maisha kama u msomi na mcha Mungu sio kabsa.
kama movie ya from dust till down!
Had choo na pa kuogea hakuna.
nilichofaidi Yule bwana wa kinyantuzu alikuwa na nguvu sana kias kwamba licha ya kuangukia chumba changu hakuchomoa hata kunitaka radhi hadi akakojoa.
Nilikuwa excited na kuathirika kias kwamba hadi leo nafurahia zaid kushuhudia binadam wakifanyana kuliko kuchosha viungo vyangu.
Bahat nzuri nimeshakuja dar nimekuta kuna huduma ya akina dada kusagana mbele yako unaenjoy miguno na ufundi. Ni maendeleo kwakweli ya kisekta!
...PLEASE, DON'T TAKE LIFE TOO SERIOUSLY..
..... LIVE RESPONSIBLY!
Ni PM hilo chimbo mzazi please

Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
 
Ualimu unaonekana bora sababu ni kazi inayotokana na kiwango fulani cha elimu tofauti na bodaboda inayoonekana ni kazi isiyo na uhitaji wa kiwango fulani cha elimu. Ila kwa kipato, kutegemeana na eneo la kazi, aina za wateja na muda...boda anaweza akatengeneza kipato pengine kumshinda mwalimu japo si kwa kiwango cha juu.

Dar, kuna kijana ni boda anafanya kazi kuazia saa kumi asubuhi mpaka saa tatu asubuhi. Ana wateja wake kama wa4 ambao anawapeleka kazini mida hiyo kwa masaa tofauti ila ikifika saa tatu shughuli kamaliza na Tsh 50,000/= yake.

Halafu, Kuwa na mali ts about saving capacity na sio aina ya kazi
wapi huko anakowapeleka kwa nauli ya 12500 kila siku
 
Usishangae mkuu, inabidi usikitike tu.
Jamaa hafikiri kuwa iko siku Mungu atamjalia amiliki guest, hoteli au nyumba, hafikirii kuwa aliyowafanyia wenzake yeye pia anaweza kufanyiwa.

Vv
Hapana mkuu ila mhudumu hakufanya fair jamaa kakaa masaa machache tu hata angerudisha nusu asingepungukiwa na kitu[emoji28][emoji28]
 
wapi huko anakowapeleka kwa nauli ya 12500 kila siku
Umegawanya kwa idadi kupata 12,500? Kwanini umeikiri wote wanaenda na kutoka sehemu moja? Kwann hujafikiri kuna anayelipa 10,000 mwingine 15,000 n.k kutegemeana na anakopelekwa?
 
Usiongee bila uthibitisho mwalimu gani anaelipwa pesa uliyoitaja?

Mwalimu anaenza primary analipwa 18000×30=540000

Asa uyo anaelipwa hiyo pesa uliyoitaja ni mwalimu wa Mama ako au?

Msiwe mnakurupuka ficha ujinga wako
540,000 hapo labda asiwe na mkopo wa elimu. Kama anao kwa hela hiyo kaumia.

Mkopo + kodi serikali + mifuko ya hifadhi ya jamii + bima ya afya

Akibaki na 260k huyo atuambie anatumia mbinu gani.
 
Unaujua ukurugenzi?? Hahaha you know nothing my brother,Mtu anachukua mkopo wa 300m+ unafikiri ni Mtu gani, mshahara wa 2m+ bongo ni mwingi sasa mkurugenzi ni 15m+ ndani ya siku 30 Kaka plus malupulupu naomba nikucheke[emoji38][emoji38]
Huyo jamaa hamnazo labda yeye anasemea Mkurugenzi wa Bar, nnawajua Wakurugenzi wanakula mil 40, 50 huko

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Dodoma ilikuwa kipindi cha kuanza bunge baada ya uchaguzi, lodge mji mzima zimejaa.

Nilikuja pata lodge saa 6 usiku kuingia bafuni nakuta kimba linaelea, shuka zina unyevu nyevu, kumuuliza muhudumu anadai chumba kimetoka kusafishwa, baada ya vurumai nilirudishiwa pesa yangu. Niliishia kulala kwenye gari mpaka kunapambazuka.

Iringa nilikutana na bonge la tangazo marufuku kwa wasiokuwa wanandoa kulala pamoja. Ukienda na mwanamke sharti uwe na cheti cha ndoa. Niligeuza kutafuta sehemu nyingine, kwa baridi ile sikutaka take chances za kulala mwenyewe.

Cha ajabu nilikuja gundua kuwa ile lodge ilikuwa maarufu kwa mashoga maana hawahoji wanaume kulala pamoja lakini wana tatizo na mwanamke na mwanaume.

Iringa huko huko tulikuja gongewa na mapolisi. Wanatafuta wahamiaji haramu, nilikuwa na mwenyeji wangu tuliokutana usiku huo huo tu. Kuhofia wizi begi langu lenye vitambulisho vyote nilimpa mwenzangu ambae alilala lodge nyingine.

Na rangi yangu si rafiki sana kuepusha shaka ya uraia wangu (kwa mujibu wa mapolisi)mbaya zaidi moja ya mapolisi alikuwa anamjua yule dada na shughuli zake.

Polisi kuniuliza jina la mwenzangu nikabwatuka tu Mary na demu akajibu jina lingine muda huo huo (Hata jina lake nilikuwa silijui).

Siku hiyo niliamini mizimu ipo. Nilipoulizwa jina langu nilitaja jina la ukoo, ghafla mkuu wa wale polisi akakurupuka kuwa anamjua mzee wangu (mzee nishazika miaka mingi iliyopita) alijichanganya tu, na hiyo ndio ikawa pona yangu.

Sumbawanga vijijini nililala lodge usiku mzima kulikuwa na kelele za mapaka hasa ukizima taa. Nilikesha mpaka panapambazuka.

Mwanza nilikutana na demu sehemu niliyoenda kula. Walikuwa wanapiga mziki. Tukaimbishana hivyo hivyo kwenye kelele na kuondoka wote. Kufika lodge kumbe demu kiziwi na kidogo mtambo. Alikuwa anaongea kwa nguvu balaa.

Tena topic za ajabu kama vile utanifanya mara ngapi, utanioa, mbona mbupu zako ndefu, hii ikiwa ni saa 7 za usiku tena kwa kelele. Ilibidi saa 11 asubuhi ninyate nikimbie fedheha toka kwa wa vyumba vya jirani waliosikia, kufika mapokezi jamaa ananicheka mpaka kuanguka kumbe alikuwa akisikia ile mikelele.

Stori za lodge zipo nyingi mno nilizokutana nazo. Nimechoka kuandika.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Khaa aloo una hekaheka kweli kweli
 
Kuna watu humu, sijui ni wivu au nn, wanaharibu threads za watu katikati kwa kuanzisha mabishano ya hovyo, na vijioja vya ajabuajabu, mpaka thread inapoteza maudhui yaliyokusudiwa na mwandishi. Cha ajabu ni kwamba hata mods hawafuti comments zao

Sent from my SM-T585 using JamiiForums mobile app
Kero sana
 
540,000 hapo labda asiwe na mkopo wa elimu. Kama anao kwa hela hiyo kaumia.

Mkopo + kodi serikali + mifuko ya hifadhi ya jamii + bima ya afya

Akibaki na 260k huyo atuambie anatumia mbinu gani.
Mkuu mwalimu gani wa primary mwenye mkopo wa elimu ya juu?

Wengi ni dimploma na certificate

Degree hawapewe 500k wanaanza na 700k
 
Nilifikia Lodge moja ndogo maeneo ya Shekilango, nikawasiliana na Dogo wangu mmoja akaniahidi atapita akitoka Job....mida ya saa moja hivi nikawa nimekaa kwa nje ya Geti namsubiri maana aliniambia yupo njiani.

Wakati nimechili zangu ikaja Gari ndogo anaendesha Mdada na pembeni kuna Kajamaa, Mhudumu akafungua Geti Gari ikaingia...wakateremka, wakati wanashughulikia utaratibu wa kupata room yule Mdada akapokea simu, akaonekana ameshtuka.

Mara akaingia kwenye gari akawasha akaweka rivasi na Geti halijafunguliwa...na Yule Jamaa (Muhudumu) naye kalikuwa kauzu fulani basi yeye wala hakushtuka alisimama tu anamuangalia yule jamaa aliyekuwa naye ndio alipiga kelele "unagonga geti", akafunga breki ila ilibaki pointi tu atoke nalo.

Basi Jamaa (Muhudumu) polepole akafungua geti ndio Mdada akatoka spidi. Jamaa aliyekuja nae akabaki pale kwa muda kisha...baadae naye akasepa. huku mimi na Muhudumu tukiwa kwenye butwaa nikamuuliza "mbona unaona Mdada amepaniki hata hukutaka kumsaidia kufungua geti haraka aondoke?" Jamaa akasema "nilitaka agonge hilo geti ndio akili imkae sawa", ingawa kimoyomoyo nikajiuliza sasa yeye angefaidika nini ili hali hata hafahamiani nae.

Picha niliyoipata ni kama vile zoezi la cheating lilitibuliwa, huenda Mke wa Mtu aliulizwa "mbona umeonekana mitaa ya Shekilango?".
 
Dodoma ilikuwa kipindi cha kuanza bunge baada ya uchaguzi, lodge mji mzima zimejaa.

Nilikuja pata lodge saa 6 usiku kuingia bafuni nakuta kimba linaelea, shuka zina unyevu nyevu, kumuuliza muhudumu anadai chumba kimetoka kusafishwa, baada ya vurumai nilirudishiwa pesa yangu. Niliishia kulala kwenye gari mpaka kunapambazuka.

Iringa nilikutana na bonge la tangazo marufuku kwa wasiokuwa wanandoa kulala pamoja. Ukienda na mwanamke sharti uwe na cheti cha ndoa. Niligeuza kutafuta sehemu nyingine, kwa baridi ile sikutaka take chances za kulala mwenyewe.

Cha ajabu nilikuja gundua kuwa ile lodge ilikuwa maarufu kwa mashoga maana hawahoji wanaume kulala pamoja lakini wana tatizo na mwanamke na mwanaume.

Iringa huko huko tulikuja gongewa na mapolisi. Wanatafuta wahamiaji haramu, nilikuwa na mwenyeji wangu tuliokutana usiku huo huo tu. Kuhofia wizi begi langu lenye vitambulisho vyote nilimpa mwenzangu ambae alilala lodge nyingine.

Na rangi yangu si rafiki sana kuepusha shaka ya uraia wangu (kwa mujibu wa mapolisi)mbaya zaidi moja ya mapolisi alikuwa anamjua yule dada na shughuli zake.

Polisi kuniuliza jina la mwenzangu nikabwatuka tu Mary na demu akajibu jina lingine muda huo huo (Hata jina lake nilikuwa silijui).

Siku hiyo niliamini mizimu ipo. Nilipoulizwa jina langu nilitaja jina la ukoo, ghafla mkuu wa wale polisi akakurupuka kuwa anamjua mzee wangu (mzee nishazika miaka mingi iliyopita) alijichanganya tu, na hiyo ndio ikawa pona yangu.

Sumbawanga vijijini nililala lodge usiku mzima kulikuwa na kelele za mapaka hasa ukizima taa. Nilikesha mpaka panapambazuka.

Mwanza nilikutana na demu sehemu niliyoenda kula. Walikuwa wanapiga mziki. Tukaimbishana hivyo hivyo kwenye kelele na kuondoka wote. Kufika lodge kumbe demu kiziwi na kidogo mtambo. Alikuwa anaongea kwa nguvu balaa.

Tena topic za ajabu kama vile utanifanya mara ngapi, utanioa, mbona mbupu zako ndefu, hii ikiwa ni saa 7 za usiku tena kwa kelele. Ilibidi saa 11 asubuhi ninyate nikimbie fedheha toka kwa wa vyumba vya jirani waliosikia, kufika mapokezi jamaa ananicheka mpaka kuanguka kumbe alikuwa akisikia ile mikelele.

Stori za lodge zipo nyingi mno nilizokutana nazo. Nimechoka kuandika.
Nimechrka saana hiyo case ya mwanza..sikuwa kwenye mood nzuri leo ila kicheko kimekuja automatically
 
Back
Top Bottom