Mikasa/vituko vya lodge

Mikasa/vituko vya lodge

Kigogo Dar.
Enzi zile Niko bandari, tulikua tunakunywa maeneo ya Kigogo. Huku nje bar ndani gesti, katika hiyo team alikuwako Dem mmoja, utani utani jamaa mmoja muendesha fok lift akamtongoza yule Dem, Mara wakachukuana Hadi gesti, yule Dem alipotoka kunyanduliwa aliondoka moja kwa moja Ila mshkaji alirudi kwenye kikao. Dakika tano nyingi mhudumu wa gesti kaja anamtaka jamaa yetu aliyetoka gesti akasafishe chumba na kufua mashuka.
Jamaa naye hakua mbishi maana tabia yake ya kupenda barabara za vumbi inafahamika.
Hahaha

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
 
Kama kuna mtu anapata safari ya Ruangwa Mjini kuna hotel inaitwa Green View vyumba 25k(fan) na 30k(ac) hii hotel ipo vizuri saaaana kwenye usafi changamoto ni kubalance maji ya moto na baridi labda na vile Visabuni vya Eva basi lakini kuhusu usafi nawapa kongole, Nimelala apo mwaka jana na mwaka huu pia.
 
Wasalaam!

Kwenye haratakati za hapa na pale nilishawahi kukutana na Mikasa kadhaa ya lodge/gest nilizowahi kulala !

1. Dar es Salaam
Nilienda lodge moja nzuri tu yenye hadhi, kufika reception mhudumu akanipatia chumba, nikasain na kulipa! Nikakumbuka sina Kinga nikarudi kuuliza Kama wanauza, kalikuwa kadada hivi, yaani kalishangaa vile kama nimeulizia kitu Cha ajabu Sana, akasema hana nikarudi room, nikampigia mgeni wangu aje Nazo! Ajabu pale room ukutani kulikuwa na Sheria zao, mojawapo inasema mteja haruhusiwi kuingia au kutumia kilevi akiwa mle, mimi nilikuwa na take away zangu nimeingia Nazo, kwa jeuri nilivyoondoka niliziacha chupa! Mpaka leo najiuliza ile ni lodge au hostel? Mmiliki ni mchungaji? Yule mhudumu alikuwa mtawa? Ajabu Sana !

2. Mahenge- Ulanga
Miaka fulani kabla daraja la kilombero halijatengenezwa , nilipata safari ya huko , nilifika usiku Sana, (enzi za Moro best/alsaedy, now sijui ni bus gani zinaenda huko), nikapanda boda inipeleke lodge/Gest, tulienda sehemu Kama mbili nafasi zimejaa, tunapata moja, Bei ilikuwa 5000, dah kitanda Kama kaburi, Yani Ni zege limetengenezwa godoro linawekwa juu unaambiwa karibu ! Nilikaa Kama siku 4, asubuhi nilihama kutafuta lodge nyingine !

3. Babati
Nilikuwa nasafiri, nikafika jion, sikuwa na uharaka wa kuunga safari, nikaona nipumzike na kuyasoma mazingira, lodge moja hivi nilishukia, Yule mhudumu wakati ananisainisha, nikamtania kidogo! Nikaenda room, nikaoga nikatoka kwenda kula na kupata kinywaji , wakati narudi kulala yule mhudumu wakati ananipa funguo, naona anacheka cheka, ! Aft 4/3 mins akaja kugonga anauliza mbona Niko alone? Nikihitaji kampani nimuambie , nikajibu sawa! Dem akijirahisisha Sana napoteza mzuka!

4. Shinyanga
Muda mwingine shughuli zangu zinanilazimu kusafiri safiri hasa wilayani anghalabu, siku nimefika usiku kwa uchovu wa safari nikatafuta sehemu ya kupumzika, napewa room, nakuta ndoo mbili za zimejaa maji na kopo! Aloo, nakumbuka sikuoga, asbh nilinawa uso kwa maji nilokuwa nayo ya kunywa, nikaondoka zangu!

Visa Ni vingi, nilishawahi kuibiwa bag Lina doc kadhaa, Ni ile unafika unalipa siku kadhaa, then unavyotoka asbh unamuachia mhudumu funguo ili afanye usafi, narudi nimeibiwa baadhi ya vitu, mhudumu ooh Kama uliingiza mwanamke akakuibia na kweli sikua nimeingiza mwanamke, nilileta shida, hadi boss wake akaja, ananitisha ananipeleka police, Mara nasumbua wateja, nikamwambia tangulia nikukute huko, nakuapia hii nyumba utaigeuza Banda la kuku, mikwara kibao, akaanza kushuka, tukayajenga kiume, nikatumiwa doc nyingine nikaenda kuziprint.
Sinto sahau nlipataga dem tandika Lodge tulio enda sasa ...kunguni kama wote nakwambia mzuka ulikata
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aisee, nimefikia lodge moja hapa bukoba naona wemeniwekea kitambaa cha lether cheusi chini ya shuka, huu ni uchawi ni nn.

Nimeona nilale zangu chini tu sitaki ushirikina mm
 
Hahaa kuna baadhi ya wateja wanakuja na wenzi wao purukushani ni nyingi na ustaarabu tunatofautiana. Nimehisi kitu kama hicho huenda ikawa ndio sababu.
Ok, sasa nimekuelewa.! Kwa hiyo basi ngoja nitoe Mpira wao nipande kitandan nilale zangu.

Basi wahaya kwa maji ni exceptional au ni mbinu tu za purukushani ndo zinasababisha maji mengi???
 
Mi nlichukua room Gest kwa ajili ya mgegedo na Dem wangu. Ile tumeingia kuanza mgegedo.

Kama dk 10 za mwanzo, tukaanza kusikia kilele kwenye makorido. Mara wagonge kwenye mlango wetu.

Mara tusikie "Bwana Yesu asifiwe". Kumbe Gest ilikodiwa na wanakwaya, walikuja kwenye Xmas.

Mzuka wote ulikata, sikuweza kuendelea. Nilishuka, mgegedo ukaishia hapo.

Yule demu alinimaindi mno eti tuendelee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji28]
 
Nilikuwa na hamu sana na papuchi nilipofika tu nikavua nguo sasa napiga simu demu wangu yuko mbali sana nikasema ngoja nijilaze kitandani usingizi ukanipitia. Kuja kushtuka nakuta niko uchi bado na mlango uko wazi kumbe sikulock aisee.

Nawazaga tu hivi hakuna aliyenipiga picha kweli, siku nikikuta picha zangu huko mtandaoni nimelele huku dudu limesimama sitoshangaa [emoji51]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Dodoma ilikuwa kipindi cha kuanza bunge baada ya uchaguzi, lodge mji mzima zimejaa.

Nilikuja pata lodge saa 6 usiku kuingia bafuni nakuta kimba linaelea, shuka zina unyevu nyevu, kumuuliza muhudumu anadai chumba kimetoka kusafishwa, baada ya vurumai nilirudishiwa pesa yangu. Niliishia kulala kwenye gari mpaka kunapambazuka.

Iringa nilikutana na bonge la tangazo marufuku kwa wasiokuwa wanandoa kulala pamoja. Ukienda na mwanamke sharti uwe na cheti cha ndoa. Niligeuza kutafuta sehemu nyingine, kwa baridi ile sikutaka take chances za kulala mwenyewe.

Cha ajabu nilikuja gundua kuwa ile lodge ilikuwa maarufu kwa mashoga maana hawahoji wanaume kulala pamoja lakini wana tatizo na mwanamke na mwanaume.

Iringa huko huko tulikuja gongewa na mapolisi. Wanatafuta wahamiaji haramu, nilikuwa na mwenyeji wangu tuliokutana usiku huo huo tu. Kuhofia wizi begi langu lenye vitambulisho vyote nilimpa mwenzangu ambae alilala lodge nyingine.

Na rangi yangu si rafiki sana kuepusha shaka ya uraia wangu (kwa mujibu wa mapolisi)mbaya zaidi moja ya mapolisi alikuwa anamjua yule dada na shughuli zake.

Polisi kuniuliza jina la mwenzangu nikabwatuka tu Mary na demu akajibu jina lingine muda huo huo (Hata jina lake nilikuwa silijui).

Siku hiyo niliamini mizimu ipo. Nilipoulizwa jina langu nilitaja jina la ukoo, ghafla mkuu wa wale polisi akakurupuka kuwa anamjua mzee wangu (mzee nishazika miaka mingi iliyopita) alijichanganya tu, na hiyo ndio ikawa pona yangu.

Sumbawanga vijijini nililala lodge usiku mzima kulikuwa na kelele za mapaka hasa ukizima taa. Nilikesha mpaka panapambazuka.

Mwanza nilikutana na demu sehemu niliyoenda kula. Walikuwa wanapiga mziki. Tukaimbishana hivyo hivyo kwenye kelele na kuondoka wote. Kufika lodge kumbe demu kiziwi na kidogo mtambo. Alikuwa anaongea kwa nguvu balaa.

Tena topic za ajabu kama vile utanifanya mara ngapi, utanioa, mbona mbupu zako ndefu, hii ikiwa ni saa 7 za usiku tena kwa kelele. Ilibidi saa 11 asubuhi ninyate nikimbie fedheha toka kwa wa vyumba vya jirani waliosikia, kufika mapokezi jamaa ananicheka mpaka kuanguka kumbe alikuwa akisikia ile mikelele.

Stori za lodge zipo nyingi mno nilizokutana nazo. Nimechoka kuandika.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji174]
 
Mnakumbuka enzi zile guest vyoo na bafu viko uani. Vyumba huku na huku katikati korido.
Basi niliingia guest ya hivyo na Malaya, nikapiga mzigo baadae nikaenda toilet uani. Kurudi nikasahau chumba na kuingia kwenye chumba kulikua na mwanamke Yuko uchi kitandani, kumbe naye bwanake ameenda uani. Taa ilikua imezimwa Ila unaona kwamba Kuna mtu kitandani. Kufunga na kufumbua Ile njemba yenye chumba ikarudi na kunikuta nimevaa taulo tu.
Jamaa aliamini nilienda kumfanya demu wake.
Aroo. Mpaka kuja kumaliza Hilo Soo Ni pale Malaya wangu aliposikia zogo na kuja kunitetea.
[emoji1787][emoji1787][emoji28]
 
Nafika Dar usiku mida ya saa 5 mbezi stend ya magufuli. nachukua boda anipeleke lodge isiwe mbali sana. ananipeleka lodge (sikumbuki vzuri nadhani ni hotel) iko upande wa juu wa round about ya kwenda Goba. Jina naliweka kapuni ila wazoefu mtakuwa mmeshapata. Kesho yake ndo nakuja kuambiwa kuwa madereva wengi wa mabasi hufikia hapo. Kosa moja ya hiyo hotel ni kwamba juu ya mlango wameweka wavu badala ya vioo. huo ndo ujinga wa karne na sitakaa nije kulala hapo. nikachukua rum juu ghorofani kwa bei ya 20k. sema kuna vingine vya 30k. Ille nimeingia room, nikawa nasikia kuna mdada anaongea na sim kwa bashasha sana chumba cha opposite na mimi. Kwa mujibu wa maongezi yao alikuwa anaongea na shosti yake tu. Kumbe muda huo jamaa alikuwa bado hajafika. Mida kama ya saa 6 usiku ndo jamaa anafika. shughuli ilianza kila kinachoendelea nakisikia.

Niliteseka sana usiku ule yule binti ni mdogo umri wake kwa makadirio kati ya miaka 18 na 22 hivi, kamodo kweli (nilikuja kumuona kesho yake). Yule jamaa nadhani atakuwa alipaka vumbi la kongo aisee. siyo kwa makelele yale shughuli kama masaa mawili hivi walikuja kutulia saa 8 usiku. mtoto alilia mayowe yote unayoyajua, na matusi yote unayoyajua duniani, alafu jamaa alizibua na mtaroni pia. alafu jamaa akiongea ni ile kumtukana mwanamke na kumkejeli tuu. mwanamke yeye ndo kila kitu anaongea, kila hatua wanayofanya anaropoka. alafu wakibadili style mwanamke anatamka kabisa. mara anasema baba Jane utaniua sasa, baba Jane taratibu. Hapo jamaa ndo anaongeza kasi. Uvumilivu ulinishinda ikabidi nijihudumie kwa usiku ule sikuwa na namna japo nilijutia sana kumasturbate ukizingatia nilikuwa sijapata huduma muda mrefu kiasi.

Asubuhi waliamsha popo saa 10 alfaji hadi 11 wakalala. Saa 3 wakaenda kunywa supu sasa wakati wanarudi ndo tunakutana nao kwenye korido wanarudi. Walipoingia wakaamsha tena popo jamani yale ni mateso. Muda huu ndo jamaa alipiga sana mtaroni maana mwanamke alivyokuwa anaropoka. hadi akawa anaita mama yake, oooh mama nakufa mama yangu popote ulipo nisamehe sitarudia. Baba Jane unanifira ooo nakufa mama.. Aisee nikaona huu ujinga na inaonakena hawana dalili ya kutoka nilitoka saa 4 kwenda kutafuta lodge nyingine.
Mkuu uliamua kujichukulia sheria mkononi sio?
 
Wanaogopa katerero isiloweshe godoro. Wanawake wa huko wanamwaga maji lita nzima shehe!!
Imebidi nimfuate mhudumu asbh hii nikamuuliza akabaki anacheka tu.

Ninapoondok nikamuohoji dereva boda akacheka then akanielekeza hbr za katerero.

Kwa asili wanawake wa bukoba pia wana maji changanya na katerr ndo hivo tena.

Sasa nina amani, ngoja nikapande zangu bus niende Omulushaka then Isingilo baada ya hapo niingie Mulongo.
 
Back
Top Bottom