Kigogo Dar.
Enzi zile Niko bandari, tulikua tunakunywa maeneo ya Kigogo. Huku nje bar ndani gesti, katika hiyo team alikuwako Dem mmoja, utani utani jamaa mmoja muendesha fok lift akamtongoza yule Dem, Mara wakachukuana Hadi gesti, yule Dem alipotoka kunyanduliwa aliondoka moja kwa moja Ila mshkaji alirudi kwenye kikao. Dakika tano nyingi mhudumu wa gesti kaja anamtaka jamaa yetu aliyetoka gesti akasafishe chumba na kufua mashuka.
Jamaa naye hakua mbishi maana tabia yake ya kupenda barabara za vumbi inafahamika.