Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rafiki nakutania tu kwa sababu ni half cast!Nimekuwa dada ashura tene,sina roho ile
Sawa mzee wa churaRafiki nakutania tu kwa sababu ni half cast!
Ndio inavyoonekana, naona walikuwa wanaleta watu wa upande wa gizani tu i.e. Waganga.kwahiyo hamkukumbuka kama hata kuna mungu
Bahati mbaya fahamu zao zilikuwa zimefungwa.Biblia ingewaweka huru ndani ya dakika moja. Kumbuka Ashura alishatoa angalizo kwamba hataki mtu anayesali.
Majina huumba tuangalie sana majina tunayojipaWewe naona unataya yale ya @chizimaafira akatishe story sababu ya jukwaa
Ulimuuliza mleta mada kama Dada Ashura alikua ana Chura?Nimemmiss Da Ashura!Nakumbuka vile ameondoka na mganga uchwara kwenda kumpa kibano!😁😁😁
Chura ya Da Ashura ni ya kukimbia kama ukoma!😆😆😆Ulimuuliza mleta mada kama Dada Ashura alikua ana Chura?