Mikasa ya ajabu niliyoishuhudia kwa macho yangu

Leo wakati natoka Arusha naelekea moshi kuna eneo kuna daraja afu ni bondeni nime kuta ajari abiria wa kwenye haic wame kufa wotee..ina semekana apo ajari za kuuwa watu wengi ni kawaida sana kila mwaka afu zina husisha magari matatu
 
Leo wakati natoka Arusha naelekea moshi kuna eneo kuna daraja afu ni bondeni nime kuta ajari abiria wa kwenye haic wame kufa wotee..ina semekana apo ajari za kuuwa watu wengi ni kawaida sana kila mwaka afu zina husisha magari matatu
watu wanaongeza utajiri
 
Haya telegram mmeshindwa
Kisa hiko hapo youtube ingia kwenye channel ya davista mata media.


Lwanda magere anaendelea kushusha vitu huko youtube
 
Mkuu za masiku? Ushakua bilionea Mkuu naona kwenye avatar umetupia ndinga lako hongera Mkuu. Vp ule utajir ulifanikiwa? Tupe mrejesho Mkuu?
 
Watu uliowakuta huko chini ya bahari walikua waafrika au walikua na rangi ya kizungu?
 
Dah, braza mimi sio kwamba nashindwa kulipa hyo buku. Ila tatzo nikishaipakua hyo app ya telegram lazma nianze kutafta link za magroup ya malaya na mim ctaki kurudi tena huko. Yani hyo app ctak kuiona kabisa kwny cmu yangu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…