Mikasa ya ajabu niliyoishuhudia kwa macho yangu

Huyu aliyelipa buku.telegram..

Akiileta hapa..wadau wanampa za bando .

...
Jf imeingiliwa na mijitu ya hovyo hovyo mno.... ....

Ndio maana hata wataalam na wenye hekma wapo kimya ...sio kama zamani...
 
Mnaotaka muungwe telegram tumeni 1000 namba hii

0656 625 448

Tigo
 
Nimesoma tangu juzi na nimemaliza zote leo.
Kisa kinafikirisha.
 
Nimeipenda sana hiyo barua ya rufaa!😁😁😁
'Protokali' za kiganga amezingatia 'Bibi'.
 
Kumbuka jamaa hana mishe hapa town kwahiyo hiki kidogo anachopata kwenye story kinasukuma siku.
Shida ya wafrika wengi wanapenda vya bure sana. Sijui kwanini.
Mtu anataka kusoma story yote ya mtunzi bure tena anahimiza mtoa uzi andike yote bila hata kujiuuliza huyu mtu anatumia bando na muda wake. Huyu jamaa nimempenda sana. Watu wanatakiwa waishi hivyo, tutapiga hatua sana ya kimaendeleo
Nitairudia tena
 
Hivi hii story iliisha?
 
Hatari sana, #LwandaMagere umepitia mengi sana [emoji848]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…