Usirudi tu na kisa cha pederi nakuunga mkono..ila this time utuletee utamu na uchungu wote.. tafadhali.Wakuu nawaomba vumilieni tu maana sitaweza kurudi kwenye kisa cha pederi maana watu walitaka stori iishe na mimi sikuwa na namna nimeona niimalizie,Pia nimejifunza kwa komenti zenu za kunitia moyo!,Nawaahidi ya kwamba kisa kinachofuata ntahakikisha nayasimulia yale yote ntakayo yakumbuka na sita Acha kitu chochote!
Kabisa. Yaan imeisha kwa kupoa sana. Inabidi raia tuqe wavumilivu kufuatilia mwanzo mwisho bila kuomba kufupisha.Stori ikifupishwa haiwi tamu![emoji30][emoji30][emoji30]
Aaaaaah watu wasio wavumilivu wametukosesha mimi jana nililala nawaza juu ya kisa cha pedal, ila inabidi nizoee inauma.Wakuu nawaomba vumilieni tu maana sitaweza kurudi kwenye kisa cha pederi maana watu walitaka stori iishe na mimi sikuwa na namna nimeona niimalizie,Pia nimejifunza kwa komenti zenu za kunitia moyo!,Nawaahidi ya kwamba kisa kinachofuata ntahakikisha nayasimulia yale yote ntakayo yakumbuka na sita Acha kitu chochote!
Si mmetaka wenyeweStori ikifupishwa haiwi tamu!π©π©π©
Ameshasema mapema yeye sio mtunzi wala sio storyteller so hii ni ukweli umemtokea yeye na hii tunayokula hapa ni materials raw tuwe na shukrani hatumlipiKwa kweli hii baskel angeitoa kabisa yan angeikata
Mafurushi na maandazi... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi nataka kujua issue ya baiskeli ya mshkaji iliishia wapi.??
Halafu tafadhali acha kuwasikiliza baadhi ya hawa maandazi wa humu, ona kipande cha mwisho kilivyo hakina ladha kama chips zilizolala kisa tu kufupisha story,
LwandaMagere wewe tuwekee details zote ikiwezekana hata ratiba za msosi wa week nzima, tunaotaka tutasoma wasotaka waende jukwaa la siasa, hatuwezi kosa utamu kisa mafurushi machache..!!
Jamaa ayapuuze hayo majinga plusSi ndiyo hapo yanajifanya yanaponda na bado yanasoma..mfyuuu
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] umetisha sana, kweli haya mafurushi yanazingua wengine hatunywi bia hapa ndio pa kupumzikia baada ya kazi za kuusake mkate wetuMimi nataka kujua issue ya baiskeli ya mshkaji iliishia wapi.??
Halafu tafadhali acha kuwasikiliza baadhi ya hawa maandazi wa humu, ona kipande cha mwisho kilivyo hakina ladha kama chips zilizolala kisa tu kufupisha story,
LwandaMagere wewe tuwekee details zote ikiwezekana hata ratiba za msosi wa week nzima, tunaotaka tutasoma wasotaka waende jukwaa la siasa, hatuwezi kosa utamu kisa mafurushi machache..!!
Mkuu Bike ile pedel si ilirudi? Naona hapo so liliishaOya mwanangu mm nimekaa na kukulia tarime, maeneo yote hayo hadi sirari na movie za sh 50 au 100 asubuhi hadi jioni nazipata. Hakuna kamba hata moja uliyotupiga.
Ila mkuu naomba tu kwa ufupi mlimalozananje na tall mtundi kwenye issue ya bike?
Alafu Don na wenzio...ohooo
Wakuu kuna kazi naifanya hapa homu na nkimaliza nadhani usiku huu ntaanza kusimulia kisa cha pili kama nilivyoeleza hapo awali,ni kisa kirefu kidogo hivyo muwe na subra!!
Yani haina shida boss....nishavuta kiti hapa nakula tu popcorn taratibuuuuWakuu kuna kazi naifanya hapa homu na nkimaliza nadhani usiku huu ntaanza kusimulia kisa cha pili kama nilivyoeleza hapo awali,ni kisa kirefu kidogo hivyo muwe na subra!!
πππππππWewe leta story, sisi subra hatuna.
Wewe ndiyo uwe mvumilivu kwa maneno yetu.