Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Nafanya mipango ya kukutoa kafara!Dunia ina mengi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nafanya mipango ya kukutoa kafara!Dunia ina mengi
Angalia usije toka weweNafanya mipango ya kukutoa kafara!
Angalia sana utarogwaOpportunity mkuu, idea ni mali.
Wenzetu wakiwa na idea unakuta wanaiuza na wanakuwa na royalty ya kueleweka, hii kitu ingeweza kuuza kama jamaa akiamua.
Mwisho wa siku tulioko humu tutakitafuta hicho kitabu kama kweli story tumeipenda.
Akikujibu nitagMkuu huko chini ya ziwa yule mungu bonge na malkia wake ni watu wa asili gani? weupe au waswahili??
Tatizo wanakupa wewe utajiri halafu wao wanaendelea kuwa maskini ila jambo la kujiuliza mbona wao hawataki utajiri huo jibu ni dogo utajiri huo haufaiWqaganga wa kienyeji kumbe wanaconnection hivyo.
wee nawe ndio maana una kalio jeusi keep quiet!! shubaamitiKijana ume kuja kutoa siri zetu humu...tuta kupata tu
Kwakweli utajiri wa hivyo ni kujitesa, kumkosea Mungu aliehai pia kuishi maisha yasio na amani.Tatizo wanakupa wewe utajiri halafu wao wanaendelea kuwa maskini ila jambo la kujiuliza mbona wao hawataki utajiri huo jibu ni dogo utajiri huo haufai
si kila kitu kukifanya mtaji ndugu yangu, mengine yanapaswa kuwa majitoleo tu kwa faida ya wengine.Kula hela hiyo wewe, wanaotaka story watanunua kitabu.
Halafu kwa taarifa yako utashangaa watu wataitengenezea kitabu wapige hela kwa kuchukua humu na usiambulie kitu.
si kila kitu kukifanya mtaji ndugu yangu, mengine yanapaswa kuwa majitoleo tu kwa faida ya wengine.
KabisaKwa uzi huu mkuu kitoabu akasome
99% ushirirkinaNa mm nadhani ginimbi hakufa bahati mbaya
Mkuu icho kiharage MKONONI ulikitoa au kipo badoWakuu habarini za mida
Kuna watu wananifata inbox wanataka niwaambie namna ya kufikia kama mimi nilivyokuwa na wanaenda mbali sana wanasema wamechoka na maisha ya umasikini!
Labda tu niwaambie kwamba ni heri kufa masikini kuliko kuwa tajiri wa mali za kishirikina!,Maskini wanamaisha ya raha sana na kuwa na amani japo kwa akili ya kawaida unaweza kudhani wao ndo wanaopata taabu!
Muogopeni sana Ibilisi,hafai hata kwa sekunde moja!
Nilipompokea Yesu japo kuna wakati nalala na njaa lakini nimesharizika kuliko ambavyo nilikuwa kwa Ibilisi.
Hivyo niwaombe sana vijana muacheni tamaa za muda mfupi!
............................................................
Leo kwa muda kadhaa nitakaribisha maswali kabla ya kuendelea na niliyo yafanya nikiwa huku duniani!
Karibuni!
Kuna mijitu haielewi somo..wafuate maelekezo uliyoandika waende wasikuchoshe.Wakuu habarini za mida
Kuna watu wananifata inbox wanataka niwaambie namna ya kufikia kama mimi nilivyokuwa na wanaenda mbali sana wanasema wamechoka na maisha ya umasikini!
Labda tu niwaambie kwamba ni heri kufa masikini kuliko kuwa tajiri wa mali za kishirikina!,Maskini wanamaisha ya raha sana na kuwa na amani japo kwa akili ya kawaida unaweza kudhani wao ndo wanaopata taabu!
Muogopeni sana Ibilisi,hafai hata kwa sekunde moja!
Nilipompokea Yesu japo kuna wakati nalala na njaa lakini nimesharizika kuliko ambavyo nilikuwa kwa Ibilisi.
Hivyo niwaombe sana vijana muacheni tamaa za muda mfupi!
............................................................
Leo kwa muda kadhaa nitakaribisha maswali kabla ya kuendelea na niliyo yafanya nikiwa huku duniani!
Karibuni!
Mkuu, hiv akati unakwenda kutafuta utajiri huo ulishawah kupata taarifa kua hua kuna mashart magumu??? Au ndo ulienda bila idea yoyote??Wakuu habarini za mida
Kuna watu wananifata inbox wanataka niwaambie namna ya kufikia kama mimi nilivyokuwa na wanaenda mbali sana wanasema wamechoka na maisha ya umasikini!
Labda tu niwaambie kwamba ni heri kufa masikini kuliko kuwa tajiri wa mali za kishirikina!,Maskini wanamaisha ya raha sana na kuwa na amani japo kwa akili ya kawaida unaweza kudhani wao ndo wanaopata taabu!
Muogopeni sana Ibilisi,hafai hata kwa sekunde moja!
Nilipompokea Yesu japo kuna wakati nalala na njaa lakini nimesharizika kuliko ambavyo nilikuwa kwa Ibilisi.
Hivyo niwaombe sana vijana muacheni tamaa za muda mfupi!
............................................................
Leo kwa muda kadhaa nitakaribisha maswali kabla ya kuendelea na niliyo yafanya nikiwa huku duniani!
Karibuni!
Hivi watu hawakomi tu, badala hata wakuulize nn kilikusibu hadi ukahasi ushetani, wao wanataka kuelekezwa tena! Hahahahahaa wabongo ni konyooo![emoji119][emoji119]Wakuu habarini za mida
Kuna watu wananifata inbox wanataka niwaambie namna ya kufikia kama mimi nilivyokuwa na wanaenda mbali sana wanasema wamechoka na maisha ya umasikini!
Labda tu niwaambie kwamba ni heri kufa masikini kuliko kuwa tajiri wa mali za kishirikina!,Maskini wanamaisha ya raha sana na kuwa na amani japo kwa akili ya kawaida unaweza kudhani wao ndo wanaopata taabu!
Muogopeni sana Ibilisi,hafai hata kwa sekunde moja!
Nilipompokea Yesu japo kuna wakati nalala na njaa lakini nimesharizika kuliko ambavyo nilikuwa kwa Ibilisi.
Hivyo niwaombe sana vijana muacheni tamaa za muda mfupi!
............................................................
Leo kwa muda kadhaa nitakaribisha maswali kabla ya kuendelea na niliyo yafanya nikiwa huku duniani!
Karibuni!
ㄷㄴㅅㅈㄷㅎㄱㄹᆞㅣㅁ캬ㅡㅁ ㅕㄹㄷㄷ