Mikasa ya ajabu niliyoishuhudia kwa macho yangu

Mikasa ya ajabu niliyoishuhudia kwa macho yangu

𝓓𝓾𝓶𝓲𝓪 𝓷𝓲 𝔃𝓪𝓲𝓭 𝔂𝓪 𝓽𝓾𝓷𝓪𝓿𝓸 𝓲𝓳𝓾𝓪
 
Oi huy malikia alikuwa ameonya k.
Au kam Ilithyia wa kweny Spartacus kimuonekano.
 
Wakuu habarini za mida

Kuna watu wananifata inbox wanataka niwaambie namna ya kufikia kama mimi nilivyokuwa na wanaenda mbali sana wanasema wamechoka na maisha ya umasikini!

Labda tu niwaambie kwamba ni heri kufa masikini kuliko kuwa tajiri wa mali za kishirikina!,Maskini wanamaisha ya raha sana na kuwa na amani japo kwa akili ya kawaida unaweza kudhani wao ndo wanaopata taabu!

Muogopeni sana Ibilisi,hafai hata kwa sekunde moja!

Nilipompokea Yesu japo kuna wakati nalala na njaa lakini nimesharizika kuliko ambavyo nilikuwa kwa Ibilisi.
Hivyo niwaombe sana vijana muacheni tamaa za muda mfupi!

............................................................


Leo kwa muda kadhaa nitakaribisha maswali kabla ya kuendelea na niliyo yafanya nikiwa huku duniani!

Karibuni!
Mkuu icho kiharage MKONONI ulikitoa au kipo bado
 
Wakuu habarini za mida

Kuna watu wananifata inbox wanataka niwaambie namna ya kufikia kama mimi nilivyokuwa na wanaenda mbali sana wanasema wamechoka na maisha ya umasikini!

Labda tu niwaambie kwamba ni heri kufa masikini kuliko kuwa tajiri wa mali za kishirikina!,Maskini wanamaisha ya raha sana na kuwa na amani japo kwa akili ya kawaida unaweza kudhani wao ndo wanaopata taabu!

Muogopeni sana Ibilisi,hafai hata kwa sekunde moja!

Nilipompokea Yesu japo kuna wakati nalala na njaa lakini nimesharizika kuliko ambavyo nilikuwa kwa Ibilisi.
Hivyo niwaombe sana vijana muacheni tamaa za muda mfupi!

............................................................


Leo kwa muda kadhaa nitakaribisha maswali kabla ya kuendelea na niliyo yafanya nikiwa huku duniani!

Karibuni!
Kuna mijitu haielewi somo..wafuate maelekezo uliyoandika waende wasikuchoshe.

Nife tu masikini jamani
 
Wakuu habarini za mida

Kuna watu wananifata inbox wanataka niwaambie namna ya kufikia kama mimi nilivyokuwa na wanaenda mbali sana wanasema wamechoka na maisha ya umasikini!

Labda tu niwaambie kwamba ni heri kufa masikini kuliko kuwa tajiri wa mali za kishirikina!,Maskini wanamaisha ya raha sana na kuwa na amani japo kwa akili ya kawaida unaweza kudhani wao ndo wanaopata taabu!

Muogopeni sana Ibilisi,hafai hata kwa sekunde moja!

Nilipompokea Yesu japo kuna wakati nalala na njaa lakini nimesharizika kuliko ambavyo nilikuwa kwa Ibilisi.
Hivyo niwaombe sana vijana muacheni tamaa za muda mfupi!

............................................................


Leo kwa muda kadhaa nitakaribisha maswali kabla ya kuendelea na niliyo yafanya nikiwa huku duniani!

Karibuni!
Mkuu, hiv akati unakwenda kutafuta utajiri huo ulishawah kupata taarifa kua hua kuna mashart magumu??? Au ndo ulienda bila idea yoyote??
 
Wakuu habarini za mida

Kuna watu wananifata inbox wanataka niwaambie namna ya kufikia kama mimi nilivyokuwa na wanaenda mbali sana wanasema wamechoka na maisha ya umasikini!

Labda tu niwaambie kwamba ni heri kufa masikini kuliko kuwa tajiri wa mali za kishirikina!,Maskini wanamaisha ya raha sana na kuwa na amani japo kwa akili ya kawaida unaweza kudhani wao ndo wanaopata taabu!

Muogopeni sana Ibilisi,hafai hata kwa sekunde moja!

Nilipompokea Yesu japo kuna wakati nalala na njaa lakini nimesharizika kuliko ambavyo nilikuwa kwa Ibilisi.
Hivyo niwaombe sana vijana muacheni tamaa za muda mfupi!

............................................................


Leo kwa muda kadhaa nitakaribisha maswali kabla ya kuendelea na niliyo yafanya nikiwa huku duniani!

Karibuni!
Hivi watu hawakomi tu, badala hata wakuulize nn kilikusibu hadi ukahasi ushetani, wao wanataka kuelekezwa tena! Hahahahahaa wabongo ni konyooo![emoji119][emoji119]
 
Back
Top Bottom