Mikasa ya ajabu niliyoishuhudia kwa macho yangu

Mkuu maswali tutakuuliza utakapo maliza story, we endelea kushusha episode tu
 
Tuendelee kula ugali chumvi mixer mchuzi wa limao,
hii ni zaidi ya darasa kwangu
 
Ingependeza maswali na majibu yawe mwisho wa story. Kuna utamu utakatwa ukianza maswali na majibu katikati ya simulizi. Shusha nondo maswali mwishoni kabsa.
 
Block pm yako watu wasikupate
Kuna watu watakufuata huko Kama watu wema lakini huwezi jua Wana malengo gani
Kumbuka hapo umeelezea ulipewa unga kumbe ulikuwa mifupa ya albino

Ndugu unaweza kujikuta matatani

Pia ujue Kuna Siri unazitoa Sasa kwa watu ambao Bado wanamtumikia shetani hawapendi Siri zao zitolewe hvyo wanaweza kukutafuta kwa malengo mabaya kuwa makini sana

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Kama kuna ka ukwel hivi
 
koneksheni ya Matiku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…