IBRA wa PILI
JF-Expert Member
- Oct 12, 2017
- 1,503
- 2,426
UPO SAHIHI KABISA.
MKUU NAOMBA UNIFANYIE MPANGO COPY YA HICHO KITABU MAANA NIMEKITAFUTA MWAKA WA PILI HUU!!
Au nicheki maana sitoingia tena humu 0758033405 wasapWeka namba yako ya wasap ila ntakupa namba ya zabron yeye ndio akutumie mim nikifowad kwako kule anaona atajua nimekuuzia so italeta shida mana mi nilinunua yeye ndio mwenye haki ya kulusha kwa MTU kwaiyo mta elewana
Weka namba yako ya wasap ila ntakupa namba ya zabron yeye ndio akutumie mim nikifowad kwako kule anaona atajua nimekuuzia so italeta shida mana mi nilinunua yeye ndio mwenye haki ya kulusha kwa MTU kwaiy
Au nicheki maana sitoingia saiz humu 0758033405 wasap zed BUPO SAHIHI KABISA.
MKUU NAOMBA UNIFANYIE MPANGO COPY YA HICHO KITABU MAANA NIMEKITAFUTA MWAKA WA PILI HUU!!
Ha ha ha we acha tu mkubwa[emoji38][emoji38][emoji38]alost mbaya sana
Mkuu naomba link
MmhWanawake wana cha kujifunza hapa hakuna kitu wanaume hatukipendi kama kudharauliwa muda mwingine huwa wanakomolewa kwa dharau zao
Hutoingia tena humu!!!??Au nicheki maana sitoingia tena humu 0758033405 wasap
Niite huko basi, maana hapa napo ni mwendo qa kobe, huko youtube pia ntaenda[emoji28][emoji28][emoji28]
Unatumia mtandao gan,nkutumie vocha
Zainati anaenda kuchezea shipa la kimkakati [emoji23][emoji23][emoji23]Kama namuona Zainati wa watu
Huo Mti nadhani ndio utakuwa wanatengenezea VUMBI LA KONGOVenye naona wakaka wamejazana pm kuhusu mti wa kupiga shipa la kimkakati [emoji4]
Kwani vumbi la Kongo Kasi yake inaendana na mrume ndago alivyo uelezea huo mti?Huo Mti nadhani ndio utakuwa wanatengenezea VUMBI LA KONGO
Mrume pale naona hajafafanua kiufasaha, kama ule mti wa shipa la kimkakati nao unatumia ndumba, ila kwa jinsi nilivyomsoma hautumii ndumba ila angetueleza tu namna ya kuuchanganya ili shipa lipigwe kimkakati.Kwani vumbi la Kongo Kasi yake inaendana na mrume ndago alivyo uelezea huo mti?
Mrume ndogo ya kwake too much kwa sababu anamix na mazagazaga mengineKwani vumbi la Kongo Kasi yake inaendana na mrume ndago alivyo uelezea huo mti?
ππ Shipa lipigwe kimkakati au upige ela???πMrume pale naona hajafafanua kiufasaha, kama ule mti wa shipa la kimkakati nao unatumia ndumba, ila kwa jinsi nilivyomsoma hautumii ndumba ila angetueleza tu namna ya kuuchanganya ili shipa lipigwe kimkakati.
Mkuu achangamkie dili hili asizembeIlibidi wewe uwe muuza viagra maarufu sana hapa bongo na pengime Afrika kwa ujumla kama sio duniani, sababu dawa unaijua na unajua fika watu walivyo na uhitaji,
Ulitakiwa uwe unatoa dose ndogo tu ambayo itamfanya mtu apige show ya hatari bila kusababisha mauaji wala kuzimia na bei ungefanya rafiki tu,
Nakuhakikishia sahivi ungekuwa Don
Ooh sawaMrume ndogo ya kwake too much kwa sababu anamix na mazagazaga mengine