Mikasa ya ajabu niliyoishuhudia kwa macho yangu

Mikasa ya ajabu niliyoishuhudia kwa macho yangu

Weka namba yako ya wasap ila ntakupa namba ya zabron yeye ndio akutumie mim nikifowad kwako kule anaona atajua nimekuuzia so italeta shida mana mi nilinunua yeye ndio mwenye haki ya kulusha kwa MTU kwaiyo mta elewana
UPO SAHIHI KABISA.

MKUU NAOMBA UNIFANYIE MPANGO COPY YA HICHO KITABU MAANA NIMEKITAFUTA MWAKA WA PILI HUU!!
 
Weka namba yako ya wasap ila ntakupa namba ya zabron yeye ndio akutumie mim nikifowad kwako kule anaona atajua nimekuuzia so italeta shida mana mi nilinunua yeye ndio mwenye haki ya kulusha kwa MTU kwaiyo mta elewana
Au nicheki maana sitoingia tena humu 0758033405 wasap
 
Weka namba yako ya wasap ila ntakupa namba ya zabron yeye ndio akutumie mim nikifowad kwako kule anaona atajua nimekuuzia so italeta shida mana mi nilinunua yeye ndio mwenye haki ya kulusha kwa MTU kwaiy

UPO SAHIHI KABISA.

MKUU NAOMBA UNIFANYIE MPANGO COPY YA HICHO KITABU MAANA NIMEKITAFUTA MWAKA WA PILI HUU!!
Au nicheki maana sitoingia saiz humu 0758033405 wasap zed B
 
Niite huko basi, maana hapa napo ni mwendo qa kobe, huko youtube pia ntaenda[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Yaah ni kweli huo mti upo Tabora kwa wingi tu hasa wilaya za uyui,sikonge na urambo sie wakazi wa huko tunaujua ila ni lazima upate dawa nyingine flan ya kuchanganyia kabla ujaiweka kwenye chai au uji. Na sie kule wamama wanalijua wakaiona mzee anatumia wanaaga kwenda kwao kwa mida na vile vile sometimes wengine huwa wanaotumia kutibia uhanithi.
 
Mrume pale naona hajafafanua kiufasaha, kama ule mti wa shipa la kimkakati nao unatumia ndumba, ila kwa jinsi nilivyomsoma hautumii ndumba ila angetueleza tu namna ya kuuchanganya ili shipa lipigwe kimkakati.
😀😀 Shipa lipigwe kimkakati au upige ela???😜
 
Ilibidi wewe uwe muuza viagra maarufu sana hapa bongo na pengime Afrika kwa ujumla kama sio duniani, sababu dawa unaijua na unajua fika watu walivyo na uhitaji,
Ulitakiwa uwe unatoa dose ndogo tu ambayo itamfanya mtu apige show ya hatari bila kusababisha mauaji wala kuzimia na bei ungefanya rafiki tu,
Nakuhakikishia sahivi ungekuwa Don
Mkuu achangamkie dili hili asizembe
 
Back
Top Bottom