Mikasa ya ajabu niliyoishuhudia kwa macho yangu

Watu poooovu linawatoka
 
Kwa msiotaka kulipia hizo buku buku si basi tulizeni vyumbu na mitindi waacheni wanaoweza kulipia walipie.... Na bora mana wapingaji mlikuwa wengi mara stori tu mara sijui niki aya tulizeni mishono iyo
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna manzi inalalamika muda ote mara kitoabu mara banzuka sijui mara telegram sijui yani itakuwa imezoea kuhongwa mana inapenda vya bure buku tu inamuua na kuna baadhi ya wana nao nadhani ni pisi kali tu mwanaume huwezi lia lia kuhusu buku... kuna goma la p mawenge ft zaid linaitwa pisi kali ukilisikiliza hakika utalipa buku mwenyewe bila bughuza [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…