Khakhakha dah uyu kaua[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we fala umenifanya nicheke kinoma [emoji23][emoji23]
Kweli kabisa,kitoabu yuko poa sanaHuu hautakuwa uzi wa 1 stori kuishia njiani,
Mi ndio maana namkubali sana mkuu Kitoabu hanaga tamaa, akiamua kusimumia basi anahakikisha stori inakamilika
Nilikumiss!Kweli kabisa,kitoabu yuko poa sana
Same here dear! Niko nimeishia sijui sehemu ya tano ,ngoja niendelee na bazoka huko telegram siwez aiseeNilikumiss! Hivi upo kule kwa tajiri banzoka?
Watu poooovu linawatokaHivi elf moja ni pesa ya kutoa povu? Aisee umaskini mbaya sana
Kijana wa watu kagoma kuuza yawezekana angepewa pesa kubwa tu ila kaomba bukubuku ili angalau apata vocha na mb bado wanatoa povu
Achen ujinga na mawazo ya kimaskini ilipaswa tugome buku ndogo tumwambie apansdishe bei
Tabia za kimaskini
Mawazo ya kimaskini
Stupid
Haanzi mwanzo, sidhani kama kuna aliye mle hakuwa hapaNdio unahamia huku ,utaniambia kama ataanzia hapa maana anaweza kuanza mwanzo
[emoji23][emoji23][emoji23]Kwa msiotaka kulipia hizo buku buku si basi tulizeni vyumbu na mitindi waacheni wanaoweza kulipia walipie.... Na bora mana wapingaji mlikuwa wengi mara stori tu mara sijui niki aya tulizeni mishono iyo
Au naongopa ndugu zaaaaaanguu??[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapana uko kwenye raiti trakiAu naongopa ndugu zaaaaaanguu??[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Umenifurahisha aiseeAu naongopa ndugu zaaaaaanguu??[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Ntakuwa nakusimuliaHivyo tusio na telegram ndiyo tunatengwa na dunia..!??
Merry Christmas and Happy new yearUmenifurahisha aisee
Usifanye hivo boss utakuwa unafanya wema lakini sio sahihiHuu Uzi ili usife mie naendako huko telegram, kila episode ikitoka ntakuwa nawakopia wanangu msijali, goma litaendelea na humu pia!
Hizo za malaya umejiunga mwenyewe zipo group za dini na ujasiriamali ,Netflix n.k wewe ulipenda malaya ndo maana ukawa unajiunga hizo groupSasa app nimefuta juz mana imejaa Malaya tupu [emoji22]