Lakini rafiki kuwa Jini siyo mbaya kwa sababu jini ni msafi sana!πππPua yakoπ¬π¬
[emoji3][emoji3][emoji3]Lakini rafiki kuwa Jini siyo mbaya kwa sababu jini ni msafi sana![emoji16][emoji16][emoji16]
Dada jini[emoji3]Yani dada wa kazi ndiyo kawa muamrishaji..makubwa haya
Hiyo avatar yako inafanana na "Da Ashura"very interesting [emoji91]
naingoja kwa hamuuuuu
Akili yako mbovu ππbasi wewe ni kaka ake na jini piaLakini rafiki kuwa Jini siyo mbaya kwa sababu jini ni msafi sana!πππ
Kuanzia leo nakubatiza "Da Ashura"!π π πAkili yako mbovu ππbasi wewe ni kaka ake na jini pia
Wee unajua mi naogopa hiyo story huyo Dada alikaushwa kama samaki akuu sitaki hata hilo jina mimi, call me financial services or FinasπKuanzia leo nakubatiza "Da Ashura"!π π π
Hahaha Da Ashura kaleta mamboKuanzia leo nakubatiza "Da Ashura"![emoji28][emoji28][emoji28]
Hebu tazama hiyo avatar yako mara mbili mbili,siyo Da Ashura huyo?niombe msamaha na umuombe msamaha da ashura kabla hajakufana kama alivyomfanya mzee minko
Zipompa, wewe nawe ni jini?porojo tupu, majini hawana masharti hayo katika hali halisi ila kwa tungo kama hizi ama kwenye video ndo unasikia jini anakuja kwa kishindo, ama ile cheka yake ya makelele
jini kupanda hahitaji bwebwe anapanda kistarabu na anaeleza yake
mapepo /misukule ndo wanazingua ivo.
Da Ashura sasa hivi ndiye Mama mwenye nyumba na pia ndiye Baba mwenye nyumba!π©π©π©Hahaha Da Ashura kaleta mambo
Hahahaaaaa daahniombe msamaha na umuombe msamaha da ashura kabla hajakufana kama alivyomfanya mzee minko