Mikasa ya ajabu niliyoishuhudia kwa macho yangu

Mimi ni mtumiaji wa telegram mzuri tu shida kwanini asingezichangisha hapa hapa?? Sababu telegram ameweka kwenye private group au channel angefanya hivyo hapa pia ukituma iyo buku unatupiwa episode pm. Mambo ni yale yale sema ana agenda ya siri
Alikuwa na lengo la kimkakati,kwan angesema tuchange si tungempa
 
Acha utoto wa kuharb mipango ya mwenzeo sijui mshamba wa wap ww
 
Pole sana mkuu kwa kuondokewa na wazazi.
Vipi mauzauza yalikoma baada ya kuamia Mwanza?
 
Mimi ni mtumiaji wa telegram mzuri tu shida kwanini asingezichangisha hapa hapa?? Sababu telegram ameweka kwenye private group au channel angefanya hivyo hapa pia ukituma iyo buku unatupiwa episode pm. Mambo ni yale yale sema ana agenda ya siri
Mkuu naomba kuuliza.. mi sipo bongo vp nikitumia iyo telegram iyo buku anayotaka nitamtumia vp?
 
Nilisoma Part One ya "Sintosahau Gamboshi" sijabahatika kukipata Part Two....

Hakika Zabton alipiga hela ndefu kwani wengi tulokisoma hapa JF, ilibidi tutafute na hardcopy...
 
story inogile
 
Stori hatari wakuu nawasii mjiunge na group la VIP Kuna Mambo muhimu mnayakosa amabayo yangewafaa ktk maisha haya ya kawaida.

Ushuhuda wa kiwango Cha lami aisee.
 
Stori hatari wakuu nawasii mjiunge na group la VIP Kuna Mambo muhimu mnayakosa amabayo yangewafaa ktk maisha haya ya kawaida.

Ushuhuda wa kiwango Cha lami aisee.
Mkuu mi natamani kweli niendelee kuisoma story sema nipo nje ya Bongo Sijui nitumie njia gani kuituma iyo buku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…